Balali yuko HAI - He is not dead

Balali yuko HAI - He is not dead

Status
Not open for further replies.
attachment.php


Kama photo shop vile

kama ni Fotoshopu napeleka mswada binafsi bungeni ipigwe marufuku ops!!! kumbe sijachaguliwa kulitumikia bunge.
 
Mwenyewe ndo anajua kama amekufa au yu hai, maadam jalada lake limefungwa basi, yanini kuangaika na balali wakati walioko hai na tunaokula nao bata sahani moja wapo na hatuna cha kuwafanya?
 
hiyo picha iko wazi ni photoshop ebu angalia maeneo ya shingoni, thou ninaamini balali yupo lakini hiyo picha ni photoshop edited
 
Basi nikazani yeye alikuwa muisilam lakini nikagundua hata waislam wanasimaga bibilia, ndo nimebaki taya chini
 
Wabongo tunajua kuwa Bw Balali ni marehemu. Alifariki na kuzikwa USA, hakuna aliudhuria hayo mazishi wala kupatikana kwa picha za hayo mazishi. Hivi karibuni kupitia mtandao wa twitter kajitokeza mtu anayedai kuwa yeye ni Bw Balali. Kuna gazeti liliandika kuhusu hiyo ishu. Cha ajabu bado huyu mtu anaendelea kutoa "tweets" kila mara. na leo kaweka picha anasoma kitabu pande za kwa obama. Je kama kweli huyu jamaa is indeed ALIVE! inakuwaje hapo ndugu zangu watanzania?
Zinakutosha kichwani? Akitokea kichaa mmoja akakaa plae mnazi mmoja akajiita mwalimu Nyerere wewe utaamini ni yeye kweli?
 
Ningekuwa na uwezo ningekwenda kumchukua nije nimuweke pale mansese darajani mjionee kuwa yu hai
 
mnabisha nn? wa2 wanaenda state kila leo na wanarudi na story za kumuona balali...sema me sioni kama ni issue maana hata hao tunao waita mafisadi tunao kila cku mitaan na hatuna cha kuwafanya tukubaliane na hali halisi tu ndugu zangu maisha yaendelee.
 
Mbona nilitoka state last month nilimuona na pia aliongea na dr.mwakyembe sana kama vip kamuulizeni
 
katika hii mitandao ya kijamii watu hujipachika majina ya watu wengine na hata kuweka picha zao ya nini kusumbuka na vitu kama hivyo. wewe jina unalotumia ni lako? super mario :wink2: tetetettetettee
 
Yuko hawaii huko kwenye beach house moja anakula good time. haina kufanya kazi we kuenjoy tu
 
Kwani Balali alikufa? Don't believe everything you read or told by media & politicians
 
Nafikiri kama kweli yupo aje tu bongo tutampa birth certifucate na atabatizwa upya basi anaendelea na maisha.. hii bongo bana
 
huyu jamaa anakula bata sana

Unakijua kinywaji chake alichokuwa anakunywa akiwa hapa bongo?

Kilikuwa hakipatikani... Hivyo ilikuwa "special order" kwa ajili yake kilikuwa kinatokea Europe,sikumbuki nchi gani! Ila thamani yake sasa,over a Million...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom