let BALALI enjoy what he took from BOT.
happy enjoyment BALALI wherever you are.
If at all he took something from BOT.
let BALALI enjoy what he took from BOT.
happy enjoyment BALALI wherever you are.
Sisi ndugu wa BALALI tunasikitishwa sana na hizi taarifa kwa kuwa tumeshalia na kusahau. Tuliiona maiti ya mpendwa wetu na tulimzika. Tafadhari sana tunaomba msitutoneshe majeraha yaliyoanza kupona.
AMIN
Ndugu wa karibu wa marehemu BALALI.
Sisi ndugu wa BALALI tunasikitishwa sana na hizi taarifa kwa kuwa tumeshalia na kusahau. Tuliiona maiti ya mpendwa wetu na tulimzika. Tafadhari sana tunaomba msitutoneshe majeraha yaliyoanza kupona.
AMIN
Ndugu wa karibu wa marehemu BALALI.
Kuna nyuzi iliyokuja ikasema Nyerere yuko hai?
MOD Tafadhari naomba Funga huu mjadala kwa usalama wa hii forum.
Naomba mjadala wa balali ufungwe. Watanzania hatuna destuli ya kuwasema vibaya watu waliotangulia mbele ya haki.
Hili nalo neno!Zinakutosha kichwani? Akitokea kichaa mmoja akakaa plae mnazi mmoja akajiita mwalimu Nyerere wewe utaamini ni yeye kweli?
Hizi thread zingine zinapelekea tuu watu wa usalama wazidi kujiandikia miposho ya kwenda ulaya kupunguza uwezekano wa yeye kujitokeza hadharaniWabongo tunajua kuwa Bw Balali ni marehemu. Alifariki na kuzikwa USA, hakuna aliudhuria hayo mazishi wala kupatikana kwa picha za hayo mazishi. Hivi karibuni kupitia mtandao wa twitter kajitokeza mtu anayedai kuwa yeye ni Bw Balali. Kuna gazeti liliandika kuhusu hiyo ishu. Cha ajabu bado huyu mtu anaendelea kutoa "tweets" kila mara. na leo kaweka picha anasoma kitabu pande za kwa obama. Je kama kweli huyu jamaa is indeed ALIVE! inakuwaje hapo ndugu zangu watanzania?
Hizi thread zingine zinapelekea tuu watu wa usalama wazidi kujiandikia miposho ya kwenda ulaya kupunguza uwezekano wa yeye kujitokeza hadharani
huyu jamaa anayeweka kipima joto ni kada maarufu wa ccm, p u m ba f u
Daudi Balali ‏ @daudibalali