Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
Hii bange na milungi ya uzeeni.
hilo ni jitu jioga tu,hiyo unaweza mtishia mkeo nyumbani kuwa unayo ili mijitu kama mchemba asisogee,sio wanaume na ndevu zao.Hii inajionesha dhahiri ni kiasi gani hawa Magambaz wasivyojiamini.
natamani hiyo bastola ipatikane na kosa la uhalifu...
WATAPOTEZEA HAWA CCM.na inawezekana ni boshen tu haina hata risasi.angekuja nayo mjini aone watoto wa kihuni wangemfanyaje sa ye anaenda kuringanayo tanzania vijijini,chizi tuu huyo
Man umesema...sio kwamba unaanza kutumia masaburi kufikiri!!!Unapokuwa mwanachama wa ccm uwezo wa kufikiri unapungua.
Usichukulie kirahisi hivyo! Hili ni tusi kwa wapenda amani wote... Kitendo hiki siamini kinapita bila kukemewa na wanachama wa CCM...vingenevyo sijui tuko wapitatizo ka Rage ni ushamba na wala hakuwa na nia mbaya yeye alifikiri kuonyesha silaha hadharani ni sifa
Natumaini wakati huu ninapopost kwenye huu uzi atakua ameshanyang'anywa hiyo silaha.Usichukulie kirahisi hivyo! Hili ni tusi kwa wapenda amani wote... Kitendo hiki siamini kinapita bila kukemewa na wanachama wa CCM...vingenevyo sijui tuko wapi
jaman kama ni maadili inamaana rage awez kuchukuliwa hatua yeyote? Kwa sababu naona siyo sheria ila ni maadili jamani niwekeni sawa hapo
Ili mchezo uwe sawa mwambieni zitto na lema nao waende na slaa zao kwenye kampeni ili muache kulalamika
Sina hakika kama ukitokea mlio wa SMG anaweza akabaki...mbwembwe hizo!