Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Sio pesa tu.

Binafsi ni mpumbavu ndio ataenda kutengeneza makalio ili amridhishe mwanaume akisahau kuwa hapa duniani tunapita tu na Wanaume hawajawahi kuridhika hata siku moja[emoji706]

Ni pesa mmeona ni nyingi, lakini hii mbona wanawake wengi sana siku hizi mnapenda kuwa na makalio makubwa swala hapa ni uwezo tu unawakwamisha
 
Endelea kujidanganya, its an investment itajilipa tu hiyo na faida juu sio kwa hizo buku tano zako mkuu, soko lipo kimataifa sio tandika

Ni wachache sana wanao liweza soko la kimataifa ila wengi wao wapo hum hum mitaani na bei zao ni za kawaida sana tena sana.

Ukipiga hesabu ya rasilimali muda na rasilimali fedha urudishwaji wake ni mgumu kidogo.

Achilia mbali risk wanazo beba na bado hawawi kwenye peak kwa muda mrefu kwa sababu watu wanataka mali mpya kila siku
 
Ni wachache sana wanao liweza soko la kimataifa ila wengi wao wapo hum hum mitaani na bei zao ni za kawaida sana tena sana.

Ukipiga hesabu ya rasilimali muda na rasilimali fedha urudishwaji wake ni mgumu kidogo.

Achilia mbali risk wanazo beba na bado hawawi kwenye peak kwa muda mrefu kwa sababu watu wanataka mali mpya kila siku
🤝🤝🤝👍
 
Una rekebisha matako kwa million 18 uje uhongwe 30k hizi hesabu hizi[emoji1544]
30k ni vocha

Showtime ni 50k

Per day 10 show times x 50k = 500kper day

30 days x 500k = 15,000,000

Remember : 50k ni show time kwa local customers.

Kuna Premium Customers ambao analipa siku nzima 1m and above mnazurura nae hotel tofaut au siku zote arazokua hotel.

Kwa 18m unahisi ni hela inayorudi kwa Muda gani?

Wanawake sanukeni nendeni Mloganzila...

So SAD
 
Back
Top Bottom