S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Si kweli kwamba balali anayesemekana ni hayati amefariki.
Vyanzo vya habari vya kuaminika vinasema Balali aliletwa hapa nchini kwa siri kubwa na kushushiwa Z'bar kwa ndege maalum, kisha boti maalum hadi kivukoni, then tinted car followed.
Some sources zinasema amefanyiwa plastic surgery na sasa ni mhindi kwa sura.
For that matter, I am the King and Head of State of the United Kingdom and 15 other Commonwealth realms.