Natasha Ismail
JF-Expert Member
- Jul 14, 2008
- 756
- 693
Ndugu wa balali.! ndugu gani acha kudanganya waungwana.!
Mwambie huyo aache utoto.
Ndugu wa balali.! ndugu gani acha kudanganya waungwana.!
MOD naomba uifunge hii topic maana inatupa simanzi sana.
View attachment 49779
hii nimeikuta leo kwenye gazeti la fahamu.gazeti jipya
Sisi ndugu wa BALALI tunasikitishwa sana na hizi taarifa kwa kuwa tumeshalia na kusahau. Tuliiona maiti ya mpendwa wetu na tulimzika. Tafadhari sana tunaomba msitutoneshe majeraha yaliyoanza kupona.
AMIN
Ndugu wa karibu wa marehemu BALALI.
Sisi ndugu wa BALALI tunasikitishwa sana na hizi taarifa kwa kuwa tumeshalia na kusahau. Tuliiona maiti ya mpendwa wetu na tulimzika. Tafadhari sana tunaomba msitutoneshe majeraha yaliyoanza kupona.
AMIN
Ndugu wa karibu wa marehemu BALALI.
View attachment 49779
hii nimeikuta leo kwenye gazeti la fahamu.gazeti jipya
huyu jamaa anayeweka kipima joto ni kada maarufu wa ccm, p u m ba f uMKUU balali alikuwa baba yako?
Kinachokupa Simanzi ni nini?
Mbona watoto wa Nyerere hawajadai Threads za baba yao zifutwe?
Mkuu, una lako jambo.
Sisi ndugu wa BALALI tunasikitishwa sana na hizi taarifa kwa kuwa tumeshalia na kusahau. Tuliiona maiti ya mpendwa wetu na tulimzika. Tafadhari sana tunaomba msitutoneshe majeraha yaliyoanza kupona.
AMIN
Ndugu wa karibu wa marehemu BALALI.
Sisi ndugu wa BALALI tunasikitishwa sana na hizi taarifa kwa kuwa tumeshalia na kusahau. Tuliiona maiti ya mpendwa wetu na tulimzika. Tafadhari sana tunaomba msitutoneshe majeraha yaliyoanza kupona.
AMIN
Ndugu wa karibu wa marehemu BALALI.
MKUU balali alikuwa baba yako?
Kinachokupa Simanzi ni nini?
Mbona watoto wa Nyerere hawajadai Threads za baba yao zifutwe?
Mkuu, una lako jambo.
Wewe ni mnafiki sana tena miongoni mwa wanafiki duniani wewe ni number moja, fisadi mkubwa kabisa, una undugu gani na balali wewe? usiwadanganye watu bana tunakujua. Ndo maana hata humu unatumia id mbili tofauti ila kwa ufupi wa akili zako kuna vitu umeviacha vinafanana, mar Mr emmy, mada secondID, huna lolote, kwa hili nawe naona unafikiri kwa kutumia masaburi yako.