Bandari ya Bagamoyo: Waziri Mwambe asema Wachina walisema Dar hadi Pangani, na sio Mtwara hadi Tanga

Eee! Mungu nawaombea KIFO wale wote wasio na Nia njema na nchi yetu,

Nawaombea KIFO wanaotaka kuyagawa malalio yetu kwa marafiki zao Kama zawadi

Eee! Mungu wakija kwako waangamize kabisa

AMEN
 
Itategemea kama jeshi lina watu wenye weledi.
Yawezekana kukawa ndiko kwenye mazuzu mengi.
Kama Moses Lijenge alifanywa kitu kibaya na watu wanaojulikana na mpaka leo hii kina Maita na kingai wapo wanakula tu bata pasipo presha yoyote ile.unategemea kwa hali hii wataweza kuchukua nchi
 
Kama nchi hatuna matatizo makubwa kiasi hicho kwa sasa hadi jeshi kuingilia kati!! Jeshi lichukue nchi kwa mabavu sababu ya Bandari ya Bagamoyo? Mgao wa umeme? Mgao wa maji? Hayo matatizo yapo TZ pekee?

Itakuwa ni stupidiest reason ever ya mapinduzi since dunia iumbwe!! But kwa kilichotokea Zanzibar 2015, pale hata Jeshi lingeamua kufanya chochote nadhani wangeeleweka, Ule ulikuwa ni UPUMBAVU wa kiwango cha SGR kuwahi kufanywa na CCM.
Wewe unayaona hayo, ambayo siyo matatizo ya msingi kabisa; lakini kwa vile umepofushwa na mapenzi yako kwa watu/vyama huwezi kuona matatizo yanayoweza kusababisha watu waseme akheri twende huko.

Unapoona watawala wanatawala kwa nguvu bila ridhaa ya wananchi, wewe unadhani hilo sio tatizo? Najua utakuja hapa na kudai hayo hayapo hapa kwetu!
Unapoona haki za watu zinakanyagwa na sheria kutofanya kazi ipasavyo, wewe unadhani huo ni mchezo lelemama?

Ipende kweli Tz, acha kupenda viongozi/vyama. ukadhani ndiyo Tanzania
 
Halafu ukute mkataba ni miaka 100 kwa masharti hayo tutafika kweli?

Gesi washachukua.
Mafuta nayo wanachukua.
Mlima kilimanjaro unajulikana ni wa wakenya.
Tanzanite imetapakaa kila kona.

Yani Watanzania aliyeturoga sijui ni nani.
 
Wewe unayaona hayo, ambayo siyo matatizo ya msingi kabisa; lakini kwa vile umepofushwa na mapenzi yako kwa watu/vyama huwezi kuona matatizo yanayoweza kusababisha watu waseme akheri twende huko.

Unapoona watawala wanatawala kwa nguvu bila ridhaa ya wananchi, wewe unadhani hilo sio tatizo? Najua utakuja hapa na kudai hayo hayapo hapa kwetu!
Unapoona haki za watu zinakanyagwa na sheria kutofanya kazi ipasavyo, wewe unadhani huo ni mchezo lelemama?

Ipende kweli Tz, acha kupenda viongozi/vyama. ukadhani ndiyo Tanzania
Tunaweza kuwa page moja mimi na wewe!! Kuna sababu mbili zinaweza kujustfy kabisa Jeshi kuingilia kati, na hizo kwa upande wangu naziunga mkono 100%;
1. Uporaji uliofanyika Zanzibar 2015 (Ile ilikuwa ni aibu kubwa kwa taifa)
2. Uchafuzi wa 2020 uliosimamiwa na mikono ya Chuma ya Jiwe
Ila sidhani kama matatizo ya maji na umeme ikawa sababu ya jeshi kuingilia utawala wa kiraia na wakaeleweka duniani.
 
Tunaweza kuwa page moja mimi na wewe!! Kuna sababu mbili zinaweza kujustfy kabisa Jeshi kuingilia kati, na hizo kwa upande wangu naziunga mkono 100%;
1. Uporaji uliofanyika Zanzibar 2015 (Ile ilikuwa ni aibu kubwa kwa taifa)
2. Uchafuzi wa 2020 uliosimamiwa na mikono ya Chuma ya Jiwe
Ila sidhani kama matatizo ya maji na umeme ikawa sababu ya jeshi kuingilia utawala wa kiraia na wakaeleweka duniani.
Haihitaji jambo moja, ni mchanganyiko wa mambo mengi. Na sasa kuna mchanganyiko huo huo unaendelea. Ukiwa ndani huwezi kupona, pengine hiyo ndiyo sababu inayokufanya kutoona hivyo viashiria.
 
