THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,166
- 175
tuwaache wafu wawazike wafu wenzao.
Haaa haaa haaa
tuwaache wafu wawazike wafu wenzao.
swala la balali na sokoine halifananiHili la Balali maadam tulishatangaziwa ya kuwa amefariki na amezikwa huko Marekani, tuliache maana hata suala la Sokoine lilikuwa na uzushi wa namna hiyo
Next tym mkimuona tu wasilianeni na FBI ili akamatwe na aje kujibu tuhuma zake
Hivi mzimu/mzuka anaweza kukamatwa na FBI
Hivi kwa mfano achukuliwe video na maeneo yanayonekana live na ya wakati huu serikali itajibu nini kujikosha??maana uongo mwingine kama nikweli!itakuwa aibu ya mwaka!
Tunaisubiri siku ambayo Balali atatia maguu hapa Bongo! Kwa mtazamo wangu jamaa yupo hai.
Kipaka...kipaka.. Kwanini usimsake kimyakimya? Huogopi wewe?Natangaza rasmi kumsaka, jaman Lazima tumpate.
Kuna tetesi kuwa mara nyingi yuko Bolivia,nch masikin kabisa,na ana nyumba huko,
na nch nyingine 3. Du Sirikali itaumbuka sana.