Nchi gani ya SADC naweza kwenda kutafuta maisha na nikatoka kwa mtaji huu?

Al nassr

New Member
Aug 20, 2023
1
3
Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Wakuu siko vizuri kupangilia maandishi naomba mnisamehe kwa hilo.

Mimi ni kijana mwenye miaka 30 nimefanya biashara kama tatu hapa bongo sioni mafanikio biashara ya mwisho nimeachana nayo last month nimeuza vitu kwa hasara nimepata 2M. Nimeamua kwenda kutafuta maisha nje najua humu kuna watu mna exposure na nchi za nje naomba mnishauri ni chi gani naweza kwenda kwa mtaji huo nikafanikiwa?

Nimeifatilia sana nchi ya Zambia hasa mji wa Kitwe nasikia kuna biashara nzuri ya nguo na mabegi, pili nimefatilia South Africa biashara ya Apple nitoe South nikauze Lusaka, Zambia but sijui gharama wala chochote kile ndio maana nimekuja humu mnaojua naomba mnisaidie.

Tatu nimeifatilia kidogo nchi ya South Sudan nasikia kuna biashara nzuri ya chakula kutoa Kampala kupeleka Mji Mkuu wa South Sudan but hii sijaipa priority kubwa kwasababu ya usalama.

Mawazo yenu ni muhimu sana ndugu zangu, pia kama kuna mwenyeji anaweza kunishika mkono kati ya nchi hizo please naomba anisaidie Mungu atambariki.
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Wakuu siko vizuri kupangilia maandishi naomba mnisamehe kwa hilo.

Mimi ni kijana mwenye miaka 30 nimefanya biashara kama tatu hapa bongo sioni mafanikio biashara ya mwisho nimeachana nayo last month nimeuza vitu kwa hasara nimepata 2M. Nimeamua kwenda kutafuta maisha nje najua humu kuna watu mna exposure na nchi za nje naomba mnishauri ni chi gani naweza kwenda kwa mtaji huo nikafanikiwa?

Nimeifatilia sana nchi ya Zambia hasa mji wa Kitwe nasikia kuna biashara nzuri ya nguo na mabegi, pili nimefatilia South Africa biashara ya Apple nitoe South nikauze Lusaka, Zambia but sijui gharama wala chochote kile ndio maana nimekuja humu mnaojua naomba mnisaidie

Tatu nimeifatilia kidogo nchi ya South Sudan nasikia kuna biashara nzuri ya chakula kutoa Kampala kupeleka Mji Mkuu wa South Sudan but hii sijaipa priority kubwa kwasababu ya usalama.

Mawazo yenu ni muhimu sana ndugu zangu, pia kama kuna mwenyeji anaweza kunishika mkono kati ya nchi hizo please naomba anisaidie Mungu atambariki.
ugenini na 2M mkuu? ila utapata tu muongozo hapa na hongera kwa kuamua kutafuta fulsa nje ya nje
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Wakuu siko vizuri kupangilia maandishi naomba mnisamehe kwa hilo.

Mimi ni kijana mwenye miaka 30 nimefanya biashara kama tatu hapa bongo sioni mafanikio biashara ya mwisho nimeachana nayo last month nimeuza vitu kwa hasara nimepata 2M. Nimeamua kwenda kutafuta maisha nje najua humu kuna watu mna exposure na nchi za nje naomba mnishauri ni chi gani naweza kwenda kwa mtaji huo nikafanikiwa?

Nimeifatilia sana nchi ya Zambia hasa mji wa Kitwe nasikia kuna biashara nzuri ya nguo na mabegi, pili nimefatilia South Africa biashara ya Apple nitoe South nikauze Lusaka, Zambia but sijui gharama wala chochote kile ndio maana nimekuja humu mnaojua naomba mnisaidie

Tatu nimeifatilia kidogo nchi ya South Sudan nasikia kuna biashara nzuri ya chakula kutoa Kampala kupeleka Mji Mkuu wa South Sudan but hii sijaipa priority kubwa kwasababu ya usalama.

Mawazo yenu ni muhimu sana ndugu zangu, pia kama kuna mwenyeji anaweza kunishika mkono kati ya nchi hizo please naomba anisaidie Mungu atambariki.
Hiyo 2M ni nauli ndugu yangu sema kama unapenda exposure Anza na kusini mwa Tanzania, chukua nafaka songea kauze mtwara ,nunua ufuta alizeti mtwara uza Dar.
Mtaji ukifika 20M,
Tafuta passport viza ya mwanafunzi ingia south Africa miji midogo na sio mikubwa maana huko roho mbaya na watu maisha yamewashinda so epuka husda.
Miji kama East London, Polokwane,Petermarizberg n.k iwe choice Yako.
Baada ya kusettle nunua pikipiki register UberEATS au kampuni nyingine
Kwa wiki hukosi Randi 2000.
Sema Bora huko Uganda na Sudan kuliko South Africa.
 
