Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

M


Mkuu samahani lakini pengine nimesahau Sumaye alichukua kadi ya chama lini,wapi Na nichama gani? Mimi nakumbuka alirudisha kadi ya CCM Ila kuhusu kuchukua kadi ya chama kingine sikumbuki hebu nikumbushe.
Ngoja namalizia kupaka Carolite halafu nitakuja na majibu!
 
Hivi alipotangaza kujitoa ccm alitangaza kujiunga na chama gani? Maana kuna watu na magazeti yanadai kuwa UKAWA imempoteza wakati kwa kumbukumbu zangu mh huyu hakujiunga na chama chochote alikaa kimya tangu ajitoe huko ccm mpaka leo anaporudi tena.[/
QUOTE]
Muulize EL atakuambia Juma Mwampachu alipohama ccm alihamaia wapi!!! Acha kujitoa ufahamu bure, kipindi kile mlipokuwa anajisifia kuwa mnaibomoa CCM mlikuwa mnawasemea akina nani!??!?
Siku hata ukisikia kuwa Kingunge nae amerudi kundini utashangaa hivo hivo!!!!
 
basi usishangae na lowassa na wakina sumaye wakazifuata kadi zao pale walipo zihifadhi...........

Je toka siku Balozi Mwapachu aliposema kuwa anarudisha kadi yake ya CCM pamoja na ya TANU ILISHATOKEA TENA alisimama jukwaa la chama chochote cha siasa na kuongea au kuonekana katika kampeni za chama chochote hadi zilipofikia tamati???

Je, ukiacha siku ile aliporudisha zile kadi, kuna siku ambayo alionekana katika chombo cha habari chochote akiongelea siasa za Tanzania, labda kuikosoa CCM kama ilivyokuwa kwa LOWASA, SUMAYE, wenzao ambao bado wana msimamo na UKAWA????

HUYU MWAPACHU ALIKUWA BADO NI CCM ISIPOKUWA ALIKUWA KAMA POPO, HAJIELEWI YU UPANDE UPI KATIKA MAISHA YAKE.

NAOMBA UNIKUMBUSHE KAMA KUNA SIKU MWAPACHU ALIONEKANA AU ALITOA KAULI BAADA YA SIKU ILE. KISHA NITAENDELEA.
 
baada ya lowasa kuja na kauli kwamba magufuli ni mmoja wa viongozi afrika wasio na maono.

Swahiba wake na mfuasi wa karibu ameudhihirishia uma wa watanzania ni kwa namna gani lowasa na ukawa wasivyokua watu wenye maono wala mikakati.

mwapachu ametuambia kua ukawa imejaa ubabaishaji na usanii.

ametuhakikishia kua yanayofanyika sasa ni sahihi.

sio jambo rahisi kuweka pembeni urafiki na kusema kweli. mwapachu kafanya hivyo.

sasa ipo wazi ukitaka kupoteza muda wako jipeleke ukawa.
 
Kwani ukawa ndio walimualika au yeye alirudisha kadi za TANU na ccm bila kujua miezi sita mbele itaonekanaje ambacho ndio maana ya 'maono'!
 
Balozi Mwapachu hajawahi kuwa mwana ukawa wala hajawahi kushiriki shughuli yoyote ya ukawa
 
alikua mwanachama wa chama gani baada ya kutoka ccm??
haha naona sasa mnaanza kumkana. maana kwa maelezo ni kua aliahidiwa uwaziri wa mambo ya nje na lowasa sasa sijui lowasa aligombea kupitia vyama vipi.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Mungu akipenda mwaka 2020 huko chama ama kambi ya upinzani itakayikuwa inazungumzwa na kuvuma si hii ya CDM ama.UKAWA
 
H
Arudi asirudi haongezi value yoyote CCM.Walitutelekezea CCM vitani yeye na akina kingunge na akina Sumaye tumepigana wenyewe tumeshinda.Sasa ni HAPA KAZI TU.Atajijua yeye na wenzie waliotusaliti na kusaliti CCM kwenye vita ya uchaguzi.
Hivi Kingunge yupo au ndio kaishiwa pumzi
 
Back
Top Bottom