Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Eti busara inatokana na umri🙄🙄🙄

Umri ya ass😡, jamaa hana msimamo!
 
Hofu na mashaka vinamtesa. Ila atakufa na tai shingon ya usaliti.
 
Mzee mzima.amezoea kuishi.katika unanifiki kweli.mpe mchawi mtoto atakulindia???
 
Tatizo siyo kurudi CCM tatizo ni sababu za yeye kurudi ccm
Hiki ndicho ninachojiuliza pia,kwa umri wake anahitaji cheo bado?je asingeweza kutangaza kumuunga mkono Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya bila kulamba matapishi ya kurudi chamani?busara zimempotea.
 
Mimi nilishasema mtu anayejiita mwana siasa si wa kuamini...
Kura yangu nampigia individual si chama....
Nikikumbuka tambo za wana CDM na walivyokuwa wanapasiana wosia wa huyu baba nasikia kucheka...yani nipo nacheka kwa nguvu...
Poleni wale mnaoshabikia vyama na haviwaingizii hata thumni mfukoni...
Mnaowasindikiza wana malengo...huyu mzee sidhani kuwa ana uchungu na nchi yake...ana maslai yake na hivi vyama na anayajua mwenyewe...nyie kalieni ushabiki
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hajitambui. Akili itakuwa sawa na yule msanii aliyetangaza ujauzito.
 
Kwa CCM ya sasa ataendelea kuitwa kapi, hajasolve chochote kwa kutangaza kurudi.
Unless kama walimpeleka kwa kazi maalumu...
Maana aingii akilini kumpokea kwa shangwe na kilaini hivi....
CDM ndo wajifunze kutengeneza wanachama wake si kuazima azima CCM...
Mtajimaliza
 
  • Thanks
Reactions: nao
huyu babu hamnazo kabsaa! yaani anatamka waziwazi kuwa anarudi ili kulinda biashara zake na za washirika wake! hivi ni kweli hajuwi kuwa zama zimebadilika! kuwa ndani ya ccm hakuleti kinga dhidi ya ufisadi! kinga pekee ni kutumbuliwa na kulipa kodi!
Namshauri mhe.jpm amchunguze mwapachu na biashara za washirika wake anaowakingia kifua!
ni biashara gani hizo ambazo huyo bila aibu anapiga magoti kuzitetea zisikwamishwe?
kama ni za halali na analipa kodi hofu yooote hii ya nini?
sio bure achunguzwe!!!
 
Acheni kumsakama kaona huko alokwenda kuna uozo. CHADEMA si mama wala babake. Machadema yamejaa ukabila na ubinafsi wengi hatuyapendi kwa ulaghai wao
 
Ukilitumikia tumbo hakika litakuaibisha tu,makamanda endeleeni kusonga mbele
 
Back
Top Bottom