BAKWATA ni tawi la Kanisa

BAKWATA ni tawi la Kanisa

Status
Not open for further replies.
Ahhh,kumbe habari yenye imekuja kuelekea uchaguzi,maana nao imekuwa posted juzi tu.
Waliokosa Madaraka BAKWATA utawajua
Hembu tuambie huyo Abdul Skykes alikuwa nani na alifanya kazi sehem zipi wakati wa uhai wake,
Ili tujue unafikia wake.


Halafu Uandishi wenyewe wa kizamani kweli,hauna ushahidi wa kutosha.
Hembu aseme ni viongozi gani kwa majina waliowekwa kizuizini kisa udini wakati huo.
Ili nimtajia viongozi wakubwa wa Kiislam waliokuwa madarakani wakati huo

Aaache inafiki,ndio wale wale,nyie mnachangia humu ila yeye amewasaidia tu kuwawekea kitabu chake cha uandishi mbovu kweli sijawahi kuona.Yaani mwenye akili kabisa unaweza ukasoma hapo ukaelewa?
Yaani hiyo ndio eti sehem ya Kwanza,huko mwisho kutaeleweka kweli.Hovyo kabisaa,aibuu

Na kwanini Kenya na Uganda wao hawalalamiki kuhusu kuvunjwa kwa umoja huo ila sie tu.
Hivi hujui hata Wakristo kuna Taasis zao zilipata kashkash kubwa sana kwenye baadhi ya Nchi?

Hata kama huo umoja ungekuwepo,bado BAKWATA ingeundwa tu.Hizo Nchi zoote za Kiarabu zina Taasisi zao ndani ya nchi na zinajitegemea kama BAKWATA,na pia wanataasisi ya Nchi za Kiarabu na pia kuna Mabaraza ya Taasisi za Kiislam duniani ambapo BAKWATA imo.
Na sio kweli kwamba Baraza la Waislam Kenya na Baraza la Waislam Uganda na BAKWATA hawashirikiani.Wanashirkiana saana tu.Na ukifuatilia kuna Mikutano mikubwa imekuwa ikiandaliwa na taasisi hizi.Na hata ukifuatilia Maziko makubwa ya Viongozi wadini Taasisi hizi zimekuwa zikitoa watu maalum kwenda Kuhudhuri mazishi.

Historia ukiigeuza unavyotaka wewe,basi itakupeleka kulingana na akili yako inavyotaka.

Halafu Mwambie Mwandishi,Vitabu au makala haziandikwi hivyo

Zanzibar Spices,
Ombi langu kwako ni tujikite katika hili darsa langu.

Ningefurahi kama utaniuliza maswali kutoka katika hii BAKWATA Sehemu ya
Kwanza ili tusichanganye maudhui.

Ikiwa unaona ni muhimu nikupatie majibu kwa haya maswali yako bora
ufungue uzi mwingine.

Kuhusu uandishi wangu nakuwekea hapa baadhi ya vitabu na ''papers,''
nilizoandika:

1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

2. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press 2006, Nairobi. (Children's book).

3. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

4. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

5. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

6. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

7. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

8. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

9. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

10. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

11. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

12. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000' (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15[SUP]th[/SUP] – 17[SUP]th[/SUP] 2003).

13. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP] February – 4[SUP]th[/SUP] March 2004).

14. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA)Morogoro 11[SUP]th[/SUP] April 2004).

15. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8[SUP]th[/SUP] - 10th February 2006).

16. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21[SUP]st[/SUP] Century 1[SUP]st[/SUP] - 3[SUP]rd[/SUP] August 2006, Kenyatta University, and Nairobi.

17. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg. The paper was also presented at Islamic Propagation Centre International (IPCI) Durban.

18. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
 
Ahhh,kumbe habari yenye imekuja kuelekea uchaguzi,maana nao imekuwa posted juzi tu.
Waliokosa Madaraka BAKWATA utawajua
Hembu tuambie huyo Abdul Skykes alikuwa nani na alifanya kazi sehem zipi wakati wa uhai wake,
Ili tujue unafikia wake.


