Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

Balozi Juma Mwapachu atangaza kurejea CCM...

2020 ni mbali sana. maisha ni magumu, ni wachache wenye kuvumilia....
Yeyote anayemshangaa Mwapachu leo basi hakufikiri vizuri wakati kipindi cha uchaguzi alipojiunga na Lowasa na Kingunge,it was so clear kwamba kuna tatizo mahala sio bure,lakini kwakuwa watu walifunikwa na wingu ambalo mpaka sasa sijalielewa bado ilikuwajekuwaje?
 
Very sad.Msomi kama huyu anakiri udanganyifu wazi namna hii.Hana washauri??
 
Sipati picha siku lowasa anarudi kule alikolelewa wale wenye mapenzi Na lowasa sijui nao watarejea sijui watazimia hahaha siasa hizi.
 
Kama Juma Mwapachu kafanya haya, basi nchi hii naamini sasa kuwa ina watu ambao ni myopic. Yaani alihama kwa lengo la kupewa Uwaziri wa Mambo ya Nje!!! Mzee mwenye heshima zake kitaifa na kimataifa!!!

Kafanya kosa kubwa sana toka siku aliyohama CCM hadi leo anaporejea CCM.

Asamehewe kama alivyosema ila vijana tumejifunza jambo.

Kila la kheri mzee maana umeitia doa familia ya Mzee Mwapachu (comrade na swahiba wa Mwalimu Nyerere).
 
Arudi asirudi haongezi value yoyote CCM.Walitutelekezea CCM vitani yeye na akina kingunge na akina Sumaye tumepigana wenyewe tumeshinda.Sasa ni HAPA KAZI TU.Atajijua yeye na wenzie waliotusaliti na kusaliti CCM kwenye vita ya uchaguzi.
Umesema kweli
 
Ni uamuzi binafsi,uheshimiwe.Maisha haya ni kucheza na fursa tu.
 
Wenzake wa akina nani na why aseme haya leo?Wenzake wamebaki na vyeo vyao wakina nani why asiwataje?Aliaidiwa Uwaziri wa mambo ya Nje why anasema leo?Kipi kilimsukuma?nadhani kwa weledi wake hiyo taarifa yake imepwaya sana
MKUU HATA MIYE NINAVYOMFAHAMU HUYU MZEE MWAPACHU KWA KUZUNGUMZA NA UWEZO WAKE WA KUPIGA DOMO, HII TAARIFA NAKUBALIANA NI YA KIWANGO CHA MTU WA KIJIWENI SANA, YAANI- ( "ly" wale tunaomaliza darasa la saba") SIDHANI KA NI BALOZI MWAPACHU , MMH KAWA MWEPESI HIVI, BASII INAWEZEKANA ANAUMWAA!!
 
Mimi pekee ndio nimemwelewa.
Amerudi ili shughuli zake na za wenzake zisikwamishwe .Amerudi kwa minajili ya uoga na anataarifu kuwa serikali ya Magufuli inawaandama waliomuunga mkono Lowassa.
Hicho ndicho kinacho mrudisha Ila ANA UHAKIKA WA KUACHWA KUSHUGHULIKIA HATA BAADA YA KUREJEA???
 
Hmm....huyu mzee mzima kweli?

Kiranga umeiona hiyo video?
Huwa tunaongea humu kila wakati. Siasa ni mchezo mchafu sana. Huu ushabiki watu wanaoufanya bila kuweka akiba ya maneno utakuja kuumiza nafsi na fikra siku za mbeleni. Usije kushangaa kuna wengine wengi tu walihama CCM wameandika barua kuomba msamaha na kuomba kurudi CCM. WanaSiasa ni watu hatari sanaaa. Huyu Mzee nilimfahamu na kumuheshimu kutokana na uzito wake katika nchi na jamii kwa ujumla. Ila leo ametudhihirishia Watanzania kuwa asilimia kubwa ya WanaSiasa wako kimaslahi zaidi.
 
hata mhitimu wa formIV aliyesomeshwa bure hawez andika utumbo huu!
 
Kwa Hawa sinare sidhani! Yule ana life Kali mjini... Anaendesha Bentley na Lamborghini kitambo sana

Si umemsoma mwenziwe (Mwapachu) analalamika hataki shughuli zake au za marafiki wake zikwame kwa sababu ya kuwa upande wa makali? Sinare anavuta pumzi lakini itakatika. Leo Magufuli kataja IPLT.
 
Huyu ni wa kuupuzwa kinachomfanya atoke kwa lowassa ni nn hasa lowassa hajawa rais kama magufuli sikiliza balozi mmezoa kula kwa ugoko sasa hizo biashara zenu za kifisadi ndani ya serikali ukomo wake ni awamu hii tutakutumbua tu utake usitake umemshika simba sharubu unategemea nn
 
Back
Top Bottom