Hiyo 2M ni nauli ndugu yangu sema kama unapenda exposure Anza na kusini mwa Tanzania, chukua nafaka songea kauze mtwara ,nunua ufuta alizeti mtwara uza Dar.
Mtaji ukifika 20M,
Tafuta passport viza ya mwanafunzi ingia south Africa miji midogo na sio mikubwa maana huko roho mbaya na watu maisha yamewashinda so epuka husda.
Miji kama East London, Polokwane,Petermarizberg n.k iwe choice Yako.
Baada ya kusettle nunua pikipiki register UberEATS au kampuni nyingine
Kwa wiki hukosi Randi 2000.
Sema Bora huko Uganda na Sudan kuliko South Africa.
Samahani Rafiki, Naomba kuuliza jambo linalo nitatiza juu ya Biashara ya Nafaka ningependa kufahamu
1.Masoko, baadhi yanayo husika na ununuzi wa Nafaka yapatikanayo DAR.
2.Nauli ya Usafirishaji wa Nafaka kwa Mzingo mmoja Mfano, Kg100 kutoka Songea to Dar.
3.Ununuzi wa bidhaa unafanyikaje, Kupitia Mashambani kwa wakulima au Kuna maeneo maalumu kwa ajili ya Ununuzi wa Bidhaa ya Nafaka mikoani.
4.kiasi cha mtaji chenye unafuu wa kuanza biashara ya usafirishaji wa Mazao Mfano, Zao la Alizeti.

Ni hayo tuh.!! Naombeni Msaada juu ya hili.
 
Samahani Rafiki, Naomba kuuliza jambo linalo nitatiza juu ya Biashara ya Nafaka ningependa kufahamu
1.Masoko, baadhi yanayo husika na ununuzi wa Nafaka yapatikanayo DAR.
2.Nauli ya Usafirishaji wa Nafaka kwa Mzingo mmoja Mfano, Kg100 kutoka Songea to Dar.
3.Ununuzi wa bidhaa unafanyikaje, Kupitia Mashambani kwa wakulima au Kuna maeneo maalumu kwa ajili ya Ununuzi wa Bidhaa ya Nafaka mikoani.
4.kiasi cha mtaji chenye unafuu wa kuanza biashara ya usafirishaji wa Mazao Mfano, Zao la Alizeti.

Ni hayo tuh.!! Naombeni Msaada juu ya hili.
Sina uhakika ndugu coz Niko nnje ya bongo muda Sasa ila kama Hilo swala uko seriously nalo basi nenda kariakoo au soko lolote kubwa, mtafute dalali mmoja, mtoe lunch Kisha muulize hizo details zote nina uhakika utapata information za kutosha na maybe utaleta mrejesho hapa.
 
Sina uhakika ndugu coz Niko nnje ya bongo muda Sasa ila kama Hilo swala uko seriously nalo basi nenda kariakoo au soko lolote kubwa, mtafute dalali mmoja, mtoe lunch Kisha muulize hizo details zote nina uhakika utapata information za kutosha na maybe utaleta mrejesho hapa.
Ingawa sijafika South Sudan, hisia zangu zinanituma kuwa huenda kungali na fursa nyingi kwa kuwa bado ni nchi "changa".
 
Ni kweli kabisa kikubwa ni mtaji na kuthubutu. Ila Tanzania pia ni nchi kubwa na fursa ni nyingi mikoani
Ni kweli mkuu, lakini wakati mwingine, mafanikio ni kama kitu cha ajabu vile.

Unaweza usione "fursa" mahali ulipo, lakini ukitoka na kwenda kwingineko, ukaziona fursa ambazo wenyeji wa mahali hapo walikuwa hawazioni. Kadhalika, mtu mwingine akienda huko ulikotokea ambako ulikuwa huoni fursa zozote, anaweza akaishia kutajirika kupitia mazingira yale yale ambayo wewe uliyakimbia.
 
Ni kweli mkuu, lakini wakati mwingine, mafanikio ni kama kitu cha ajabu vile.

Unaweza usione "fursa" mahali ulipo, lakini ukitoka na kwenda kwingineko, ukaziona fursa ambazo wenyeji wa mahali hapo walikuwa hawazioni. Kadhalika, mtu mwingine akienda huko ulikotokea ambako ulikuwa huoni fursa zozote, anaweza akaishia kutajirika kupitia mazingira yale yale ambayo wewe uliyakimbia.
Hilo neno , Kuna msemo "think outside the box". Nakubali kabisa kutoka ktk mazingira uliyokulia au kuishi Kuna fungua jicho la Tatu la fursa na kujitambua pia.
Binafsi Nina mengi nimeyaona nikiwa nnje ya bongo na pia mtazamo wangu maisha umechange Kwani Kuna vitu nilikuwa nadharau au kupuuzia lakini kumbe ni kutoa kufahamu mambo kiundani na mazoea pia hujenga kama upofu flani.
 
Back
Top Bottom