Halafu Uandishi wenyewe wa kizamani kweli,hauna ushahidi wa kutosha.
Hembu aseme ni viongozi gani kwa majina waliowekwa kizuizini kisa udini wakati huo.
Ili nimtajia viongozi wakubwa wa Kiislam waliokuwa madarakani wakati huo

Aaache inafiki,ndio wale wale,nyie mnachangia humu ila yeye amewasaidia tu kuwawekea kitabu chake cha uandishi mbovu kweli sijawahi kuona.Yaani mwenye akili kabisa unaweza ukasoma hapo ukaelewa?
Yaani hiyo ndio eti sehem ya Kwanza,huko mwisho kutaeleweka kweli.Hovyo kabisaa,aibuu

Na kwanini Kenya na Uganda wao hawalalamiki kuhusu kuvunjwa kwa umoja huo ila sie tu.
Hivi hujui hata Wakristo kuna Taasis zao zilipata kashkash kubwa sana kwenye baadhi ya Nchi?

Hata kama huo umoja ungekuwepo,bado BAKWATA ingeundwa tu.Hizo Nchi zoote za Kiarabu zina Taasisi zao ndani ya nchi na zinajitegemea kama BAKWATA,na pia wanataasisi ya Nchi za Kiarabu na pia kuna Mabaraza ya Taasisi za Kiislam duniani ambapo BAKWATA imo.
Na sio kweli kwamba Baraza la Waislam Kenya na Baraza la Waislam Uganda na BAKWATA hawashirikiani.Wanashirkiana saana tu.Na ukifuatilia kuna Mikutano mikubwa imekuwa ikiandaliwa na taasisi hizi.Na hata ukifuatilia Maziko makubwa ya Viongozi wadini Taasisi hizi zimekuwa zikitoa watu maalum kwenda Kuhudhuri mazishi.

Historia ukiigeuza unavyotaka wewe,basi itakupeleka kulingana na akili yako inavyotaka.

Halafu Mwambie Mwandishi,Vitabu au makala haziandikwi hivyo

pole sana, huwenda juhudi yako ikakusaidia. ila hasira zako zinaashiria kuna jambo nyuma yako iko siku litajulikana. ikiwa hujui historia ya uislamu na waislamu Tanzania vema ukanyamaa kuliko kutokwa povu na kutumia nguvu nyingi kuzima moshi badala ya moto
 
Mara tawi la CCM mara tawi la kanisa mara tawi la Nyerere mbona tunavurugana ubongo? Tuwe na msimamo basi ni tawi la nani?
 
Kamuulize nyerere alie anzisha hilo tawi la Kikatoliki, unatuuliza sisi?
Kiazi wahed!
Wanao ikataa bakwata humu wengi wenu ni wapumbavu..kma mnaona bakwata haifai ni kwanini sasa mnafata matamko yao.!nilitegemea waislamu wengi mgesherehekea iddi ijumaa tofauti na maelekezo ya bakwata,bakwata pia wametangaza iddi kitaifa itafanyika geita na kwa dar kimkoa itafanyika mnazi mmoja,sasa tuone kama waislamu hawata jitokeza maeneo husika..
mbona amsemi na chuo chenu cha moro ni cha kanisa,si aliwapa mkapa?tatizo lenu madrasa mmejifunza majungu na umbea.
 
Madhehebu ya kikristo yako mengi, sasa BAKWATA wamejiunga na lipi kakika haya

Katoliki
Kiprotestant
Kimedhodist
Kibatisti
Kiadventisti
au haya ya mitume na manabii wa uongo

Muulize Gwajima.
Halafu usidanganye watu hapa.
Kuna 43,000 Christian denominations duniani na Inategemewa kufika Madhehebu 55,000 ifikapo mwaka 2025.

We huna habari kuwa Ugalatia ni dili siku hizi? Kila mtu anafungua Duka lake la kondoo na kupiga hela kwa raha zake kilainiii!

