Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,039
- 8,170
Yeah kweli...lets sayPesa nyingi sana,serikali hii ingeielekezea kwenye tiba na elimu
1.Kwenye elimu wajenge special Academies ICT na Programming and coding
2.Kusomesha ma specialist wengi wa sector mbali mbali na kuwapa contract za kufundisha Tz ili kuwa tie..
Specialist wa Mahospital ( Ma doc ma nurse etc), Ma enginner , coaches wa football na michezo mbali mbali ili ku develop vijana
3. Waongeze wigo wa watu kupata mikopo nafuu ya kilimo na watoe zaidi elimu ya kilimo na kushusha intrest za mikopo kwa small farmers
4.Wajenge barabara za vijijini maana vijini nako kuna shida
Hizo ni suggestion zangu ..wafanye wanalooana ila wanfufaishe watu tena wangekua waonesha imeenda wapi na wapi as in budget maalum watu wangefurahi zaidi




