Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Mwapachu kama wewe ndiyo ulieandika upuuzi huu basi kuanzia sasa nimekudharau wewe na ukoo wako. Yaani umeandika pumba kuliko hata anazoeza andika teja wa kinondoni manyanya. Daaah, htr sana.

Nafsi yangu inagoma kuamini kama wewe ndyo ulieandika haya mzee Mwapachu. Nasubiria ukweli uje
 
Mkuu,nimesoma huu uzi nimeshindwa hata kucomment nahifadhi kauli zangu kwanza hadi nijiridhishe pasipo shaka kuwa hyo ni print ya Amb. J. Mwapachu na km ni kweli basi "wonders shall never end" km na mzee wa rika hili anaweza kuwa na cheap price namna hii kweli kaz bdo tunayo ndefu!
Hata EL ni mradi wa CCM utaondoka chadema baada ya kumaliza kazi.
 
Mwapachu kama wewe ndiyo ulieandika upuuzi huu basi kuanzia sasa nimekudharau wewe na ukoo wako. Yaani umeandika pumba kuliko hata anazoeza andika teja wa kinondoni manyanya. Daaah, htr sana.

Nafsi yangu inagoma kuamini kama wewe ndyo ulieandika haya mzee Mwapachu. Nasubiria ukweli uje
Siku EL atafanya mabaya zaidi ya huyu,hutapiga kura tena.
 
Na kaandika huo utumbo uliooza hapo juu?

I had such respect for Mwapachu. I remember as a young buck back in 1999 nilikuwa nalitetea Time magazine at New Africa. He told me "You get the most from The Economist, you don't get the most from Time or Newsweek". Kutoka hapo nikawa naliangalia sana The Economist nikaona tofauti aliyoisema.

Leo hii anaandika kitu kama mtu ambaye hajapata kusoma chochote cha maana.
Mkuu, hata mimi siamini kama ameandika yeye. Na kama ni yeye, I wander hiyo kazi alikua akiimudu vipi!
 
Huyu atakuwa fisadi sasa ametishwa na ccm mali zake kuanza kufatiliwa na kuzuiwa hivyo ameona ili dili zake ziende vyema bora arudi chama cha mafisadi.hana madhara yoyote UKAWA.
 
Kumbe alihama sababu ya Lowasa?tena baada ya kuahidiwa uwaziri wa nje,tena baada ya kukubaliana na wengine ambao wao hawakuhama na sasa wana vyeo CCM.Natamani angewataja hawa wanafki wenzake
 
Mkuu, hata mimi siamini kama ameandika yeye. Na kama ni yeye, I wander hiyo kazi alikua akiimudu vipi!

Hawa viongozi wanaozeeka wengine inawezekana wananza kupata matatizo ya mental health.
 
Still.

One does not need to undress himself in public to get in the good graces of the emperor.


Ni rahisi kuongea kama hayajakukuta, jiulize Top Diplomat kama huyo iweje stoop so low kwa Raisi Magufuli amabye siku zote wamekuwa wakimdhihaki na kumdharau mara hajui Kiingereza sijui exposure blah blah, its about power, Magufuli ndiyo ameshika mpini na maadamu unaishi TanZania kma mzee Mwapachu ndiyo bosi wa kila mtu, na huwo ndiyo ukweli, hapa TanZania huwezi kumkwepa Raisi kwa kifupi huwezi kuanzisha bifu na Raisi halafu ukashinda never, hata Lowasa ni swala la muda tu!
 
Eti Naomba radhi kwa familia ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere! Mwalimu mwenyewe alishawahi kusema CCM sio Mama yake!!
 
Ni rahisi kuongea kama hayajakukuta, jiulize Top Diplomat kama huyo iweje stoop so low kwa Raisi Magufuli amabye siku zote wamekuwa wakimdhihaki na kumdharau mara hajui Kiingereza sijui exposure blah blah, its about power, Magufuli ndiyo ameshika mpini na maadamu unaishi TanZania kma mzee Mwapachu ndiyo bosi wa kila mtu, na huwo ndiyo ukweli, hapa TanZania huwezi kumkwepa Raisi kwa kifupi huwezi kuanzisha bifu na Raisi halafu ukashinda never, hata Lowasa ni swala la muda tu!
Ku stoop so low kwa Magufuli si hoja, watu wanafanya hivyo kila siku.

The trappings of power will bend the most principled person at times.

Stooping so low so publicly in a very humiliating way is quite another matter, as if the ambassador is totally devoid of any nuance.
 
Namuonea huruma babu Kingunge haujui hata la kufanya anashindwa amlaumu nan
HEHEHE AMEJIFUNGIA ZAKE VICTORIA NAKULA UGALI WAKE WA MUHOGO NA NGURU WAKE WA KUCHOMA AKIANGALIA VIDEO ZA KUZUNGUSHA MIKONO, NA MACHOZI YAKIMTOKA BABU WA WATU WA KILWA!!!
 
Kama ccm wana msimamo basi vikongwe kama huyu wasiwapokee maana wapo kimaslahi zaidi kama alivyobainisha kwamba alimfuata lowassa kwa kuahidiwa cheo...pu.m.ba kabisa.
 
Huyu angalau kaacha unafiki. Aliyoyaandika yooote ni ngonjera tupu ila sababu haswa iliyomfanya arudi kundini ni kwa sababu "hataki shughuli zake na za watu wake wa karibu zikwamishwe na Serikali" kwa kuwa alimsapoti Lowassa. Hili kalisema wazi bila kumung'unya maneno.

Usikute tayari keshaanza kusomeshwa nambari kwa lazima
 
Hiyo serikali iliyokuwa inaenda kuundwa na Lowassa ingejaa makada wa CCM tu maanake hata sababu alizozitoa Makongoro Mahanga wakati wa kuhama zilikuwa zinaonekana kaahidiwa uwaziri kamili ambao anaamini JK alimbania kwa miaka kumi.

Natoa rai kwa CCM ihakikishe vigogo wote hao waliokuwa wamepanga kuhama wanafahamika then wachinjiwe baharini wamfuate mzee wao.

Better late than never!!
 
Hamkuyasema hayà alipokuja UKAWA!

KWAKUWA hamkosi la kusema, JIFARIJINI! Mwisho malaika wenu na Rais wa UKAWA naye yu mbioni!

Nyumbu watakosa mchungaji
Sipatiii picha huyo rais Wa mioyo ya watu akirudi CCM
 
Back
Top Bottom