Balali yuko HAI - He is not dead

Balali yuko HAI - He is not dead

Status
Not open for further replies.
Wanajamii nimepata tetesi kuwa dr balali aliyekuwa gavana wa benki kuu ya tanzania haijulikani alipozikwa na hata ndugu zake hawakuudhuria mazishi yake wala serikali haikutuma mwakilishi nataka kujua kama alizikwa au ilikuwaje?


Bado anadunda mkuu....atakufa mara ya pili kama makaveli
 
Kama yupo hai basi Watanzania tutaendelea kuburuzwa mpaka kiama. Lakiki acha waendelee kuuana tu na kuzikana kwenye vyombo vya habari siku watakapofufuka tu sisi wakati huo tutawabana tu tukiwa na katiba yetu mpya
 
Achana na Balali, Daini katiba kwanza, Balali baadae
Hivi kujadili hili litaondoa nafasi ya kujadili katiba? SiriKali I mean serikali inawajibu wa kuuhakikishia uma kama haya madai ni ya ukweli au la. Mimi nilisikia kuwa yuko UK, na kuna MTZ mhadhili wa UDSM alimwona wakatambuana, kilichofuata aliporudi nyumbani ilikuwa ni mauti yake. Kweli tukae kimya?
D
 
Dr. Balali bado yuko hai. Kwanini afe? Je alikuwa mgonjwa? Amekufa kifo cha magazetini, lakini yeye bado yupo hai.
 
:target:kama kumbukumbu zangu ziko sahihi ni kama vile mwili wake ulichomwa moto. au nilisikia vibaya?
 
Wakati tunaendelea na kuumiza vichwa juu ya ufisadi CCM na serikali yake na mafisadi, kuna habari za kuaminika kwamba aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu yaani BALALI yupo na anakula BATA SWEDEN.. I WILL COME BACK
 
Kwani nani alikuambia Balali kafariki? Balali angekufa, CCM ingekuwepo?
 
swala la balali kuwa hai mbona linajulikana na kila mtu! This is not news. Our problem ni kujua yuko wapi, na je hiyo plastic surgery alifanya wapi
 
tena kama wewe umemuona sweeden basi atakuwa amekuja huko mda si mrefu
 
Wakati tunaendelea na kuumiza vichwa juu ya ufisadi CCM na serikali yake na mafisadi, kuna habari za kuaminika kwamba aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu yaani BALALI yupo na anakula BATA SWEDEN.. I WILL COME BACK

Please utakapo come back njoo angalau na some evidence......,
 
Mbona tuliaminishwa kuwa amekufa jamani usanii huu mpaka lini?
 
Unajua sisiem ni zaidi ya chama cha siasa, ndo maana utakuta mtu kama Rostam yupo tayari kuwekeza mabilioni ilimradi hicho chama kiendelee kukaa madarakani.
 
Na saa hizi ni zamu ya jk kuambiwa kafa nyie ngojeni tu maufisadi yanavyoendelea mtaona mwisho wake.
 
mm naona hajafa na itakuwa ni aibu sana atakapokufa kweli hii ni syndicate kali sana km atagombea ubunge 2015
 
wakati tunaendelea na kuumiza vichwa juu ya ufisadi ccm na serikali yake na mafisadi, kuna habari za kuaminika kwamba aliyekuwa gavana wa benki kuu yaani balali yupo na anakula bata sweden.. I will come back


lete data soon unatuweka ankshazi
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom