Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Ni dead wood huyu na oppurtunists mbaya.

Hana moyo wa kuitumikia nchi, bali ana fikiria maslahi yake binafsi kwa kujuana na watu ili wampe ulaji.

Hakuna kitu kibaya kama kukikana chama kilichokulea na kufuata maslahi yako na tumbo lako, haafu unakula matapishi yako.

Utaaminiwa na nani?
Haya ndio matunga ya kubebwa bebwa, huyu siyo career diplomat, ndio walibebwa na rafiki zao wakati wakinyima wasomi wetu wa diplomasia nafasi kwa kuzijaza ili wakafaidi. This guy is full of shit, anajitangaza mfanyabiashara enzi zile akijida ni mkurugezi wa JV group kampuni za wahindi ambazo yeye hana share hata moja, haya tusisahau mke wake ametapeli wanawake wa kitanzania kupitia kitu walichokiita paradigm mpaka watu wakaenda mahakamani nasijui kama watu walilipwa, walifanya Deci ambapo wanawake wenzao walipoteza mamilioni ya pesa sasa tunashangaa nini?

Jamani mnakumbuka mbwembwe alizokuja nazo na vikao vya kufanywa mwenyekiti pale British Legion ya sasa, akiwahadaa wakina Masha vijana wadogo damu changa libabu lizima. ni jambo la aibu sana kusoma alichoandika, japo tunajua kuwa uongo mwingi hapo, tunali task gazeti la kizalendo Jamhuri litupe jibu, tutajua tu huyu mtu anayeendesha gari zenye nembo ya EAC miaka kadhaa baada yakutoka kwenye nafasi hiyo , siyo mtu wa kawaida, a total failure hakika mungu ni mwaminifu, anafikiri magufuli ni sharo baro? hayo yalipita na enzi za msogamania zimekwisha maana tunaelekea kwenye Tanzania tunayoitaka, leave our country alone rudi tanga huko kwenu na uswahili wako, hata shule haijakusaidia?
 
Kumshambulia Mwapachu kwa maneno siyo sahihi kwani yeye siyo mtu wa kwanza kuihama CCM kisha kurejea.

Tena bora Mwapachu hakuwahi kukitusi chama kama alivyofanya Waasira na wenzie enzi hizo za NCCR, lakini mbona alirudi kisha akapewa nafasi mbalimbali za Uongozi wa juu Serikalini na ndani ya CCM pia?

Muache Mzee karejea ni uamuzi wake.
 
Zipo taarifa za chini kwa chini zinazodai kuwa Balozi Juma Mwapachu ana mpango wa kurejea CCM. Mpaka sasa bado haijafahamika ni sababu zipi hasa zilizompelekea kufikia uamuzi huo.

Itakumbukwa kwamba wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka jana, Balozi Mwapachu alirudisha kadi za TANU na CCM na kutangaza kumuunga mkono aliyekuwa mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa.

=======

UPDATES:

NOTE: Kulikuwa na tamko la awali likimhusisha Mh. Edward Lowassa; Balozi Mwapachu amekana kuandika tamko hilo ingawa kakiri kuwa kweli ameamua kurejea CCM.

View attachment 330199
Hatimaye imekuwa kweli. Balozi Mwapachu ametangaza rasmi kurejea CCM



Hivi alipotangaza kujitoa ccm alitangaza kujiunga na chama gani? Maana kuna watu na magazeti yanadai kuwa UKAWA imempoteza wakati kwa kumbukumbu zangu mh huyu hakujiunga na chama chochote alikaa kimya tangu ajitoe huko ccm mpaka leo anaporudi tena.
 
Je, kwenye vyama vikubwa vya siasa kutoka nchi za Ulaya na America, mambo kama haya ya kubadili vyama kama magari yapo? Naomba majibu wana JF.
 
childish Mwapachu full stop
I salute you. Hebu ona hii:-
HOTUBA YA BALOZI JUMA MWAPACHU KUTANGAZA KUREJEA CCM
MIKOCHENI 16/03/2016

Ndugu zangu,

Mtakumbuka kwamba mnamo tarehe 13 Oktoba 2015, nilitangaza kuihama CCM na kurejesha kadi yangu ya uanachama kwenye ofisi ya CCM Kata ya Mikocheni. Nilitoa maelezo kwanini niliamua kujiondoa CCM (maelezo hayo pia niliyabandika katika ukurasa wangu wa facebook). Nilieleza kwamba CCM imepoteza mwelekeo kwa kuamua kumnyima haki ya kugombea mcha mungu Edwad Lowasa. Nikasema Edwad Lowasa ndiye chaguo la wana-CCM na ndiye chaguo la Watanzania. Nikasema nitakuwa mnafiki nikiendelea kubaki CCM huku naamini Edwad Lowasa anafaa kuwa Rais kuliko John Pombe Magufuli.

