JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 500
Hawa ndiyo watanzania wanaojiita great thinkers kweli? matusi ya nini sasa ? ebu tujenge taifa kwa kutoa michango yenye matinki , wewe bora utoke hautufai humu
haya matinki ndio nini???
Hawa ndiyo watanzania wanaojiita great thinkers kweli? matusi ya nini sasa ? ebu tujenge taifa kwa kutoa michango yenye matinki , wewe bora utoke hautufai humu
Hahahahahahahahahahahhahahahah
Teheehteh
Kwi kwi kwi kwi kwi
Kweli nimeamini wewe ni kilaza!
anafikiri yupo kule kwa al shabab , wakati yeye kesha kuwa mbongo, huku silaha ni mbali mbali na maisha yetu ya kila sikuJamani kumbe ushamba hauna umri au U-Somalia ndani ya; yaani huyu Al-Shaabab kadiriki kuonyesha advertise ya kumiliki bunduki kwenye jukwaa la kunadi chama akipendacho na watu wakamuacha hivi hivi!!!!!!!!!!!!
Usipende kudandia usichokijua.Mbona hapo wewe ndio tunakuona kilaza, huna jipya bora hata umebatizwa jina la kitimoto maana unaendana nalo sana...well done kitimoto
Usipende kudandia usichokijua.
Watoto utawajua tu..comments zao zinaonekana!kipi nisichokijua?? kuwa unafana na kitimoto au kuwa una pua ka kitimoto? wacha kunitisha wewe kawatishe wenzio facebook
Hawa ndiyo watanzania wanaojiita great thinkers kweli? matusi ya nini sasa ? ebu tujenge taifa kwa kutoa michango yenye matinki , wewe bora utoke hautufai humu
wasomali wote ni al shababAnaweza kuwa member wa Al shabab huyo
Hivi hatua ya Rage ya kupanda jukwaani na bastola tena kuiacha wazi inaonekana ilikuwa yamaanisha nini?
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]
[/TD]
[TD="class: buttonheading, align: right"] Send to a friend [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]![]()
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Manyox zao walitaka kuleta ushoga wa Arusha kwa Wanyamwezi, sasa waambieni hao nguvu ya umma wamguse Rage awamwage ubongo.
Ammwage ubongo nani wewe? mkwara wa kuning'iniza bastola nje ni wa kizamani sana. Kiufupi Rage pamoja na kuwa mwenyekiti wa Club yangu hapa kaonyesha UJUHA wa hali ya juu hata kule Msimbazi sidhani kama kile cheo kinamfaa tena mtu huyu juha.Manyox zao walitaka kuleta ushoga wa Arusha kwa Wanyamwezi, sasa waambieni hao nguvu ya umma wamguse Rage awamwage ubongo.