Haihitaji jambo moja, ni mchanganyiko wa mambo mengi. Na sasa kuna mchanganyiko huo huo unaendelea. Ukiwa ndani huwezi kupona, pengine hiyo ndiyo sababu inayokufanya kutoona hivyo viashiria.
TZ hatuwezi kufika huko karibuni kwa mifumo iliyopo, labda mifumo ibadilike, Kikubwa ninachokiona ni wapinzani wa nchi yetu kukata pumzi mapema, no consistency at all!! Wasitegemee CCM watawaletea Nchi kwenye Silver plate, Or wasitegemee eti kuna siku jeshi litapindua nchi and watawapa wao waitawale!! Wapambane, waache uoga!! Leo ishu ndogo tu wengine wameshakimbia nchi tayari na kuwaacha CCM wanatamba peke yao, fight guys...
 
Halafu ukute mkataba ni miaka 100 kwa masharti hayo tutafika kweli?

Gesi washachukua.
Mafuta nayo wanachukua.
Mlima kilimanjaro unajulikana ni wa wakenya.
Tanzanite imetapakaa kila kona.

Yani Watanzania aliyeturoga sijui ni nani.
Hayo yote kayafanya mzee wa msoga.

Sasa hivi yuko kwake ametulia anakenua tu na lile cheko lake la kizezeta.

Immune from any criminal liability. Enjoying the national cake and retirement benefits on a comfy coach.
 
TZ hatuwezi kufika huko karibuni kwa mifumo iliyopo, labda mifumo ibadilike, Kikubwa ninachokiona ni wapinzani wa nchi yetu kukata pumzi mapema, no consistency at all!! Wasitegemee CCM watawaletea Nchi kwenye Silver plate, Or wasitegemee eti kuna siku jeshi litapindua nchi and watawapa wao waitawale!! Wapambane, waache uoga!! Leo ishu ndogo tu wengine wameshakimbia nchi tayari na kuwaacha CCM wanatamba peke yao, fight guys...
Wewe ni mpenzi au shabiki wa CCM; tena CCM iliyooza kabisa.

Huwezi kulaumu wapinzani huku ukijuwa wanavyotendewa isivyo haki. Sasa unataka hao wapinzani, hasa CHADEMA wafanye nini, wachukue bunduki kama mlivyokuwa mnawahimiza toka mwanzo ili muwamalize moja kwa moja? Mbinu hiyo waliitambua kungali mapema na wakaukwepa mtego.
Kila juhudi zimefanyika kuiondoa CHADEMA kwa kutumia vyombo vyote vya dola, imeshindikana. Viongozi wao, wengine wameuawa, wengine wakaponea chupuchupu. Magereza kwao imekuwa ni kawaida kama unavyoona yanayomkabili Mbowe kwa sasa. Lakini bado unalaumu wapinzani!

CCM iliwahi kuwa chama makini sana, kilipokuwa chama cha wafanya kazi na wananchi. Sasa hivi ni chama cha mafisadi tu wapiga dili amabo wameliteka taifa na wananchi wake ili wabaki madarakani.

Usinihusishe na upinzani, mimi siko huko. Hata leo hii CCM ikijirekebisha na kusimamia maslahi ya Tanzania nitawaunga mkono. Nitawatetea wapinzani wakati wowote ninapoona wanatendewa isivyokuwa haki. Hawa nao ni waTanzania kama walivyo hao CCM na sisi sote tusiokuwa na vyama vya siasa.

Itafaa zaidi ukazanie u-CCM wako kuliko kujidanganya kwamba wewe unasimamiia maslahi mapana ya Tanzania. Sitegemei tena kuendeleza mjadala huu na wewe.
 
Kama wao wanajenga bandari Bagamoyo, Pangani inawahusu nini? Chonde chonde....Ni dhambi kama tutaanza kugawa ownership ya Tanzania vipande vipande kwa nchi za nje kwa kitu ambacho kinaepukika.
Huu mradi mbona unakomaliwa sana????
Inafikirisha
 
Back
Top Bottom