Je, tukisema Tanzania ina uhusiano wa kibalozi na Israel, lakini Dar hakuna ubalozi wa Israel tutakuwa tumekosea?
Baada ya vita ya 1967 Tanzania tulivunja uhusiano wa kibalozi na Israele ili kuwatetea wapalestina.
Naamini kabisa kabla ya hapo Israele walikuwa na ofisi ya Ubalozi nchini Tanzania.
JKT ilianzisha na Israel na hata sasa wanafufua JKT kwa kuwashirikisha.
UDSM na ilijengwa na kuendeshwa kwa muda na Israel Kilimanjaro Hotel pia ilijengwa na Israel.