Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,829
- 24,499
Kwa sasa alitakiwa awe ni mwanachama mpya (rookie) wa kuanza mwaka 2016, hata vijana wale wa bongo movie wawe seniors wake.
Tamaa na busara huwa haviendi pamoja!
Ningekuwa mimi ndiye katibu mkuu wa CCM, ni wazi kuwa hata ile kadi yake ya TANU isingekuwa na kumbukumbuku tena katika maisha yake mapya ya kisiasa ndani ya CCM! Ingakua inajulikana kuwa alijiunga na CCM mwaka 2016 tu.
Kabla ya mwaka kuisha tunamsikia Kingunge na Sumaye nao wakirudi CCM; Lowassa hawezi kurudi kwa vile CHADEMA ni mali yake binafsi.
Tamaa na busara huwa haviendi pamoja!
Ningekuwa mimi ndiye katibu mkuu wa CCM, ni wazi kuwa hata ile kadi yake ya TANU isingekuwa na kumbukumbuku tena katika maisha yake mapya ya kisiasa ndani ya CCM! Ingakua inajulikana kuwa alijiunga na CCM mwaka 2016 tu.
Kabla ya mwaka kuisha tunamsikia Kingunge na Sumaye nao wakirudi CCM; Lowassa hawezi kurudi kwa vile CHADEMA ni mali yake binafsi.