Kipre tchetche
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 238
- 40
Tanzania hii bwana viongozi wanatia
hasira sana wewe iddi amin ambae
alithubutu kula mpaka nyama za watu
lakini mwili wake umezikwa uganda Leo
hii sisi balali wajati anaondoka kwenda
nje kwa matibabu vyombo vya habari
vilisema alipokufa kwanini hatukuonyeshwa
na kwa nini azikwe nje ya nchi Iko siku
tutamwona watakimbia roho ziwatoke
kama wanafikiri hiki ni kizazi cha kusahau
hawajui kusoma nyakati.
hasira sana wewe iddi amin ambae
alithubutu kula mpaka nyama za watu
lakini mwili wake umezikwa uganda Leo
hii sisi balali wajati anaondoka kwenda
nje kwa matibabu vyombo vya habari
vilisema alipokufa kwanini hatukuonyeshwa
na kwa nini azikwe nje ya nchi Iko siku
tutamwona watakimbia roho ziwatoke
kama wanafikiri hiki ni kizazi cha kusahau
hawajui kusoma nyakati.