Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,496
- 3,233
Mkuu ukisoma uzi wa Mshana almost 99.9% umejitosheleza. Nashangaa watu sijui hamsomi vizuri,hamuelewi au ndo namna gani sielewi nyie mnakwama wapi.Mshana kwa hiyo haya magari used ya Beforward na SBT ambayo sisi tukinunua tunaita gari mpya tuachane nayo?
Kwa swali lako hili nikusaidie. Usiachane nayo amesha sema nenda kaliombee,bariki au Takasa kwa imani yako. Sisi RC tunaenda kumuona Padri ataliowekea baraka na kuondoa hayo mazaga na maagano incase kama yatakuwepo. Iyo ni kwa upande na kulingana na Imani yangu.