Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
Nadhani ubalozi wetu Ethiopia unahudumia na Sudan vile vile.
hapana ubalozi wa misri ndio unaoshughulikia sudan, sio ethiopia
kama urusi na ukraine
Nadhani ubalozi wetu Ethiopia unahudumia na Sudan vile vile.
hapana ubalozi wa misri ndio unaoshughulikia sudan, sio ethiopia
kama urusi na ukraine
Kama alivyouliza Mtu wa Pwani, mbona huulizii Nchi za Nordic (isipokuwa Sweden)na nyingine kama hizo ambazo pamoja na kuwa na ubalozi nchini kwetu ni wafadhili wetu wakuu! Kwa nini Sudan tuu?
Sifa mojawapo ya Mtz ni kuuliza swali juu ya swali....Kwa nini tuwe na ubalozi Sudan?
Baada ya vita ya 1967 Tanzania tulivunja uhusiano wa kibalozi na Israele ili kuwatetea wapalestina.
Naamini kabisa kabla ya hapo Israele walikuwa na ofisi ya Ubalozi nchini Tanzania.
JKT ilianzisha na Israel na hata sasa wanafufua JKT kwa kuwashirikisha.
UDSM na ilijengwa na kuendeshwa kwa muda na Israel Kilimanjaro Hotel pia ilijengwa na Israel.
Kwa Nchi za Nordic ubalozi ni hapo Sweden...
Sudan ubalozi uko Misri! Kinachodaiwa hapa ni ubalozi ndani ya nchi husika. Hatuna ubalozi Denmark, Norway, Iceland, Finland, Latvia na Estonia. Tunawakilishwa kwenye zote hizi na balozi wetu aishie na kufanya kazi Stockholm, Sweden. Sudan vilevile tunawakilishwa kutoka misri.
Tatizo linaweza kuwa ni la kiuchumi na mazingira kwa kutokuwa na ofisi za balozi katika nchi ambazo zina balozi zao nchini.
Kabisa, na hii ndio sababu hasa inayotufanya tukawa na balozi chache sana. Kuziendesha kunahitaji gharama kubwa, na uchumi wa danganyika ndio hivyo unachechemea mno!
Aliyeanzisha mada anajua yote haya. Kuna kitu kimejificha kwenye hoja nzima!!! Ndiyo maana anaulizwa, kwa nini Sudan?
@Fundi
Duh, hii nayo!
Sasa we fundi ni kitu gani unahisi kimefichika hapa? Kwamba jamaa kuna jibu alikuwa anataka nje ya haya tunayojadili ama?
Sudan ni nchi ya Kiislamu. Kuna haja ya kuongea zaidi?