Anajihami na Mwigulu, asije akamsepea mamsapu wake.
Kabla ya kumshambulia Rage tungepaswa kwanza kufahamu sheria za umuliki wa silaha hapa Tanzania. Kwa mfano:
Tukishazijua sheria za umiliki wa silaha tutakuwa na uwezo mzuri sana wa kuchangia hii mada. Naomba wataalm wa sheria watujuze zaidi.
- Je mtu anaruhusiwa kutembea na silaha anayoimiliki kihalali?
- Je ni makosa kuonesha silaha unayoimiliki kihalali hadharani?
As for me, sizijui hizo sheria ndio maana siwezi kusema kama Rage ana makosa au hapana.
ccm naona wameamua kuonyesha ubabe wao hadharani,huku wanalaumu chadema kuingiza mercenaries igunga,wakati wao wanafanya hivi,huku ni kuwa na matatizo ya kiakiliView attachment 37700
tena hadharani
Huyo msomali ni alshabaab,ndio maana hafuati sheria,silaha haipaswi kuonyeshwa kwenye public na haruhusiwi kuwa na silaha kwenye mkusanyiko,serikali legelege ya CCM na chama mfu ndio wanaweza kuruhusu vitu kama hivi,kwa hiyo anaonyesha yuko tayari kuua wakati wowoteKwa nini anachaguliwa sana kila anakogombea?
Wangebebwa juu juu swekwa rumande hadi jumanne dhamana,waambie basi hao ndugu zako wanajidhalirisha jinsi wanavyovunja sheriaAngekuwa Wenje au Lema kwenye kampeni za CHADEMA ingekuwa vipi?
Kwa sababu pamoja na kupewa uraia wamebaki kuwa close community ndio maana watu hawawaoni kama wenzetu wataitwa kwa usomali,uhindi,uaarabu wao mpaka wao watakapo jiona ni sehemu ya wananchi periodtatizo la watanzania ni hili-KWA NINI MTU AKIPEWA URAIA WA NCHI HII INAPOKUJA KAFANYA JAMBO BAYA ANAITWA KWA URAIA WA NCHI ALIYOTOKA,SI ALIKUBALIWA KUWA RAIA WA TANZANIA BASI AHUKUMIWE KAMA MTANZANIA..NCHI ZA ULAYA WAKIKUPA URAIA HATA KAMA UKIUWA WATAKUHUKUMU KAMA RAIA WAO NA SIO VINGINE TUPUNGUZENI JAZBA NA HIZI KAULI ZA MUHINDI,MSOMALI,MWARABU TUPUNGUZE KAMA NI RAIA WAHUKUMIWE KAMA RAIA WA TZ...KUHUSU CHUMA CHAKE KAMA KAFATA SHERIA HALALI YAKE ATEMBEE NACHO MAANA YA BASTOLA NI KUJILINDA KWA KUWA WENGI HAWAJAHI KUIONA BASI INAKUWA ISSUE-TUPENI SHERIA ZA UMILIKI WA BASTOLA --
Nimeshtushwa na picha iliyopo kwenye ukurasa wa mbele wa moja ya magazeti ya leo. Mbunge wa Tabora mjini Ismail Aden Rage anapanda jukwaani na Libastola kiunoni. Mungu amejibu swali gumu ni nani anaeleta vurugu kwenye kampeni za Igunga? Bastola ya nini kwenye mikutano wakati kuna wanausalama weengi hivyo? CCM NI HATARI JAMANI NI KIFO..
Rage asili yake Somalia kubeba silaha kama bastola hadharani ni jambo dogo sana mnaomshangaa hamjui historia ya wasomali.Isitoshe Rage aliwahi kufungwa kwa kosa la wizi lakini wananchi wa jimbo la Tabora wakaona vyema wamwingize mjengoni hapo lazima ushangae watu wazima na akili zao wameshindwa hata kuchagua mwakilishi mwadilifu.
Tanzania ina kila sababu ya kuendelea kuogelea kwenye dimbwi la umaskini kwasababu wananchi hawajui tofauti ya viongozi waadilifu na viongozi majambazi.