Balali yuko HAI - He is not dead

Balali yuko HAI - He is not dead

Status
Not open for further replies.
Si kweli kwamba balali anayesemekana ni hayati amefariki.Vyanzo vya habari vya kuaminika vinasema Balali aliletwa hapa nchini kwa siri kubwa na kushushiwa Z'bar kwa ndege maalum, kisha boti maalum hadi kivukoni, then tinted car followed. Some sources zinasema amefanyiwa plastic surgery na sasa ni mhindi kwa sura.
duh! Hii kali, wizi, ufisadi mbaya jamani!
 
Nipo naye hapa tunacheki gemu ya kili stars vs malawi.
 
Small Boy. Ndio maana juzi nilimuona Mhindi mmoja pale mtaa wa Swahili akila chips kavu, nikawa najiuliza ni Mhindi gani yuleee? Aaah, kumbe ni Balali? Nikikutana nae tena ntakutonya. Nipe namba yako ya cm eeenh?

hahahahahaha
 
Guys balali is alive... follow him on twitter @daudibalali
 
Si kweli kwamba balali anayesemekana ni hayati amefariki.

Vyanzo vya habari vya kuaminika vinasema Balali aliletwa hapa nchini kwa siri kubwa na kushushiwa Z'bar kwa ndege maalum, kisha boti maalum hadi kivukoni, then tinted car followed.
Some sources zinasema amefanyiwa plastic surgery
na sasa ni mhindi kwa sura.

na mimi sorces zangu za kuaminika zinasema balali kajiunga humu JF ni member ili apate habari za kitaani kama kitaa kinaendelea kunuka au kimetulia.. jamaa anatuchora tulivyoanzisha huu UZI kuhusu issue yake! Mkuu balali japo comment kidogo! basi jitetee....
:spy:


 
Jamaa yupo alive na ameandika kwenye twitter yake kwamba Tweeting from Jersey Island for Tanzanian around the world alafu akaweka mabano akasema kwamba ATASEMA UKWELI DAIMA SECRETS THAT WILL BREAK A NATION

So tusubiri hii movie tuone itakuwaje na tunamsubiria kwa hamu sana aseme ukweli wake maana hawa magwanda wamezoea ujinga na ufisadi wa waziwazi.....
 
JK naye anatarajia kufanya plastic surgery baada ya kumaliza mda
 
Wabongo tunajua kuwa Bw Balali ni marehemu. Alifariki na kuzikwa USA, hakuna aliudhuria hayo mazishi wala kupatikana kwa picha za hayo mazishi.

Hivi karibuni kupitia mtandao wa twitter kajitokeza mtu anayedai kuwa yeye ni Bw Balali. Kuna gazeti liliandika kuhusu hiyo ishu. Cha ajabu bado huyu mtu anaendelea kutoa "tweets" kila mara.

Na leo kaweka picha anasoma kitabu pande za kwa obama. Je kama kweli huyu jamaa is indeed ALIVE! inakuwaje hapo ndugu zangu watanzania?
 
Wabongo tunajua kuwa Bw Balali ni marehemu. Alifariki na kuzikwa USA, hakuna aliudhuria hayo mazishi wala kupatikana kwa picha za hayo mazishi. Hivi karibuni kupitia mtandao wa twitter kajitokeza mtu anayedai kuwa yeye ni Bw Balali. Kuna gazeti liliandika kuhusu hiyo ishu. Cha ajabu bado huyu mtu anaendelea kutoa "tweets" kila mara. na leo kaweka picha anasoma kitabu pande za kwa obama. Je kama kweli huyu jamaa is indeed ALIVE! inakuwaje hapo ndugu zangu watanzania?

Kama vp weka picha tumwone
 
Majabu ya acc yake kwenye twitter yanaendelea ambapo leo kaamua kuweka picha yake akiwa anasoma bible naomba arudi tu watu wawekwe ndani
 

Attachments

attachment.php


Sio photo shop hii?
 
Wabongo tunajua kuwa Bw Balali ni marehemu. Alifariki na kuzikwa USA, hakuna aliudhuria hayo mazishi wala kupatikana kwa picha za hayo mazishi. Hivi karibuni kupitia mtandao wa twitter kajitokeza mtu anayedai kuwa yeye ni Bw Balali. Kuna gazeti liliandika kuhusu hiyo ishu. Cha ajabu bado huyu mtu anaendelea kutoa "tweets" kila mara. na leo kaweka picha anasoma kitabu pande za kwa obama. Je kama kweli huyu jamaa is indeed ALIVE! inakuwaje hapo ndugu zangu watanzania?
Kwani wewe una maoni gani kuhusu hili?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom