Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,913
- 10,719
😂😂😂 Huu ushirikina sasaKuna basi nilipanda kutoka ifakara to Dodoma, aise gari ndani Lina mifugo mingi kuliko abiria, just imagine mtu anapanda ndan ya bus amebeba mbuzi na kuku ndan ya gari,,kilicho niboa zaid nimelala usingiz kuja kushtuka nashangaa mbuzi ananilamba nywele.

