Bandari ya Bagamoyo: Waziri Mwambe asema Wachina walisema Dar hadi Pangani, na sio Mtwara hadi Tanga

Countrywide

JF-Expert Member
Mar 2, 2015
18,174
27,223
SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI

Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli. Hayo maneno sijui yalitoka wapi, kilichosemwa ni kwamba kuanzia Dar es Salaam hadi Pangani kusiendelezwe bandari''

Nimeona na kusikia maneno ya waziri Mwambe kuhusu ujenzi wa bandari ya bagamoyo na kilichosemwa sio Mtwara hadi Tanga bali ni Dar hadi Pangani.

Kwanza namkumbusha waziri Mwambe kuwa Pangani pia ipo Tanga.

Pia hata kama ni Dar hadi Tanga, pia sio masharti mazuri. Kwanini ndani ya nchi yako upangiwe uendeleze wapi na wapi usiendeleze?

Sababu waliyotoa ni kupata ushindani endapo bandari zitaendelezwa ukanda huo, Ila mbona wao wanakuja kuleta ushindani kwa bandari ya Dar?

Hilo lilikua moja ya sharti, vipi kuhusu mengine mbona waziri umekua kimya?

Na-support ujenzi wa bandari ila tutangulize maslahi ya taifa kwanza na naomba hata hayo masharti ya kutoendeleza Dar hadi Tanga msiyakubali.

Kazi iendelee
 
Nimeona na kusikia maneno ya waziri Mwambe kuhusu ujenzi wa bandari ya bagamoyo na kilichosemwa sio Mtwara hadi Tanga bali ni Dar hadi Pangani.
Kwanza namkumbusha waziri Mwambe kuwa Pangani pia ipo Tanga.
Pia hata Kama ni Dar hadi Tanga, pia sio masharti mazuri. Kwa nini ndani ya nchi yako upangiwe uendeleze wapi na wapi usiendeleze?
Sababu waliyotoa ni kupata ushindani endapo bandari zitaendelezwa ukanda huo, Ila mbona wao wanakuja kuleta ushindani kwa bandari ya dar?
Hilo lilikua moja ya sharti, vipi kuhusu mengine mbona waziri umekua kimya?
Na-support ujenzi wa bandari Ila tutangulize maslahi ya taifa kwanza na naomba hata hayo masharti ya kutoendeleza Dar hadi Tanga msiyakubali.
Kazi iendelee
View attachment 2016278
Bado kama ndiyo mashart ni hayo bado niya ovyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI

Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli.Hayo maneno sijui yalitoka wapi, kilichosemwa ni kwamba kuanzia Dar es Salaam hadi Pangani kusiendelezwe bandari''


Nimeona na kusikia maneno ya waziri Mwambe kuhusu ujenzi wa bandari ya bagamoyo na kilichosemwa sio Mtwara hadi Tanga bali ni Dar hadi Pangani.

Kwanza namkumbusha waziri Mwambe kuwa Pangani pia ipo Tanga.

Pia hata Kama ni Dar hadi Tanga, pia sio masharti mazuri. Kwanini ndani ya nchi yako upangiwe uendeleze wapi na wapi usiendeleze?

Sababu waliyotoa ni kupata ushindani endapo bandari zitaendelezwa ukanda huo, Ila mbona wao wanakuja kuleta ushindani kwa bandari ya Dar?

Hilo lilikua moja ya sharti, vipi kuhusu mengine mbona waziri umekua kimya?

Na-support ujenzi wa bandari Ila tutangulize maslahi ya taifa kwanza na naomba hata hayo masharti ya kutoendeleza Dar hadi Tanga msiyakubali.

Kazi iendelee

Kama wao wanajenga bandari Bagamoyo, Pangani inawahusu nini? Chonde chonde....Ni dhambi kama tutaanza kugawa ownership ya Tanzania vipande vipande kwa nchi za nje kwa kitu ambacho kinaepukika.
Huu mradi mbona unakomaliwa sana????
 
SERIKALI YAMKANA HAYATI MAGUFULI

Waziri Mwambe amesema haya ''Kuna jambo niliweke sawa ilisemwa kuwa wachina walisema kusiendelezwe bandari yoyote kutoka Mtwara hadi Tanga,sio kweli.Hayo maneno sijui yalitoka wapi, kilichosemwa ni kwamba kuanzia Dar es Salaam hadi Pangani kusiendelezwe bandari''


Nimeona na kusikia maneno ya waziri Mwambe kuhusu ujenzi wa bandari ya bagamoyo na kilichosemwa sio Mtwara hadi Tanga bali ni Dar hadi Pangani.

Kwanza namkumbusha waziri Mwambe kuwa Pangani pia ipo Tanga.

Pia hata Kama ni Dar hadi Tanga, pia sio masharti mazuri. Kwanini ndani ya nchi yako upangiwe uendeleze wapi na wapi usiendeleze?

Sababu waliyotoa ni kupata ushindani endapo bandari zitaendelezwa ukanda huo, Ila mbona wao wanakuja kuleta ushindani kwa bandari ya Dar?

Hilo lilikua moja ya sharti, vipi kuhusu mengine mbona waziri umekua kimya?

Na-support ujenzi wa bandari Ila tutangulize maslahi ya taifa kwanza na naomba hata hayo masharti ya kutoendeleza Dar hadi Tanga msiyakubali.

Kazi iendelee
Bora hayati hayupo je huyu mwingine aliyetupa mfano wa punda, sura anaiweka wapi?
 
Wachina wamejifunza na historia. Walivyowekeza kwenye TAZARA, nchi za Magharibi wakaja wakatia fitna na kufadhili ujenzi wa barabara ya Dar - Tunduma; mwisho wake imeua TAZARA. Wana uhakika gani kuwa baada ya kujenga Bagamoyo port, USA hawatakuja na bandari ya Pangani?

Anyways, sio kazi ya Mchina kulinda maslahi ya Mtanzania. Ni kazi yetu.
 
Back
Top Bottom