Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Mnaongea sbb hakuna ht mmoja anaewahusu(familia) anaweza kufanya hivyo...
Mtumiaji utaambiwa faida tu hasara utajua mwenyewe, it's business hata mloganzila wamona fursa wakaona waitumia kama business, wewe uambiwe hasara ili tusipate wateja mbona inafikirisha!

Ndugu yangu aende tu kama anataka, wote wanaoenda wanazijua athari sio kama ni wapofu
 
Na sample zao hizi hapa. Unakuta binti tako kubwa anaburuta lakini tupaja twembambaaaa! Maana wanachukua tu mafuta ya tumboni na kwingineko (pamoja na silicone) na kuyashindilia matakoni. Halafu tako la Mloganzila hata mtimbwiliko na mmeng'enyuko wake unatia shaka...jionee!🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Na huko mbele ya safari wakianza kuzeeka yanawaletea matatizo wengi wao inabidi wafanye operesheni tena kuyatoa. Ni ujinga mtupu! 🚮🚮🚮


View attachment 2801404
View attachment 2801409
Matako yataua watu, kwahiyo babu hupendi tena inye? Kuna moja nimeona video zake sasa bhana bhana kuna video limepiga limevaa kikaptula maweeee surgery tupu, kwenye kona ya paja na tako hamna uwiano kabisa
 
Mtumiaji utaambiwa faida tu hasara utajua mwenyewe, it's business hata mloganzila wamona fursa wakaona waitumia kama business, wewe uambiwe hasara ili tusipate wateja mbona inafikirisha!

Ndugu yangu aende tu kama anataka, wote wanaoenda wanazijua athari sio kama ni wapofu
Sawa
Acha sie vimbaumbau tukae pembeni 🤣
 
Matako yataua watu, kwahiyo babu hupendi tena inye? Kuna moja nimeona video zake sasa bhana bhana kuna video limepiga limevaa kikaptula maweeee surgery tupu, kwenye kona ya paja na tako hamna uwiano kabisa
Sasa taco sio CHURA TENA bsli Mlonganzila
 
Wazee wa mashangazi tupo tutayalaje bure.... Mloganzira waanzishe na urekebishaji wa nyapu maana zingine aseee.... Full....
 
Back
Top Bottom