Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Tuseme hii habari ni ya kweli....

Kwani hawezi kuishi bila ya kuwa CCM?

Yaani baada ya kuondoka kwa drama vile sasa anaamua kurudi tena?
 
Ni dead wood huyu na oppurtunists mbaya.

Hana moyo wa kuitumikia nchi, bali ana fikiria maslahi yake binafsi kwa kujuana na watu ili wampe ulaji.

Hakuna kitu kibaya kama kukikana chama kilichokulea na kufuata maslahi yako na tumbo lako, haafu unakula matapishi yako.

Utaaminiwa na nani?
 
Ni kweli karudi ccm, mwananchi online nao wameandika
Na kaandika huo utumbo uliooza hapo juu?

I had such respect for Mwapachu. I remember as a young buck back in 1999 nilikuwa nalitetea Time magazine at New Africa. He told me "You get the most from The Economist, you don't get the most from Time or Newsweek". Kutoka hapo nikawa naliangalia sana The Economist nikaona tofauti aliyoisema.

Leo hii anaandika kitu kama mtu ambaye hajapata kusoma chochote cha maana.
 
Haha mkuu nimepigwa na butwaa!!!

Huyu ndiye alikuwa think tank ya EAC as secretary general!!!!

Dah nchi hii ina mambo!!!!
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa ni Mwapachu kaandika (japo kweli anaweza kuwa amerudi CCM). Na kama ni yeye basi atakuwa ana tatizo kubwa sana....
 
Hapa kidogo nimemwelewa kwamba kuna kazi zake haziendi kwa kuwa serikali inakwamisha kutokana na kumsaidia lowassa, yale maneno ya wafuasi wa chadema wananyanyaswa yanadhihilishwa wazi
Au huwezi jua, maana JPM kaanza kuyafuata najipu hata yale yaliyokwisha staafu na kuyataka yajibu tuhuma. Wengine wanaweza kudhani kuwa ukiwa chamani unaweza kuonewa huruma.
Kweli huenda kitendo cha Mbowe kutuletea EL kinaweza kuzibadilisha siasa za TZ kwa kuwajua wasaka tonge na wenye nia safi!
 
...huyu Mzee kachanganyikiwa....mi huwa nawashangaa sana hawa wazee...hivi kweli huwezi kufanya/kuishi kivyako mpaka uwe kwenye chama cha siasa?...yanini kujushusha hivi mtu ulikuwa na heshima yako!....
 
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa ni Mwapachu kaandika (japo kweli anaweza kuwa amerudi CCM). Na kama ni yeye basi atakuwa ana tatizo kubwa sana....
Mkuu hiyo ni hotuba yake aloitoa Leo....
 
Hahahaaaha huu ndio unaitwa UMALAYA wa Kisiasa, tena kakiri kuwa alikua na Mahaba na Mwanaume mwenzie..... hahahhaa eti kaahidiwa Uwaziri, Nyooooooooooo kabisa MANI tpaul Chakaza njooni muone huyu jamaa wa Tanga anavyojiabisha
 
Arudi asirudi haongezi value yoyote CCM.Walitutelekezea CCM vitani yeye na akina kingunge na akina Sumaye tumepigana wenyewe tumeshinda.Sasa ni HAPA KAZI TU.Atajijua yeye na wenzie waliotusaliti na kusaliti CCM kwenye vita ya uchaguzi.
Mtoto akikunyea kwenye mkono je utaukata huo mkono au utatafuta maji nakuusafisha,namsifu Balozi Mwapachu kwa kukiri mapungufu na kujirudi,hata Yesu alijaribiwa sembuse Mwapachu?

Tumkaribishe nyumbani Mh Mwapachu ,sisi sio Mungu wa kuhukumu,hata Mungu anasamehe sembuse mwanandamu,kwa hilo la Mwapachu kuomba msamhaha hadharani ni kuonyesha ukomavu wa kisiasa na kidplomasia.

Wengi waliahidiki na mafuriko hewa,sasa na warudi ni wanakondoo waliopoteausaliti haujanza kwa akina Mwapachu,kwa wale wenye mioyo midogo naamini waliamini Mheshimiwa wa Monduli angechukua nchi kumbe harakati zile zilikuwa za chura kumzuia tembo asinywe maji,karibu balozi,CCM hoyeeee
 
  • Thanks
Reactions: nao
Tuseme hii habari ni ya kweli....

Kwani hawezi kuishi bila ya kuwa CCM?

Yaani baada ya kuondoka kwa drama vile sasa anaamua kurudi tena?

If at all the statement is authentic...

The kicker is, anasema kaondoka kwa ajili ya mtu halafu karudi kwa sababu ya mtu.

Confirming that his politics revolves around personalities, not ideologies.

Halafu hapo hapo anakwambia CCM ikichagua mtu mbovu atabaki nayo tu.

Totally incoherent.

Halafu hapo hapo ka reveal kwamba alimuunga mkono Lowassa kwa uchu wa madaraka.

How stupid could one get? There ought to be laws against that type of quid pro quo politics.
 
Mimi nimepata shaka mpaka nafikiri labda wamemzushia tu, hakuandika yeye.

Ndiyo maana nikatanguliza kauli yangu na "Kama..."

Inatisha.

..Duh!!

..hata Mimi siamini kama Balozi Mwapachu ameandika statement hii.

..iko too shallow, na haifanani na uandishi wa Balozi Mwapachu ambao mara nyingi huwa umesheheni hijack na tafakuri nzito.


..nahisi ameandikiwa akalazimishwa kuisoma kama sharti la kurudishiwa uanachama wake.
 
Hhahahahahahahahah....sipati picha mzee mzima analialia
 
Ni somo kwetu sote . Ana uhuru wa kuamia awe chama gani pamoja na kutokuwa na lichama lolote .
 
Labda ni uzushi....ngoja tusubiri tuone.

Manake siku hizi kuna kila aina ya uzushi kwenye hii mitandao!
Screenshot_2016-03-16-17-16-51.png
 
Back
Top Bottom