Bandarini meli zinachukua muda mrefu kuliko kawaida

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
821
1,343
Hili suala la Bandari tatizo tumeingiza sana siasa ndani yake lakini Meli inaweza fika Dar mapema ikacheleweshwa kupangiwa siku ya kushusha mzigo kiasi kwamba kufika inaweza chukua wiki 2 au 3 halafu ikasubiri tena wiki 3 hadi 4 kupangiwa kushusha mzigo.

Tanzania jamani sijui ni nani katuloga sisi , ni lini tutaendelea na sisi tuwe tunajivunia maendeleo yetu.
 
Hili swala la Bandari tatizo tumeingiza sana siasa ndani yake lakini Meli inaweza fika Dar mapema ikacheleweshwa kupangiwa siku ya kushusha mzigo kiasi kwamba kufika inaweza chukua wiki 2 au 3 halafu ikasubiri tena wiki 3 hadi 4 kupangiwa kushusha mzigo.
Tanzania jamani sijui ni nani katuloga sisi , ni lini tutaendelea na sisi tuwe tunajivunia maendeleo yetu.

Hivi Waarrabu watafunga lini zile ROBOTStulizoambiwa na Msukuma ..... Au ndiyo wameitelekeza bandari yao ......!!?
 
Hivi Waarrabu watafunga lini zile ROBOTStulizoambiwa na Msukuma ..... Au ndiyo wameitelekeza bandari yao ......!!?
Hakuna Robot wala Robert ndio imetoka hiyo bandari inaendeshwa na mabinamu tuwe wapole tu ....nasikia wanataka wapewe Mwendokasi na SGR pia wamesema itakua kama Dubai
 
Nachojua kazi walianza Novemba mwaka jana, sasa mwezi huu ni Februari tayari Ngoja tuone na tuwape muda maana tuliambiwa mifumo haiko sawa pale, na kufumua mifumo na kuifuma upya sio jambo la kitoto, ni kazi kwelikweli
 
Hili suala la Bandari tatizo tumeingiza sana siasa ndani yake lakini Meli inaweza fika Dar mapema ikacheleweshwa kupangiwa siku ya kushusha mzigo kiasi kwamba kufika inaweza chukua wiki 2 au 3 halafu ikasubiri tena wiki 3 hadi 4 kupangiwa kushusha mzigo.

Tanzania jamani sijui ni nani katuloga sisi , ni lini tutaendelea na sisi tuwe tunajivunia maendeleo yetu.
Kama hujui kitu uulize. Chukulia kwamfano meli imefika ikakuta Kuna meli nyingine 20 zinasubiri kuiingia. Nanafasi zilizopo zinatosha meli 5, na labda meli iliihudumiwe inachukua siku 5 je, itachukua siku ngapi mpaka meli inayofika Leo kuiingia NDANI??
 
Ujuaji ukizidi sana unazaa malalamiko. Nchi ya walalamishi , Kila kitu ni kulalamika tu utadhani ukipewa hiyo nafasi Kuna cha maana utafanya.
 
Kama hujui kitu uulize. Chukulia kwamfano meli imefika ikakuta Kuna meli nyingine 20 zinasubiri kuiingia. Nanafasi zilizopo zinatosha meli 5, na labda meli iliihudumiwe inachukua siku 5 je, itachukua siku ngapi mpaka meli inayofika Leo kuiingia NDANI??
Huko kwingine vipi au ni nyinyi tu mna meli ishirini bandarini? Hizi ndio siasa kuna bandari zinaingia meli nyingi kwa siku kuliko huo mwalo wenu na hakuna meli itakaa zaidi ya siku tatu. Hio ni inefficiency tu na labda hujui madhara yake.
 
Mzigo umefika toka Dec 30 umetoka juzi tu kwa namna hii watauwa biashara za wafanyabiashara wadogo maana mzigo kutoka bandari unachukua muda sawa na ule wa kutoka China mpaka hapa sio sawa.
 
Hili suala la Bandari tatizo tumeingiza sana siasa ndani yake lakini Meli inaweza fika Dar mapema ikacheleweshwa kupangiwa siku ya kushusha mzigo kiasi kwamba kufika inaweza chukua wiki 2 au 3 halafu ikasubiri tena wiki 3 hadi 4 kupangiwa kushusha mzigo.

Tanzania jamani sijui ni nani katuloga sisi , ni lini tutaendelea na sisi tuwe tunajivunia maendeleo yetu.
Melininachukua mwezi mmoja kushushwa mizigo.
Hali ni mbaya mbaya sana
 
Si tuliambiwa DP world wao wanabonyeza button tu mizigo inashuka kama kumsukuma mlevi, imekuwaje tena!!?
 
Back
Top Bottom