Basi gani la mkoani ulipanda ukajutia?

Basi gani la mkoani ulipanda ukajutia?

Champion muda sana huko nyuma natoka moshi naenda dodoma via chalinze...aisee sijawah sahau ile safar, basi inakimbia ukiangalia nje hyo miti inavyorud nyuma hata uoni vizuri, aisee sik0fumba ata jicho just imagine nimetoka mosh saa moja na dom tumefika saa 11...aisee
 
Back
Top Bottom