Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,657
we ndo unajua leo?
View attachment 49779
hii nimeikuta leo kwenye gazeti la fahamu.gazeti jipya
Sisi ndugu wa BALALI tunasikitishwa sana na hizi taarifa kwa kuwa tumeshalia na kusahau. Tuliiona maiti ya mpendwa wetu na tulimzika. Tafadhari sana tunaomba msitutoneshe majeraha yaliyoanza kupona.
AMIN
Ndugu wa karibu wa marehemu BALALI.
Sisi ndugu wa BALALI tunasikitishwa sana na hizi taarifa kwa kuwa tumeshalia na kusahau. Tuliiona maiti ya mpendwa wetu na tulimzika. Tafadhari sana tunaomba msitutoneshe majeraha yaliyoanza kupona.
AMIN
Ndugu wa karibu wa marehemu BALALI.
Sisi ndugu wa BALALI tunasikitishwa sana na hizi taarifa kwa kuwa tumeshalia na kusahau. Tuliiona maiti ya mpendwa wetu na tulimzika. Tafadhari sana tunaomba msitutoneshe majeraha yaliyoanza kupona.
AMIN
Ndugu wa karibu wa marehemu BALALI.
lete video/picha ya mnato hapa balali akiwa kwenye jeneza ama lasivyo funga mdomo wako na ukae kimya milele
Kwa hiyo ndugu wa Balali walikwenda America kuzika??? Mbona hatukusikia mama yake, kaka yake au mjomba wake aliyesafiri kutoka Bongo kwenda kuzika??? Mke wa Balai akisema hivyo labda tutamuelewa......... siyo ndugu!!
Sisi ndugu wa BALALI tunasikitishwa sana na hizi taarifa kwa kuwa tumeshalia na kusahau. Tuliiona maiti ya mpendwa wetu na tulimzika. Tafadhari sana tunaomba msitutoneshe majeraha yaliyoanza kupona.
AMIN
Ndugu wa karibu wa marehemu BALALI.
Wewe ndio ulog off ili usiendelee kupata simanzi.MOD naomba uifunge hii topic maana inatupa simanzi sana.
Sisi ndugu wa BALALI tunasikitishwa sana na hizi taarifa kwa kuwa tumeshalia na kusahau. Tuliiona maiti ya mpendwa wetu na tulimzika. Tafadhari sana tunaomba msitutoneshe majeraha yaliyoanza kupona.
AMIN
Ndugu wa karibu wa marehemu BALALI.
MOD naomba uifunge hii topic maana inatupa simanzi sana.
Ndugu yangu usiwe na hasira, kwani kila kifo hapa tanzania kinachukuliwa kwenye mavideo au mapicha? sio vyema kukumbusha majonzi yaliyotukuta.