Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Wanabodi salam, jana vyombo vingi vya habari vimeripoti kuhusu kada wa siku nyingi na aliyewahi kuwa barozi ndugu Bakari Mwapachu eti kurudi ccm.
Ndugu Bakari Mwapachu, hakuwahi kuhama ccm na kuhamia chama chochote kile cha siasa hapa nchini au kupanda katika jukwaa la chama chochote mbali na ccm toka zaliwe.
Mwapachu hakuwahi kukabidhiwa kadi ya chama chochote cha siasa mbali ya ile ya ccm ambayo anaimiliki mpaka kesho.
Tukumbuke, jambo pekee Mwapachu ambalo amelifanya na ametangaza ni kumuunga mkono wazi wazi aliyekuwa msaka urais ndani ya ccm na baadae kuhamia na kuwa mgombea wa UKAWA katika uchaguzi uliomalizika 2015. Kama kumuunga mkono Lowassa ilikuwa ndiyo kigezo cha kuhama ccm basi walihama wengi sana kwa kuwa wapo waliokuwa wapiga kampeni wa Magufuli (team 32) lakini walikuwa wanamuunga mkono lowassa wazi wazi na wengine kwa siri hawa nao wanatakiwa wapokelewe na walakiwe kwa bashasha.
My take kwa Mwapachu.
Anatakiwa awe na msimamo kwa umri wake na elimu yake. Acha siasa nyepesi, upo kwenye siasa siku nyingi kwa unayoyafanya leo ni kichekesho ambacho ni sawa na kumchekesha mtoto mgonjwa.
 
Inahitaji uwe na uwezo wa kujisimamia na hata
kuwa tayari kudhalilishwa ili usiwe mwana ccm..... najaribu kufikilia tu, kichapo alicho pata mpinzani wa ndugai mpaka kuzimia lakini leo ni spika.... vipi ndugai angekuwa mpinzani? Namkumbuka mzee wa makengeza, nakumbuka escrow.... harafu narudi kwenye kesi karibu 20 alizo nazo mbowe, Bulaya, Mdee..... hivo mwapachu yuko sahihi
maana sio mwana mapinduzi, hayuko tayari kuwa upande huu unao onekana kubezwa.... yeye ni wale wa maisha bora, ma opportunist wanao fuata upepo.... kifupi alikosea hesabu, aliona
nguvu ya EL akadhani atashinda na yeye kupewa nafsai kubwa tu.... watu wa hivi wamejaa ccm.... roho zinawauma lakini hawawez hama, kitumbua chao no mihim kuliko kuikosoa ccm ili kiwe chama bora na imara,,,, yaani ni kama mbwa anae kalia mkia wake kwa woga......
 
Mzee wa watu kaamua tutoka kwenye SEBURE yenye ndoo ya kinyesi, na Kurudi ndani ya TOILET kabisa. Kweli kupanga ni kuchagua.
 
Nadhani kuna kipengele cha Mwapachu kurudisha kadi ya CCM kilikupita. Huyu Balozi alijitoa CCM ila hakujiunga na Chama chochote baada ya hapo. .
 
Daaaaah!!!! Aiseee hawa WanaSiasa watatumaliza. Ila kwa Huyo Mzee nafikiri it's a little bit too late maana Bosi wetu huyu mpya hatabiriki.
Na kwakuwa amerudi kinafki eti shughuli zake na za washirika wake zisisumbuliwe basi tunaomba huyu aangaliwe hata kama karudi CCM... Ila mkuu kada swali langu lingine, ina maana shughuli zinazofanywa na wana CCM na washirika wao huwa hazisumbuliwi?? Mfano; Hivi kweli Silent Ocean haina magumashi yoyote yale kwenye lile saga la bandari???
 
huyu mzee namshangaa, naanza hata kuamini yale waliyomzushia kipindi kile cha kampeni
 
Nadhani kuna kipengele cha Mwapachu kurudisha kadi ya CCM kilikupita. Huyu Balozi alijitoa CCM ila hakujiunga na Chama chochote baada ya hapo. .
Alirudisha kadi au alienda kuhifadhi kadi yake ofisi ya kata kwa kuwa kwake kuna panya!!?
 
hahahaha hakuhamia chama chochote is like from ccm to ccm akwendreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


hapa wanataka kutusahaulisha znz loh
 
Nadhani kuna kipengele cha Mwapachu kurudisha kadi ya CCM kilikupita. Huyu Balozi alijitoa CCM ila hakujiunga na Chama chochote baada ya hapo. .
Haya tuambie, alirudisha wapi hiyo kadi?
 
Huyu mzee hakuna sehemu ambayo alisema kuwa anajiunga na chama fulani cha siasa; hivyo kadi yake alikuwa ameihifadhi na jana ameichukua tena.

Si kwamba alijipachika katika chama fulani cha siasa baada ya uamuzi ule, kwani hakuna siku aliyokabidhiwa kadi ya chama kingine, na pia baada ya siku ile hakuonekana hata katika vyombo vya habari au majukwaa ya kampeni ya chama fulani. Hivyo alijiweka pembeni kuangalia upepo unavyovuma na baada ya kuona umevuma upande wa CCM ndipo akatangaza kuwa bado ni mwana CCM.
 
Huyu mzee hakuna sehemu ambayo alisema kuwa anajiunga na chama fulani cha siasa; hivyo kadi yake alikuwa ameihifadhi na jana ameichukua tena.

Si kwamba alijipachika katika chama fulani cha siasa baada ya uamuzi ule, kwani hakuna siku aliyokabidhiwa kadi ya chama kingine, na pia baada ya siku ile hakuonekana hata katika vyombo vya habari au majukwaa ya kampeni ya chama fulani. Hivyo alijiweka pembeni kuangalia upepo unavyovuma na baada ya kuona umevuma upande wa CCM ndipo akatangaza kuwa bado ni mwana CCM.
mkuu haukuwepo siku anatangaza kujivua uanachama mwaka jana nini??alirudisha kadi yake palepale alipochukulia jana sasa napata wasiwasi labda utuambie aliificha wapi??
 
Hajitambui Nachotaka ni nini
sasa anayejitambua huko ni nani,maana wengi huko kabla ya kuhama walitoa kauli za kishujaa ndani ya ccm,mara "asiyenitaka atoke yeye ccm ila mimi sitahama ccm"leo wapo wap? hawa wakati wanatoa hizi kauli walikuwa wanajitambua hawajitambui??mnashangaa leo ya mwapachu,ni mwendelezo ule ule wa wanasiasa vigeugeu na huu ni mwanzo tu,mpaka 2020 tutawaona wengi tu.........
 
Zipo taarifa za chini kwa chini zinazodai kuwa Balozi Juma Mwapachu ana mpango wa kurejea CCM. Mpaka sasa bado haijafahamika ni sababu zipi hasa zilizompelekea kufikia uamuzi huo.

Itakumbukwa kwamba wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka jana, Balozi Mwapachu alirudisha kadi za TANU na CCM na kutangaza kumuunga mkono aliyekuwa mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa.

=======

UPDATES:

NOTE: Kulikuwa na tamko la awali likimhusisha Mh. Edward Lowassa; Balozi Mwapachu amekana kuandika tamko hilo ingawa kakiri kuwa kweli ameamua kurejea CCM.

View attachment 330199
Hatimaye imekuwa kweli. Balozi Mwapachu ametangaza rasmi kurejea CCM


Watu huwa wanabugi steps katika maisha ila huyu mwenzetu sijuwi niitaje,ila naona kama vile anautafuta uteuzi kutoka kwa Mhe jpm vile kwa huu ujio wake ccm ila asitegeme lolote.
 
ccm wanafukuza wanaoitwa wasaliti, anaerudi atapokelewa na nani?
Ukifatilia kwa karibu ndugu utagundua zile harakati za kukijenga chama cha ccm kwa kununua watu wenye tamaa ya pesa kama mwapachu na kuwapa tungo za maneno ili wakalili na kuimba kwenye media hii dalili ya kua magu ni kinyago kile kile kilichonjongwa na wamakonde wale wale kwa kaz ile ile
 
Back
Top Bottom