kama alimua kuiacha ccm kwenda ukawa kwaajili ya uwaziri wa mambo ya nje swali ni je! ameirudia ccm kwa lengo gani!,?
At this rate sioni tofauti ya the gentry and the social climber Tanzania.'bumpkin au burlesk bully'
Ogopa a 'social climber'!
Labda ana ahadi Magufuli atampa ubalozikweli kabisa
Kwani aliyeandika ni nani?Tamko limeandikwa kipuuzi sana.
Kwa wenzetu, unaweza kumpa mbunge matatizo ukimnunulia lunch tu kwa kutegemea kitu kutoka kwake.
Tanzania balozi mashuhuri anasema alimuunga mkono Lowassa kwa sababu aliahidiwa uwaziri wa mambo ya nje, bila aibu wala woga!
Kwa wenzetu, unaweza kumpa mbunge matatizo ukimnunulia lunch tu kwa kutegemea kitu kutoka kwake.
Tanzania balozi mashuhuri anasema alimuunga mkono Lowassa kwa sababu aliahidiwa uwaziri wa mambo ya nje, bila aibu wala woga!
Kwani alijiunga chama gani?
Kansa kubwa ni Lowassa ametumwa kuhakikisha chadema inakosa pumzi....na kinachofuata kwa sasa ni migogoro...bila kikomo!...tuliopiga kura 1995 tunaijuwa ccm.Nina mashaka makubwa kama huyu mzee ndiye kaandika hii lisala. Kama hajaandikiwa basi hana marafiki wazuri wa kumshauri. Ni aibu Kabisa.
Check hizi sentensi:
"Nililewa mahaba ya Lowasa, nililewa ahadi ya Lowasa kunipa uwaziri wa mambo ya Nje. Niliamini mafuriko ya Lowasa ambayo yakanifanya niamini kabisa anachukua nchi. Tulikubaliana na wenzangu kwamba wiki mbili za mwisho tuihame CCM kwa wimbi kubwa ili kuitikisa na kuitoa madarakani. Lakini baadhi wakaogopa na hadi sasa wengine wamebaki CCM na wana vyeo."
"Niliamua kulifanya jambo kubwa ili kumsaidia Lowassa. Na sasa nimeamua kulifanya jambo kubwa ili Magufuli ajue sasa niko naye kwasababu sitaki shughuli zangu na za washirika wangu zikwamishwe na Serikali kwasababu tu huko nyuma niliamua kumsaidia swahiba wangu."
Dah nimesikitaka sana na haya maneno. Sana tu, Sana tu, Sana tu, Sana tu, sana tu. Hawa ndiyo wanasiasa wetu. Dahhhhhhhh
hata hivyo ahadi ziliwekwa ili zivunjwe kwa hiyo nadhani huwenda asingepata alichoahidiwaKwenye hilo tamko amedai hataki mambo yake na bishara za rafiki zake ziletewe zengwe , in short alihama ukawa kwa ajili ya maslahi binafsi karudi kwa maslahi binafsi , bahati mbaya ndio kachelewa ...
Alafu ukawa inamaana wangeshinda huyu jamaa angekuwa waZiri .. Hahaha
Chezea Chama usichezee Mkuu wa nchi. Juzi juzi Arusha kwenye mkutano wa EA Mkulu alimpita Kama hamjui..nafikiri hilo pia lilimshtua sana hakulitegemea. Na kasheshe anazozipata uraiani.Naona lile shirika la Regional Aviation analoendesha mtoto wake pale Arusha ndilo limemfanya huyu mzee kurudi mbio CCM... Baada mtoto wake ana kesi kibao kule mahakama kuu ya Arusha za kulangua wafanyakazi wa hiyo Kampuni...
Au...inawezekana kweli karudi lakini kuna wajanja wajanja wakaandika kuhusu hiyo habari na kuiongezea binzari, paprika, nyanya chungu, na mengineyo.
Kama ni hivyo basi inanikumbusha ile habari potofu ya Donald Trump na Waafrika.
Donald Trump kweli ni mtu mwenye tabia ya kutoa kauli tata.
Lakini, si kweli kwamba keshawahi kuwasema vibaya Waafrika na/ au viongozi wake.
Huo ni uzushi. Lakini kwa vile tayari mtu mwenyewe ana historia ya kutoa kauli tata, watu wakisikia kawasema vibaya Waafrika, watakuwa wako inclined kuamini kuwa ni kweli kasema kwa sababu ya preconceived notions walizonazo dhidi yake.
Duh mbona sisi tusiowahi shika hata cheo cha ukatibu kata hatuhangaiki hivi? Inakuaje wazee wasomi na walioogelea kwenye vyeo miaka nenda rudi wana kuwa waoga wa maisha namna hii?Hahahahah Mpwa umeona watu wanavyozeeka vibaya? Haya sijui kaahidiwa nini sasa hivi hahahaha maana pia anarudi kwa jili ya Magufuli
Duuh..! Hapo hatari sana, kumbe huwa hivyo! Vipi kuhusu LuwaaaSa!!!?Anarudi kwa sababu anaogopa shughuli zake na za washirika wake zisianguke...... Lol...