Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Haha njaa mbaya sana!! Kwahiyo kadi zake za TANU & CCM atarudishiwa? Kwahiyo now anaamini Magufuli ni Leader na si manager tena?

Amerudishiwa zote kaka.Alikuwa ana beep.Amezoea AC huku kaona Wote washika jembe.Joto kibao.Ameshindwa. Amerudi kwenye AC.Imenifurahisha aliyosema imemuonyesha wazi kwamba si Kiongozi kwa ajili ya Mtanzania wa kawaida Bali kwa ajili yake,familia yake na washirika wake.Hongera Bwana Mwapachu kwa kurudi ulikotoka.
 
View attachment 330192 View attachment 330193

Kwa hiyo kumbe Lowassa alishapanga baraza lake la mawaziri?Kwamba Waziri wa Mambo ya Nje asingekuwa mbunge wa CHADEMA bali kada wa CCM aliyehama na kubaki "bila chama".....Kwa hiyo huyu Waziri Kimvuli Msigwa asingekuwa waziri wa Mashauriano ya kigeni?Kwamba Lowassa hakuona mwenye sifa ndani ya chama alichohamia?
Kumbe Mwapachu aliondoka sbb ya cheo na anarudi sbabu "Biashara zake na washirika wake" ziende vizuri...hii nchi inaliwa sana hii,yaani mtu anatafuta nafasi ya kisiasa ili biashara zake na washirika wake ziende vizuri??Mbowe Mbowe Mbowe umesikiaaaaaaaa

Nadhani salama zimewafikia akina Mbowe.Kwamba mkome kuchukua makada.Wapo kwa ajili ya vyeo tu.Kumbe mlimpromise Uwaziri wa Mambo ya Nje???
 
Zipo taarifa za chini kwa chini zinazodai kuwa Balozi Juma Mwapachu ana mpango wa kurejea CCM. Mpaka sasa bado haijafahamika ni sababu zipi hasa zilizompelekea kufikia uamuzi huo.

Itakumbukwa kwamba wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka jana, Balozi Mwapachu alirudisha kadi za TANU na CCM na kutangaza kumuunga mkono aliyekuwa mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa.

=======

UPDATES:

Hatimaye imekuwa kweli. Balozi Mwapachu ametangaza rasmi kurejea CCM
Tunamtakia maisha mema ndani ya ccm
 
Mke aliyekukimbia kwa bwana mwengine aliye muahidi maisha mazuri(uwaziri).Hakupata hivyo
Halafu ooo nakupenda sio hivyo.
CCM sio condom.
Mayuda ni mayuda.
 
Ndio kuna uhuru wa kujieleza ila balozi kuna vitu hakutakiwa kuvisema. Kuwa alienda kwa kuahidiea uwaziri, kuwa amerudi kwa sababu kuna vitu amekosa na hataki kukwamishwa shughuli zake na serikali? Kweli ni tamko lake aloandika with free consent??
Anataka kutuambia nn kuhusu waliosupport upande wa pili?? Kuwa shughuli zao zitakwamishwa na serikali?
Serikali gani hiyo inakamisha shuguli za raia kisa wamesupport upinzani au ndio hizo shughuli majipu??
Am ashemed of our so called outstanding leaders like him
 
Arudi asirudi haongezi value yoyote CCM.Walitutelekezea CCM vitani yeye na akina kingunge na akina Sumaye tumepigana wenyewe tumeshinda.Sasa ni HAPA KAZI TU.Atajijua yeye na wenzie waliotusaliti na kusaliti CCM kwenye vita ya uchaguzi.
Wewe nani mbele ya mwapachu? Wewe ni sawa na kunguni mbele ya value ya mwapachu
 
Ni opportunistic huyu kada.Anatafuta greener pasture.
 
Hawa viongozi wanaozeeka wengine inawezekana wananza kupata matatizo ya mental health.
Hiyo dementia yake imeifuta elimu yake, lakini akamanage kukumbuka kipato na marupurupu. Basi ni hatari.
 
Zipo taarifa za chini kwa chini zinazodai kuwa Balozi Juma Mwapachu ana mpango wa kurejea CCM. Mpaka sasa bado haijafahamika ni sababu zipi hasa zilizompelekea kufikia uamuzi huo.

Itakumbukwa kwamba wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka jana, Balozi Mwapachu alirudisha kadi za TANU na CCM na kutangaza kumuunga mkono aliyekuwa mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa.
Friday, August 21, 2015

Thinking+Differently+-+Juma+Mwapachu.jpg

Juma Mwapachu


I believe earnestly that Tanzania is on a certain and definitive pathway towards a turning and tipping point in its history. It is a momentous stage where a new visionary leadership steps in and a fundamental re-definition of our country's goals and values is undertaken and executed.

For all that can be said and even celebrated by global peer institutions such as the IMF and the World Bank about our country's ostensibly significant GDP economic performances in these past few years, there can be no hiding from or denying the harsh realities of rural society frustration and agony; of urban social anger; a youth in a state of hopelessness and generally of a broad state of apathy and uncertainty in the Tanzanian populace. In this environment the desire for change emboldens many and has become a common refrain.

Yet, ' turning and turning in the widening gyre the falcon cannot hear the falconer' as so well conjectured in WB Yeats's epic poem, 'The Second Coming'. Tanzanians are in a desperate search for a hearing 'falconer' who can once again rekindle and awaken their aspirations and hopes which Mwalimu Nyerere so powerfully promised to deliver.

They desperately await a more enriching and rewarding life, now and not in any future. They are thus anxiously looking for a 'second coming' of a leader who can lead them to the land of 'milk and honey'. They are looking for a leader, not a good manager; somebody who does the right thing and not one who merely does things right. A leader is a person who gets elected. A manager, in contrast, is always appointed to perform tasks and responsibilities.

Many of us are managers and can acquit ourselves very well in such responsibility. But we are not leaders. The forthcoming Presidential election crucially revolves around our making a critical choice for the this new epoch in our country; a choice between electing a 'manager' and a good one at that and a 'leader'.

What is most interesting about this particular election is that, in as much as we would popularly wish to think that the contest is between the CCM and UKAWA candidates, the reality is different. The contest is between 'leadership' and 'management'.

In my view and a well considered one, Edward Ngoyai Lowassa will provide the much needed leadership that our country desperately requires. John Pombe Magufuli will only, in contrast, give us what he is best at, mere good management.

If we are seriously thinking about 'change' and real change at that for our country, then we have to decide what we want; business as usual but better delivered or a transformative leadership that best understands the challenges of a brave new world with all its unpredictabilities and fast changing social, economic, political and technology changes. It is a moment for serious choice. Choose wisely.

at 01:57
Zipo taarifa za chini kwa chini zinazodai kuwa Balozi Juma Mwapachu ana mpango wa kurejea CCM. Mpaka sasa bado haijafahamika ni sababu zipi hasa zilizompelekea kufikia uamuzi huo.

Itakumbukwa kwamba wakati wa Uchaguzi Mkuu mwaka jana, Balozi Mwapachu alirudisha kadi za TANU na CCM na kutangaza kumuunga mkono aliyekuwa mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa.

=======

UPDATES:

Hatimaye imekuwa kweli. Balozi Mwapachu ametangaza rasmi kurejea CCM
Unashamedly a die hard opputunist!
 
Usiyempenda Kama.Kama alitumwa kuua Upinzani ameshindwa
 
Back
Top Bottom