Baada ya miezi miwili ya uongozi wa Magufuli nataka niseme nilikosea sana. Nililewa mahaba ya Lowasa, nililewa ahadi ya Lowasa kunipa uwaziri wa mambo ya Nje........

More====

Mwapachu arudi CCM leo
 
MM
Hukuwa unakubaliana na siasa za CCM wakati wa Mkapa na JK lakini kama Mwapachu umebadili gea angani alipoingia Magu
Talking of chameleons
 
hata hivo hakutangaza kujiunga na chadema wala chama chochote kinachounda ukawa,akirudi ni sawa tu maana hakuwa sehemu ya sisi
 
mwapachu vile hana kazi ameona arudi kabla hajakamatwa apelekwe shamba!
Miongoni mwa wakwepa kodi hawa, nanukuu:
"Mwenyekiti wa Barrick Mheshimiwa sana Juma Mwapachu akisema kampuni yake imetenga mamilioni ya fedha kwa ajili ya mfuko wa jamii zinazozunguka hiyo migodi,mimi naona kwanza angejikemea mwenyewe na watendaji wake kwa kukwepa kulipa kodi kwa kampuni iliyo chini yake na inamharibia taswira yake kama kiongozi makini.Pia nashangaa TRA wameufyata angekuwa muhindi wa pale kariakoo au mimi mlalahoi siku nyingi ningeshafilisiwa."
 
Magufuli akimpa Huyu mtu cheo nitashangaa sana! Hivi kweli mwapachu alisema aliyoyasema! Mpaka siamini macho yangu!

Kwa CCM kila kitu kinawezekana mkuu, wanaweza kumpa kazi mchana kweupe.. Unajuje kama walimtumia kwa sababu flani? Me nnamini yote yanawezekana hasa hii michezo ya kisiasa mbovu hasa za Afrika..
 
Tat
Yaani, mnawafundisha hawa vijana vitu gani nyinyi? Mnataka Taifa liwakumbuke kwa yepi hasa? Majina yenu tu? Mnataka tutakapoandika historia tuseme na wao walikuwepo? Binafsi sina tatizo kabisa na wewe kurudi CCM au kuachana na CCM kabisa au kujiunga na chama kingine chochote kwani hilo ni suala la hiari ya mtu. Sikusema lolote ulipoondoka kwani sikuwa shahidi ulipoingia ilikuwaje.

Kujiunga na chama cha siasa ni hiari ya mtu na ni sehemu ya demokrasia ndio maana sijali sana watu kutoka au kujiunga na chama chochote.
Kitu ambacho kimenitibua sana ni maelezo ya kwanini umeamua kurejea! Maelezo yako yanaonesha kitu kimoja cha hatari kabisa; wewe si mtu wa kanuni na mwenye kusimamia unachosimamia.

Maelezo yako yanaonesha pia kuwa wewe si mtu wa tafakari makini na mwenye kupima matokeo ya maamuzi yako mbalimbali. Umejionesha tu ni mtu wa kuongozwa na hisia na kufuata upepo; ni kama kijana mdogo ambaye anahitai kuendelea kufunzwa. Hili naona ni la kuudhi na kutisha zaidi.

Hata sasa swali kubwa linalobakia ni kuwa je tunaweza kukuamini; je tunaweza kuamini kuwa unasema kweli sasa? Je umejionesha kuwa unaweza kuaminika; mtu yeyote anayekuita rafiki anaweza kukuamini sasa na akaingia mapatano nawe?

Binafsi naamini – na inaonekana mwenyewe umegundua hilo – umeonesha mfano mbaya kama kiongozi mkongwa; umeonesha ukosefu mkubwa wa hekima na zaidi umeonesha udhaifu mkubwa wa kusimamia mambo uliyoyaamini.

Sidhani kama hadi hivi sasa kuna lolote ambalo CCM kama chama imelifanya ambalo lingekubadili mawazo; na umesema kweli kuwa sasa umerudi kumfuata mtu kama ulivyoondoka kumfuata mtu; hii ni aina mbaya kabisa ya uongozi tunayotaka kujenga nchini.
Watu wasio na kanuni na maadili ya kuaminika wanaweza vipi kusimama na kujionesha kuwa wanaweza kuaminiwa na kuwa wana kanuni?

