nimie
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 525
- 106
Nilikuwa nataka kumwaga hiyo sheria hapa jukwaani, ila umeniwahi.
He can be sued...the evidence is right there.
Kwa kuwa ni wa kwao, basi mtaona kamchezo katakavyochezwa na hatafanywa chochote, hivi kwa picha hiyo hilo mbona ni tukio la kupangwa kabisa, na hao wenzie hawaijui hiyo sheria hata wasimkataze? Asili za watu hizi, mbona mwenye macho kweli haambiwi ona!