Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

walioimba ule wimbo wa mtu mzima ovyo unajihashua, ndo huyu sasa
 
Hawa ndio wanafiki wauza nchi, mtu kama huyu hafai kuwa hata kiongozi wa familia eti "Nililewa mahaba ya Lowassa, nililewa ahadi ya Lowassa kunipa uwaziri wa mambo ya Nje. Niliamini mafuriko ya Lowassa ambayo yakanifanya niamini kabisa anachukua nchi. Tulikubaliana na wenzangu kwamba wiki mbili zamwisho tuihame CCM kwa wimbi kubwa ili kuitikisa na kuitoa madarakani. Lakini baadhi wakaogopa na hadi sasawengine wamebaki CCM na wana vyeo.
 
Anarudi kwa sababu anaogopa shughuli zake na za washirika wake zisianguke...... Lol...
Naamini sasa kuwa unapozeeka uwezo wa kupambanua mambo unapungua, huyu mzee sasa kachoka
 
Nimerudi kwa sababu ya mtu (Magufuli). Nataka niwaahidi kwamba CCM ikiweka mtu hovyo baada ya Magufuli, sitahama.

Kama haya maneno kayaandika mwenyewe basi kuna tatizo kwenye ubongo wa huyu ndugu.
 
His itaitwa Back to Back

Oct 13, 2015 OCAMPO FOUR aliutundika Uzi Flan hivi kuhusu Mwapachu
Balozi Juma Mwapachu ajivua uanachama wa CCM, hajaamua kujiunga na chama kingine


OCAMPO FOUR

Treni ya mabadiliko inazidi kuongeza speed katika hizi dakika za lala salama. Kesho Balozi mwenye heshima tele ndani na nje ya Tanzania, Juma Mwapachu anaachana na Chama Cha Mapinduzi.


Hii ni siku kadhaa baada ya Mkongwe wa TANU/CCM Kingunge Ngombale Mwiru kukimbia ndani ya chama hicho kwa kile alichokisema CCM imechoka, hakiwezi kuleta mabadiliko hivyo ni lazima ipumnzishwe kwanza ili ipate pumzi upya.


Mwapachu ni moja wa wasomi, na balozi mwenye heshima kubwa ndani na nje ya nchi. Na kwa kweli kuondoka kwake ni pigo kubwa sana kwa CCM, hasa linapokuja suala la kumanage mabalozi wa nje. Mwapachu anaheshimika sana na mabalozi wa nje hasa Marekani na nchi za Ulaya.


Treni la mabadiliko linazidi kuongeza kasi zaidi. Huku CCM hali ikizidi kuwa tete.


COMMITED

Duuhh, sijui nape atasemaje na huyu mzee mwapachu ni oil chafu?? Hata siku jk akijiunga ukawa nape atasema naye alikuwa mzigo.....pumzika ccm umeishiwa pumzi... Bila shaka wako wengi watatoka ccm.....


KIBO10

Fisiemu kwishiney


Commited


Ccm wanaumia sana mwaka huu... Na badoo, mzee makini kama huyu asingeweza kubaki katika chama kama ccm, chama kimebaki cha familia za wachache, chama hakijali tena watu wake, chama kimegeuza rasilimali za nchi kutumika kwa faida za watu wasiozidi hata 100. Ccm kina miaka zaidi ya 50 kinatoa ahadi tu, hakitimizi ahadi zake na mwaka huu tena kinazidi kuahidi. Mzee mwapachu ni msomi mzuri sana na anaweledi wa kutosha na siasa za nje..,


Mndu Mkaa


Ya warmly welcome dady

Na mwenyezi mungu akulinde manakeee hukuwahi kuwa na kashfa ila jiandae sasa lazma zinakuja uku wakijidai alikua mzigo tukamvumilia bora kajitoa mwenyewe!teh teh the



RITZ

Huyu hana impact yeyoye ndani ya CCM hata akijivua uanachama.


