Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Na sample zao hizi hapa. Unakuta binti tako kubwa anaburuta lakini tupaja twembambaaaa! Maana wanachukua tu mafuta ya tumboni na kwingineko (pamoja na silicone) na kuyashindilia matakoni. Halafu tako la Mloganzila hata mtimbwiliko na mmeng'enyuko wake unatia shaka...jionee!🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Na huko mbele ya safari wakianza kuzeeka yanawaletea matatizo wengi wao inabidi wafanye operesheni tena kuyatoa. Ni ujinga mtupu! 🚮🚮🚮


View attachment 2801404
View attachment 2801409
Sasa mkuu utahama hicho kitengo au utaongeza umakini?😂😂😂
 
Naona mloganzila wako vizuri...

kama wameweza kumuumua anty Ezekiel ule mshepu!....Basi yajayo...yanafurahisha
 
Ndio naomba jibu
Kwani yana kazi gani makalio kwenye 6kwa 6 jmn
Maana haiwezekani jmn wimbi la wadada wafanye hivi!

Cc Shimba ya Buyenze Glenn Da'Vinci
Naomba mnijibi hapa
Mimi siwezi kukujibu hapa maana nakuheshimu sana Mama Mchungaji. Labda nije nikujibu PM 😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Baada ya uwekezaji sasa wanaanza kuwinda vibopa ili warudishe mitaji waliyo wekeza kwenye makalio, lakini kwa jinsi ambavyo huduma za uswahilini nisivyo siziamini sitoshangaa siku malaya mmoja akiangusha makalio barabarani
🤔🤣🤣😳😳🙌Jmn Leo mbavu zangu uwiiii
 
Back
Top Bottom