Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
sheria iseme isiseme kuonyesha silaha hadharani tena kwenye mkutano wa kampeni ni UGAIDI, na huyu amekuwa akisaidia al shabab moja kwa moja toka Tanzania.Ni mwenyekiti wangu Simba ila nina wasiwasi sana na nyendo zake. Afuatiliwe huyu si mwema kwa Taifa. Anajificha nyuma ya michezo na siasa kutimiza azma zake.
Nafikiri sheria imekupiga chenga.
Sasa na wale polisi wanaotembea na silaha khadharani kwenye mabenk na mitaani ni magaidi?
Kifupi kinachokatazwa na Sheria ni kumtishia mtu silaha au kumlenga (kumuonyeshea kuelekea ulipo mwili wake) ni kosa. lakini kuihifadhi kiunoni na watu wakaioana hakuna kosa llolote.