Marytina


mwapachu anatoka tanga na alikasirishwa sana na vijana wa ccm waliosema rais hatoki kaskazini bila kukemewa kwa ubaguzi

MWAPACHU AMEELEZA KUHUSU TRUE NORTH JESHINI ENZI ZAO IKIONGOZWA NA MARA MUSOMA

************Sasa sijajua Leo Hao Watasemaje***********************
 
Mleta mada kaandika - Zipo taarifa za chini kwa chini - halafu chini kaweka barua ya huyo Juma Mwapachu!

Kweli Chadema kinanyima watu usingizi!!!!
 
Kwani kosa lake ni nini si nihaki yake? Lowasa,kingunge sumaye wanaweza rudi si ajabu.
Wakikubaliwa sitaamini tena na tena wanasiasa na vyama vyao ingawa siwaamini sasa ila itakuwa level nyingine ya unafiki hii.
 
Hakuna kitu kibaya Mpwa kama kutojiandaa kimaisha, unategemea blaa blaa ndio uishi, ni hatari sana, kwamfano nanihii akiondolewa kwenye Uwaziri leo hii ataishije? au kwa mfano wale Wakuu wa Mikoa na Sefue pia wataishije thereafter? Labda kama walikua na plan B ambao wengi wao kwa kweli hawana. Matokeo yake ndio haya kuwa mropokaji japo kutoka moyoni mwangu kabisa nashindwa kuamini kama ni kweli hii statement ni ya kwake.......huenda pia kuna mchezo wa kutuhamisha toka kwenye ishu ya uchaguzi wa Meya Dar na House Arrest ya Maalim Seif.
Mkuu hujaona video fb?
 
wakati wa kampeni akiwa mwanza Kinana aliwaambia subirini baada ya miezi sita hawa wote watarudi huyo mwingine hata miezi sita bado
 
  • Thanks
Reactions: nao
Na sasa nimeamua kulifanya jambo kubwa ili Magufuli ajue sasa niko naye kwasababu sitaki shughuli zangu na za washirika wangu zikwamishwe na Serikali kwa sababu tu huko nyuma niliamua kumsaidia swahiba wangu.[/QUOTE]

Kumbe serikali inakwamisha shughuli za watu kwa kuwa siyo wanachama wa ccm?
 
Hawa ndio wanafiki wauza nchi, mtu kama huyu hafai kuwa hata kiongozi wa familia eti "Nililewa mahaba ya Lowassa, nililewa ahadi ya Lowassa kunipa uwaziri wa mambo ya Nje. Niliamini mafuriko ya Lowassa ambayo yakanifanya niamini kabisa anachukua nchi. Tulikubaliana na wenzangu kwamba wiki mbili zamwisho tuihame CCM kwa wimbi kubwa ili kuitikisa na kuitoa madarakani. Lakini baadhi wakaogopa na hadi sasawengine wamebaki CCM na wana vyeo.
Na hapo ukichunguza ndipo utajua ni kwa nini hatupigi hatua kama nchi kwa sababu wenye vyeo (wafanya maamuzi) ni waoga na wasaliti/fitina.
 
Siamini kama kweli Balozi kaandika aliyoandika kuwa alihama kwa kutongozwa kupewa Uwaziri. Things Mwisho mwema. Huyu 1964 wakati anamaliza Darasa la 14 alikuwa Miongoni mwa Wanafunzi bora. CCM haikupungukiwa na kitu wala haitongezewa kitu kwa kurejea kwake
 
Siyo swala la kusoma au kutokusoma Its esconomy, Stupid! alisema B. Clinton, hata fisadi Lowasa ni swala la muda tu, kwa kifupi hawa wote ni wezi hivyo wanafikiri wakirudi na kujisalimisha CCM watapona Magufuli ameshaanza kubana pole pole leo mashamba yetu yamerudishwa na kubwa klk yote ni IPTL Magufuli amesema anavunja mkataba sasa huwo mzunguko wa wizi ni mkubwa sana!
Still.

One does not need to undress himself in public to get in the good graces of the emperor.
 
Back
Top Bottom