Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Ila wanawake tuna dhambi sana. Ina maana Mungu alikosea kukuumba hivyo?

Mungu atusamehe
Msihukumu kabla hujahukumiwa, ni sehemu ya urembo mbona wengine mnavaa vizuri, mnatoboa masikio, pua na mnafanya make up, mnaongeza na miwani hata kama huumwi macho urembo, ila tusihukumu ni urembo tu kama wengine mnapvyopaka wanja, tatizo hapo ni hizo hela zinawauma [emoji16]
 
Msihukumu kabla hujahukumiwa, ni sehemu ya urembo mbona wengine mnavaa vizuri, mnatoboa masikio, pua na mnafanya make up, mnaongeza na miwani hata kama huumwi macho urembo, ila tusihukumu ni urembo tu kama wengine mnapvyopaka wanja, tatizo hapo ni hizo hela zinawauma [emoji16]
Hahahahahaha, au kuweka makope yao yale
 
Back
Top Bottom