Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Balozi za Tanzania
Ubelgiji- Pia unashughulikia uhusiano na Luxembourg, Uholanzi, European Union na ACP/EU, lakini tuna consulate pia Uholanzi sijui hasa kazi yake ni nini
Afrika Kusini unashughulikia mambo ya Namibia, Lesotho, Botswana na SADC
Burundi, Rwanda, Malawi, Uganda, UAE, Zimbabwe, Msumbiji(unashughulikia pia mambo ya Mauritius)
Marekani unashughulikia pia, Benki ya dunia, IMF, Venezuela, Brazil, Argentina na Mexico
Canada pia unashughulikia uhusiano na Cuba
China pia unashughulikia uhusiano na Vietnam, Laos, Cambodia, Mongolia, Thailand and the Democratic People's Republic of Korea (DPRK)
DRC pia unashughulikia Gabon, Central African Republic, Cameroon na Congo Brazzaville
Misri pia unashughulikia mambo ya Israel, Lebanon, Palestine, Libya, Iraq na Syria
Ethiopia pia unashughulikia mambo ya Eritrea, Djibout, Yemen, AU na ECA
Ufaransa pia unashughulikia mambo ya Spain, Portugal, Algeria, Morocco, Tunisia, UNESCO
Ujerumani unashughulikia pia mambo ya Switzerland, Poland, Czech, Slovakia, Hungary, Bulgaria, Rumania, Austria na Holy See(sina hakika kama bado iko hivi)
India unashughulikia pia mambo ya Sri Lanka, Nepal, Bangladesh, Myanmar, Malaysia, Singapore, Indonesia na Brunei Darusalaam
Italia unashughulikia mambo ya Greece, Albania, Serbia and Montenegro, Croatia, Slovenia, Bosnia-Herzegovena, Serbia, Turkey, IFAD, FAO na WFP
Japan unashughulikia pia mambo ya Phillipines, South Korea, Australia, New Zealand na Papua New Guinea
Kenya unashughulikia mambo ya Sudan, Seychelles, Somalia, UNEP na HABITAT
Nigeria unashughulikia mambo ya Benin, Togo, Cote d'Ivoire, Guinea, Senegal, Mali, Liberia, Sierra Leone, The Gambia, Burkina Faso, ADB na ECOWAS
Russia unashughulikia mambo ya Belarus, Georgia and Ukraine
Saudia unashughulikia mambo ya Oman, UAE, Pakistan, Iran, Qatar, Bahrain na Kuwait
Sweden unashughulikia pia mambo ya Denmark, Finland, Norway, Iceland, Estonia, Latvia na Lithuania
Umoja wa mataifa pia unashughulikia mambo ya UNDP, UNICEF, UNFPA, Jamaica, Trinidad and Tobago, Barbados na Guyana.
Uswisi unashughulikia pia mambo ya UN kwenye ofisi za Geneva na Vienna
Uingereza unashughulikia nchi za UK Ireland na jumuiya ya madola
Zambia unashughulikia pia Angola Sao Tome na Principe, COMESA (sina hakika kama bado ina function)
watu wa wizara ya mambo ya nje wanaweza kutuambia zaidi, maana wao ndio insiders wanajua vizuri. Lakini muulizaji aliuliza swali kwanini Sudan, na hasa uhusiano kwenye elimu ya dini.
Foreign Policy yetu kwa kweli haileweki, kidogo ilianza kuwa na shape wakati wa Mkapa lakini sasa ni kama haina mwelekeo, bado balozi haina majukumu makubwa ya kunufaisha nchi zaidi ya kuwa ni kama symbols of unity. Unaweza kuona hata Jamaica tuna uhusiano nayo hata Eritrea, why? ni kama tunaiga tu hatujui ni nini hasa tunataka.
Ubelgiji- Pia unashughulikia uhusiano na Luxembourg, Uholanzi, European Union na ACP/EU, lakini tuna consulate pia Uholanzi sijui hasa kazi yake ni nini
Afrika Kusini unashughulikia mambo ya Namibia, Lesotho, Botswana na SADC
Burundi, Rwanda, Malawi, Uganda, UAE, Zimbabwe, Msumbiji(unashughulikia pia mambo ya Mauritius)
Marekani unashughulikia pia, Benki ya dunia, IMF, Venezuela, Brazil, Argentina na Mexico
Canada pia unashughulikia uhusiano na Cuba
China pia unashughulikia uhusiano na Vietnam, Laos, Cambodia, Mongolia, Thailand and the Democratic People's Republic of Korea (DPRK)
DRC pia unashughulikia Gabon, Central African Republic, Cameroon na Congo Brazzaville
Misri pia unashughulikia mambo ya Israel, Lebanon, Palestine, Libya, Iraq na Syria
Ethiopia pia unashughulikia mambo ya Eritrea, Djibout, Yemen, AU na ECA
Ufaransa pia unashughulikia mambo ya Spain, Portugal, Algeria, Morocco, Tunisia, UNESCO
Ujerumani unashughulikia pia mambo ya Switzerland, Poland, Czech, Slovakia, Hungary, Bulgaria, Rumania, Austria na Holy See(sina hakika kama bado iko hivi)
India unashughulikia pia mambo ya Sri Lanka, Nepal, Bangladesh, Myanmar, Malaysia, Singapore, Indonesia na Brunei Darusalaam
Italia unashughulikia mambo ya Greece, Albania, Serbia and Montenegro, Croatia, Slovenia, Bosnia-Herzegovena, Serbia, Turkey, IFAD, FAO na WFP
Japan unashughulikia pia mambo ya Phillipines, South Korea, Australia, New Zealand na Papua New Guinea
Kenya unashughulikia mambo ya Sudan, Seychelles, Somalia, UNEP na HABITAT
Nigeria unashughulikia mambo ya Benin, Togo, Cote d'Ivoire, Guinea, Senegal, Mali, Liberia, Sierra Leone, The Gambia, Burkina Faso, ADB na ECOWAS
Russia unashughulikia mambo ya Belarus, Georgia and Ukraine
Saudia unashughulikia mambo ya Oman, UAE, Pakistan, Iran, Qatar, Bahrain na Kuwait
Sweden unashughulikia pia mambo ya Denmark, Finland, Norway, Iceland, Estonia, Latvia na Lithuania
Umoja wa mataifa pia unashughulikia mambo ya UNDP, UNICEF, UNFPA, Jamaica, Trinidad and Tobago, Barbados na Guyana.
Uswisi unashughulikia pia mambo ya UN kwenye ofisi za Geneva na Vienna
Uingereza unashughulikia nchi za UK Ireland na jumuiya ya madola
Zambia unashughulikia pia Angola Sao Tome na Principe, COMESA (sina hakika kama bado ina function)
watu wa wizara ya mambo ya nje wanaweza kutuambia zaidi, maana wao ndio insiders wanajua vizuri. Lakini muulizaji aliuliza swali kwanini Sudan, na hasa uhusiano kwenye elimu ya dini.
Foreign Policy yetu kwa kweli haileweki, kidogo ilianza kuwa na shape wakati wa Mkapa lakini sasa ni kama haina mwelekeo, bado balozi haina majukumu makubwa ya kunufaisha nchi zaidi ya kuwa ni kama symbols of unity. Unaweza kuona hata Jamaica tuna uhusiano nayo hata Eritrea, why? ni kama tunaiga tu hatujui ni nini hasa tunataka.