VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,375
Hivi kweli watu wanashindwa kama ni kweli yupo Sweden (ku-hire Private Eye) ili achunguze? nchi za wenzetu sio kama Bongo unaweza ukatrack viza na kila kitu kuona kama jamaa ana identity ya Kugushi...... Tena ni kwamba baada ya kupata hizi evidences unaweza tengeneza Movie ambayo utauzia vyombo vya habari na kupata pesa lukuki.....