makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,129
- 80,998
Tujinusuru sisi kwanza.. wanajeshi nao wanakula neema ya nchi. Katika keki ya taifa wao wanalambisha ile sukari, tabu kwetu tusiofaidi hata harufu yake.Hii nchi bila jeshi kutunusuru tumekwisha. It's time for the army to intervene.