Basi gani la mkoani ulipanda ukajutia?

Basi gani la mkoani ulipanda ukajutia?

Mbeya express
Mwanza-mbeya please Hilo basi ukiliona toroka kabisa.
Nilitoka mwanza jumamosi jioni tukafika mbeya tena uyole jumanne asub
Ha
Kuna basi la Mwanza ~ Mbeya (jina kapuni) nilikata ticket ya kukaa upande wa dirishani, siku ya safari nikakuta dirisha la kwenye siti yangu halina kioo...! Yani nilipigwa na upepo Mwanza hadi Iringa...! Ndo mtu akashuka. Sintakaa kusahau...Na konda anasema hajui maana walikuja na basi lingine jana yake wameliacha service wakachukua basi lingine ambalo lilikuwa safi na limesha fanyiwa service.
Ila pia kilicho ni shangaza kuhusu hili basi halikuwa na USB port bali socket kama za nyumbani
ha haaa. Hili lina mlango wa katikati sio mkuu?.

Niliwahi panda toka Mbeya nikashukia Singida. Wenyeji walinishangaa jinsi nimetumia muda mwingi kufika.

Zile socket kama za nyumbani nahisi unaweza hata nyoa ndevu huku gari linatembea kama una mashine ya umeme.
 
AN Sumbawanga to Dom Nilipanda Hilo basi kutoka Mpanda to Tabora.Ni kama daladala lilijaza kupita kiasi watu waliosimama ni kama ishirini hivi.Kufika mzani baadae ya Inyonga uzito ulizidi nacwalikua na fine before tukakaa saa moja na nusu ndio tukaruhusiwa.Lile basi dereva na konda wake mdada lugha chafu na dharau juu!
 
Kuna basi la Mwanza ~ Mbeya (jina kapuni) nilikata ticket ya kukaa upande wa dirishani, siku ya safari nikakuta dirisha la kwenye siti yangu halina kioo...! Yani nilipigwa na upepo Mwanza hadi Iringa...! Ndo mtu akashuka. Sintakaa kusahau...Na konda anasema hajui maana walikuja na basi lingine jana yake wameliacha service wakachukua basi lingine ambalo lilikuwa safi na limesha fanyiwa service.
Ila pia kilicho ni shangaza kuhusu hili basi halikuwa na USB port bali socket kama za nyumbani
Itakuwa either Premier line, Fikoshi au Isamilo 😆
 
Bwana kuna chuma kinaitwa upendo
Coach

Sijui mmiliki ni msabato siku hiyo dereva na konda wake wakajichanganya wakapiga tukwaya twao kumbe wazee wa kobasi wapo inside the building

Nnachowapendea wana maamuzi magumu wakagombana na dereva na konda mmoja wao akatoa flash akapachika kwenye basi

Tena na basi lilikua bovu mwendo wa kobe ilikua ni mwendo wa kaswida mkipumzika ni mawaidha mkisimama kaswida mkichuchumaa mawaidha mpaka tunafika
Mpaka leo hii mtaani nabishana na watu baadhi ya mafundisho yao kumbe ABC za wazee nilizipata kwenye safari moja tu😂
 
Green Line, gari ina vigoda vingi ndani na abiria karibia nusu ya waliosimamishwa wana tiketi za siti safari nzima ni kuzozana na kelele tu.
 
Bwana kuna chuma kinaitwa upendo
Coach

Sijui mmiliki ni msabato siku hiyo dereva na konda wake wakajichanganya wakapiga tukwaya twao kumbe wazee wa kobasi wapo inside the building

Nnachowapendea wana maamuzi magumu wakagombana na dereva na konda mmoja wao akatoa flash akapachika kwenye basi

Tena na basi lilikua bovu mwendo wa kobe ilikua ni mwendo wa kaswida mkipumzika ni mawaidha mkisimama kaswida mkichuchumaa mawaidha mpaka tunafika
Mpaka leo hii mtaani nabishana na watu baadhi ya mafundisho yao kumbe ABC za wazee nilizipata kwenye safari moja tu😂
Hapo labda walikuwepo kina Malaria 2 kalemauji Webabu Accumen Mo FaizaFoxy et al
 
Back
Top Bottom