Tukiyataja yote hapa tutajaza Server.
Gonga hapa uone balaa mwenyewe.

http://churchrelevance.com/qa-list-of-all-christian-denominations-and-their-beliefs/
 
Shangazi Jaslaws ungekuwa umesoma kidogo tu ungetambua kuwa asilimia 95 ya waislamu hapa Nchini hawaitambui Bakwata lkn Kwa sababu makafiri wamewapa mpini hao vibaraka wao Unakuta baadhi ya mambo waislamu hawana hiari.
Lkn kwa sababu wewe ni mmoja wa wale wenye Div1 za kanisa kukufundisha sintoweza! Akili zenu kwa mujibu wa andiko lenu mmefananishwa na Kondoo

Sasa wakati wa kumfundisha Kondoo Sina. Pili kwa busara zako zilivyokuwa ndogo unashindwa kutambua kuwa Mwezi wa waislamu Hauko chini ya Mamlaka ya Bakwata bali It's all to do with lunar eclipse.

Lakini Mgalatia ni mgalatia tu hata umwambie nini.
Ndio maana Paulo akawauliza Enyi wagalatia msiokuwa na akili je! Ni nani alie waroga?

Mi namjibu kuwa Hawa Makatonta wamerogwa na Mzungu. Actor wa Movie wa Hollywood. Na mpk leo wanaabudu picha yake.
 
Last edited by a moderator:
wanataka wawe huru kuunda taasisi yao wenyewe
Hapana. Tunataka kila mtu awe na uhuru wa kufuata taasisi au kuamini chochote anachotaka bila kulazimishwa kufuata au kuamuliwa mambo na taasisi fulani.

Kwa mfano, hatutaki BAKWATA au chombo chochote binafsi, kitangaze "leo ni sikukuu ya Eid na itaadhimishwa kitaifa Geita." We nani mpaka utangaze siku ya Kitaifa kwa watu ambao sio subscribers wa BAKWATA? Kwa maneno mengine, BAKWATA ni taasisi binafsi. Inapata wapi mamlaka ya kutangaza sikukuu ya kitaifa?
 
Dunia nzima waislam wanalia kuonewa. Na hii ni kwa sababu duniani kote sharia za kiislam hazitekelezeki. Hata mataifa ya kiislam yenyewe yameshindwa kutekeleza sharia za kiislam, ndio maana utaona huko huko uarabuni kuna vikundi vinapigana na serikali ili kutekeleza utawala wa sharia. Kwa kifupi ni kwamba utawala wa sharia hautekelezeki. Na kama wakilazimisha basi watu wengi watahama nchi hizo kwenda kwenye nchi za kikristo kama tunavyoona leo waarabu na wasomali wanakimbilia ulaya

Huna hata kimoja ulichopunguaza juu ya hawa wajinga kila siku wanaonewa kitabu chO KIMOJA NA HAKIELEWEKI NDIYO MAANA WANACHINJANA KILA UCHAO NA KUTAKA WENGINE WAFUATE UJINGA WAO WALANIWE MPAKA MWISHO WA DUNIA
 
Kwani mateso yenu unadhani yatakwisha?
Mtapigia goti picha ya mzungu pamoja na sanamu lake mpk kiyama.
Na bado.

Na nyie mtatawaliwa na mzungua mpka mwisho wenu hata kama mnautajiri wa mafuta lakini mtaishia kuuwana tu na HAMTOFAIDI CHOCHOTE KWA UTAJIRI WENU MWENZENU DUBAI KALIONA HILO UKIENDA UTAKUTA VI MINI KAMA SINZA NA HUDUMA ZA MADANGURO KIBAO NA MAISHA YANAENDELEA KAZI KWENU NA UJINGA WENU
 
Na Bakari Mwakangwale
NI miaka 51 sasa tangu Taifa hili lipate Uhuru. Waislamu hapa nchini wamekuwa wakiilalamikia sana Serikali kuhusu kuwepo kwa mgawanyo usio sawa katika utoaji wa elimu, madaraka na hata nafasi za ajira Serikalini. Hoja kuu ikiwa ni Wakristo kupewa upendeleo. Ufupi wa maneno wanasema kuwa nchi hii inaendeshwa namfumokristo unaowahujumu Waislamu nakuwaimarisha Wakristo.

