Shahidi mkubwa na muhimu wa DOWANS Mhs Mwakyembe kaenda India kutibiwa, au nayo ni mipango ya maghamba's kuficha ukweli ili ushahid upotee??????????Hii ndio TZ.Sasa tuongelee ukombozi wa nchi yetu kwani imetekwa na kundi la mafia.
Nchi yetu inazidi kufilisika lakini na ukweli utajulikana siku moja!!!!!!!!!!!Tusiwe watu wa mambo ya kusadikika BALAL yupo hai na ni siri kubwa kwa Taifa. hata akionekana uwanja wa ndege hapa bongo, tutaongea tuu ila hatutamfanya chochote. Mwacheni aishi kwani kama ni mauti bado atayakuta siku ikifika. 'We are always stands as invisible activists without any impact to the decision makers.'. Nchii hii iaenda tuu pasipo na Balal au CCM
Kanisa hili limenikumbusha mengi juu ya Balali.
HILI NDILO KANISA LILILOENDESHA MISA YA KUMWOMBEA MAREHEMU DAUDI BALLALI, WASHINGTON DC. KULE MBELE KABISA NI JENEZA LENYE MWILI WA BALLALI .
Wakati wanaojidai wapiganaji wanaongea siasa, unajiuliza hivi hawa wapigani au wapiga porojo? Si makosa yenu ni Jumamosi leo. Mnanchekesha.