Binafsi naamini badala ya kujaribu kuzengea nafasi fulani mahali fulani wakati huu ungeamua kujiendeleza na mambo yako na kuachana na siasa ili angalau uonekane umeaminika. Ni matumaini yangu Magufuli hatowazawadia watu wa aina yako kwani taifa letu linahitaji viongozi bora na siyo bora viongozi; tunahitaji watu ambao watasimama kama mifano kwa vijana na vizazi vijavyo badala ya kuja kutajwa kama viongozi waliowahi kuwepo kuwepo na siyo walikuwepo viongozi viongozi!

Kusamehewa najua wengi tutakusamehe; lakini hatuwezi kukuamini hadi ujioneshe unaweza kuaminika kweli. Kwa hayo uliyoyaseme leo kuwa yaliyopita si ‘ndwele’ tugange yajayo; mmh! Tafadhali Balozi Mwapachu!

MMM

Note: Imehaririwa kuakisi maelezo ya Mwapachu kuwa taarifa iliyokuwa inasambaa siyo yake; mantiki ya ukosoaji wa maamuzi yake bado inasimama na hata maelezo yake ambayo yamepatikana hadi hivi sasa bado yanasimama na ukosoaji huu.

Tatizo wazee wetu wengi wanahisi hawakufaidi kipindi chao na sasa ndio muda wa kufaidi ingawa ni kama wamechelewa tu.
 
Duh! Hii nchi kiboko. Mtu mzima anajiadhiri hadharani bila chembe ya soni. Sad!
Ndo hao tulikuwa tunawategemea kuliongoza taifa na kutuletea maendeleo.
Ndo maana nchi yetu haikuweza kupiga hatua yoyote ya maana.
 
Tatizo biashara zao hazikuwa halali kamwe
Lowasa hana presha kabisa hivo tutakuwa nae kwa muda sana
 
MNAKERA MNAO QUOTE THREAD,
LI UZI LENYEWE LIREEEEFU,
KWANI HAMUWEZI KUCHANGIA BILA KUM QUOTE MWENYE MADA?
 
Mkuu nimetoka kumwandikia msg jamaa yangu sasa hivi,nikamwambia Mwapachu karudi CCM ila hoja zake zinaonekana wazee wengi waliokuwa na vyeo serikalini huwa hawajiandai kimaisha,kazi na biashara zao wanazipeleka kwa mgongo mkubwa sana wa serikali na hivyo hawapati ugumu wa maisha,kwa hiyo hapa Mwapachu anatufundisha vijana jinsi ya kuandaa maisha ya uzeeni na kuepeka kutegemea "upendeleo" wa dola ktk kuendesha maisha yetu...ni aibu sana kwa aina ya Balozi kuonge hivi mkuu Elli
A;liwahi kusema Lisu, "ukizoea vya kunyonga....." Hakuna shortcut kwenye maisha
 
Je, kwenye vyama vikubwa vya siasa kutoka nchi za Ulaya na America, mambo kama haya ya kubadili vyama kama magari yapo? Naomba majibu wana JF.
D. Trump was once a Democrat, and at one time an Independent. Leo hii anatafuta nomination ya kuwania urais kwa ticket ya Republicans. Siasa ni kitu kingine.
 
Zipo taarifa za chini kwa chini zinazodai kuwa Balozi Juma Mwapachu ana mpango wa kurejea CCM. Mpaka sasa bado haijafahamika ni sababu zipi hasa zilizompelekea kufikia uamuzi huo.

Itakumbukwa kwamba wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka jana, Balozi Mwapachu alirudisha kadi za TANU na CCM na kutangaza kumuunga mkono aliyekuwa mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa.

=======

UPDATES:

NOTE: Kulikuwa na tamko la awali likimhusisha Mh. Edward Lowassa; Balozi Mwapachu amekana kuandika tamko hilo ingawa kakiri kuwa kweli ameamua kurejea CCM.

View attachment 330199
Hatimaye imekuwa kweli. Balozi Mwapachu ametangaza rasmi kurejea CCM



1.Njaa mbaya sana, maisha ya kibongo ni shida
2.Hawa ndiyo watu tuliokuwa tunawaambia upinzani wasipokee, maana hawaeleweki wamekuja kufanya nini, labda kamaliza kazi aliyopewa
 
inaonye
Yaani, mnawafundisha hawa vijana vitu gani nyinyi? Mnataka Taifa liwakumbuke kwa yepi hasa? Majina yenu tu? Mnataka tutakapoandika historia tuseme na wao walikuwepo? Binafsi sina tatizo kabisa na wewe kurudi CCM au kuachana na CCM kabisa au kujiunga na chama kingine chochote kwani hilo ni suala la hiari ya mtu. Sikusema lolote ulipoondoka kwani sikuwa shahidi ulipoingia ilikuwaje.

Kujiunga na chama cha siasa ni hiari ya mtu na ni sehemu ya demokrasia ndio maana sijali sana watu kutoka au kujiunga na chama chochote.
Kitu ambacho kimenitibua sana ni maelezo ya kwanini umeamua kurejea! Maelezo yako yanaonesha kitu kimoja cha hatari kabisa; wewe si mtu wa kanuni na mwenye kusimamia unachosimamia.

Maelezo yako yanaonesha pia kuwa wewe si mtu wa tafakari makini na mwenye kupima matokeo ya maamuzi yako mbalimbali. Umejionesha tu ni mtu wa kuongozwa na hisia na kufuata upepo; ni kama kijana mdogo ambaye anahitai kuendelea kufunzwa. Hili naona ni la kuudhi na kutisha zaidi.

Hata sasa swali kubwa linalobakia ni kuwa je tunaweza kukuamini; je tunaweza kuamini kuwa unasema kweli sasa? Je umejionesha kuwa unaweza kuaminika; mtu yeyote anayekuita rafiki anaweza kukuamini sasa na akaingia mapatano nawe?

Binafsi naamini – na inaonekana mwenyewe umegundua hilo – umeonesha mfano mbaya kama kiongozi mkongwa; umeonesha ukosefu mkubwa wa hekima na zaidi umeonesha udhaifu mkubwa wa kusimamia mambo uliyoyaamini.

Sidhani kama hadi hivi sasa kuna lolote ambalo CCM kama chama imelifanya ambalo lingekubadili mawazo; na umesema kweli kuwa sasa umerudi kumfuata mtu kama ulivyoondoka kumfuata mtu; hii ni aina mbaya kabisa ya uongozi tunayotaka kujenga nchini.
Watu wasio na kanuni na maadili ya kuaminika wanaweza vipi kusimama na kujionesha kuwa wanaweza kuaminiwa na kuwa wana kanuni?

Binafsi naamini badala ya kujaribu kuzengea nafasi fulani mahali fulani wakati huu ungeamua kujiendeleza na mambo yako na kuachana na siasa ili angalau uonekane umeaminika. Ni matumaini yangu Magufuli hatowazawadia watu wa aina yako kwani taifa letu linahitaji viongozi bora na siyo bora viongozi; tunahitaji watu ambao watasimama kama mifano kwa vijana na vizazi vijavyo badala ya kuja kutajwa kama viongozi waliowahi kuwepo kuwepo na siyo walikuwepo viongozi viongozi!

Kusamehewa najua wengi tutakusamehe; lakini hatuwezi kukuamini hadi ujioneshe unaweza kuaminika kweli. Kwa hayo uliyoyaseme leo kuwa yaliyopita si ‘ndwele’ tugange yajayo; mmh! Tafadhali Balozi Mwapachu!

MMM

Note: Imehaririwa kuakisi maelezo ya Mwapachu kuwa taarifa iliyokuwa inasambaa siyo yake; mantiki ya ukosoaji wa maamuzi yake bado inasimama na hata maelezo yake ambayo yamepatikana hadi hivi sasa bado yanasimama na ukosoaji huu.
inaonyesha huyu jamaa ni opportunist, ni aibu sana
 
Kwa mtazamo wa haraka ni rahisi na ni haki kushangaa kigeugeu cha mtu maarufu kama Balozi Mwapachu. Lakini sisi ni binadamu na maana ya maisha yetu ni watu tunao ishi nao. I have no doubt kwa umri wa Mwapachu watu wa circles zake bado ni wana CCM. Obviously, kuondoka kwake CCM hizi circles zilimwoma kama msaliti, na kwa maana hiyo kutengwa away from them. It's not easy kwa yeyote yule kumalizia miaka yake ya mwisho duniani in a lonely environment. And therefore simshangai to make peace with himself. Siasa ni siasa tu, lakini mwisho wa siku it's your life that matters.
 
Back
Top Bottom