Balali yuko HAI - He is not dead

Balali yuko HAI - He is not dead

Status
Not open for further replies.
Hili la Balali maadam tulishatangaziwa ya kuwa amefariki na amezikwa huko Marekani, tuliache maana hata suala la Sokoine lilikuwa na uzushi wa namna hiyo
 
Sina hakika kama kweli Balali amekufa, mtu mkubwa kama yule serikalini, maiti yake inashindwa kusafirishwa kuja nchini ili azikwe na ndugu zake, maana yake nini, bora hata wangesingizia alikufa kwenye ajali ya moto akawa majivu kabisa, halafu wawape ndugu zake majivu ya kizushi, ili kuzima ishu na mijadala kuhusu huyo mtu.
 
nchi hii sishangai kusikia kuwa balali yupo.kama watu walikataa kuwa richmond ni kampuni bubu kubwa,hakuna wizi wa epa BOT baada ya kutolewa na dr slaa.Haya kwa tz yanawezekana kabisa.enyi wana janvi,endelea kufuatilia ili na mwisho mungu atawaumbua.Tunasubili watangaze kuilipa dowans ili moto uwake nchi nzima.usaniiwa wanamagamba karibia unakaribia mwisho.
 
Wakati wanaojidai wapiganaji wanaongea siasa, unajiuliza hivi hawa wapigani au wapiga porojo? Si makosa yenu ni Jumamosi leo. Mnanchekesha.
 
hata mm juzi kuna jamaa aliniambia kuwa eti alimuona kwenye ndoto...huyu jamaa yupo kabisa!!!
 
Hivi kwa mfano achukuliwe video na maeneo yanayonekana live na ya wakati huu serikali itajibu nini kujikosha??maana uongo mwingine kama nikweli!itakuwa aibu ya mwaka!
 
Natangaza rasmi kumsaka, jaman Lazima tumpate. Kuna tetesi kuwa mara nyingi yuko Bolivia,nch masikin kabisa,na ana nyumba huko,na nch nyingine 3. Du Sirikali itaumbuka sana.
 
Kwahiyo anayetoa Amri ya Kuua Ni yule aliyepigiwa Simu ya Mkonga? Dah! siri huwa sio ya watu wawili
 
Kwahiyo anayetoa Amri ya Kuua Ni yule aliyepigiwa Simu ya Mkonga? Dah! siri huwa sio ya watu wawili

Ndio maana Rost Azi anatawatesa sana,nasikia yeye ndo alitoa concept ya jamaa kifichwa na kuutangazia umma kwa kafa. Juz alimpa mashart wa kaya kuwa asipolipwa hela yake ya dowans atataja kila sirI ya chama na serikali.
 
Ndio maana Rost Azi anatawatesa sana,nasikia yeye ndo alitoa concept ya jamaa kifichwa na kuutangazia umma kwa kafa. Juz alimpa mashart wa kaya kuwa asipolipwa hela yake ya dowans atataja kila sirI ya chama na serikali.

Kunaweza kukawa na ukweli fulani hapa maana Kagoda ya Rosti-amu ndo iliyochota pesa nyingi zaidi za EPA. Na haikutakiwa iguswe (Kagoda), na hata Pinda alisema ikiguswa nchi itayumba. Lol!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom