Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Imagine watu vilaza kama hao unaanza nao wapi?huko kukosa kujiamini Nina hiyo ni hatari sana
Mungu alivyokuumba inatosha, ya nini kujiweka mavitu ya hovyo namna hiyo? plastic surgery ni maalumu kwa watu waliopata ajali, wenye/waliozaliwa na ulemavu ila sio kwa mtu kukosoa alivyoumbwa.
 
Liwe la asili na sio artificial, kuwe na uwiano kati ya tako, miguu, kiuno hapo sawa. Ila tako na nyonyo ni makubwa kuliko uwiano wa mwili nani anataka uchafu huo.
Siku nakutana na wewe kitambaa cheupe umekamatia goma wowowo lipo kuleeee
 
Mungu alivyokuumba inatosha, ya nini kujiweka mavitu ya hovyo namna hiyo? plastic surgery ni maalumu kwa watu waliopata ajali, wenye/waliozaliwa na ulemavu ila sio kwa mtu kukosoa alivyoumbwa.
Yaani ni ukosefu wa kujiaminia,kujipenda,na kujithamini..Hivi mtu unakubali upasuliwe mwili wako kisa umfurahishe binadamu mwenzio ?ambaye akiyashika mara mbili yameshkifu we unabaki na lifetime scars🤦🤦🤦
 
Back
Top Bottom