Kufuatia malalamiko hayo, wapo wale wa upande wa pili na hata miongoni mwa Waislamu wenyewe wamekuwa wakiwalaumu Waislamu kuwa wao kazi yao ni kulalamika tu! Pamoja na kulalamika, Waislamu wamekuwa wakijibidiisha katika kutafuta njia mbadala katika kujikwamua katika mambo mbali mbali yanayowasibu. Ndiyo, ni lazima walalamike si vyema wakafunga mdomo, ili hali wana uhakika wanafanyiwa hiyana, lakini pia kupitia kulalamika kwao wamekuwa wakianisha na kuweka wazi dhulma wanazofanyiwa kwani kupitia malalamiko hayo kunasaidia kuamsha hamasa miongoni mwao, ambao hawaelewi nini kimewafikisha katika hali walionayo.

K a t i k a m a k a l a h a y a nitajaribu kuyapima kwa uzito madai haya ya pili kwa kujadili mahusiano yaliyopo kati ya Serikali na Kanisa, hususani Kanisa Katoliki. Pamoja na utumiaji wa nguvu na makali ya sheria zilizopata kuchukuliwa na Serikali dhidi ya viongozi wa Kanisa Katoliki kutokana na mapenzi ya Serikali juu ya Kanisa. Katika kitabu chake Bw. Bergen, kiitwacho Development and Religion in Tanzania, katika Ukurasa wake wa 98 mwanadishi huyo anasema:- “Catholic Missionaries came to East Africa to find not new churches, but new provinces of the Roman Church” Kwa mujibu wa tafsiri yangu “Wamishionari wa Kikatoliki hawakuja hapa Afrika ya Mashariki kwa minaajili ya kuasisi Makanisa mapya, bali walikuja kuunda majimbo mapya ya Kanisa la Roma”. Ni kwamba, Tanzania (Tanganyika) ipo Afrika Mashariki, na kwa mujibu wa mwandishi Bergen, Tanzania nayo ni moja ya majimbo ya Kanisa la Roma, au kwa lugha nyepesi tuseme Tanzania ni Koloni la Vatican! Je, ni kweli Tanzania (Tanganyika) ni Koloni la Vatican? Padri. Dk. Sivalon, naye katika kitabu chake Kanisa Katoliki na Siasa za Tanzania Bara (1953-1985) anaeleza bayana kuwa Mwalimu Julius Nyerere Rais wa Kwanza wa nchi yetu, alikuwa kiungo pekee kati ya Chama (CCM), Serikali na Kanisa Katoliki.

N a k w a m s i n g i h u o viongozi wa Kanisa wamekuja kuwa na nafasi ya pekee kuelekeza hisia, mitazamo na siasa ya Tanzania, na wamefanya hivyo wakipania pia kuwa kuhujumu Uislamu. (Msomoe Sivalon Uk. 5-6,
katika kitabu chake hicho). N a y e m w a n d i s h i Bergen katika kitabu chake a m e m n u k u u M w a l i m u Nyerere akisema kamwe hawezi kwenda kinyume na kanisa lake. (Bergen Uk. 335). Agosti 3, 1970 Mwalimu
Nyerere, alimwita Ikulu Padri Rweyemamu katika mazungumzo maalum ambapo Nyerere alimuahidi Rweyemamu kuwa, hivi sasa Kanisa ndilo lililoshika hatamu za kuongoza dola naye atahakikisha hali inaendelea kuwa hivyo. “Tanzania is not Catholic country, but Catholics is strong, I want to give the church a better chance here”. Akiwa na maana kwamba:- japo “Tanzania si nchi ya Kikatoliki, lakini Ukatoliki una nguvu, hivyo nataka kulipa Kanisa nafasi ya pekee hapa nchini” (Msome, Bergen Uk. 335). Na hali hii ya Kanisa kuwa na nafasi kubwa Serikalini iko wazi.

Waandishi wote hawa wanatuthibitishia kuwa, kuna ukweli fulani kwamba yapo mafungamano ya dhati kati ya Kanisa Katoliki na Serikali ya Tanzania. Ni mafungamano hayo hayo ndiyo yameendelea kuwapa uweza viongozi wa Kanisa Katoliki kutoa maelekezo, maagizo na vilio vyao Serikalini na wakasikilizwa pamoja na kutekelezwa yale wanayoyahitaji hata kama yamelenga kuleta maafa kwa Waislamu. Mfano, mwaka 1998, Padri Lwambano, ambaye ni Paroko wa Kanisa Katoliki Mburahati Jijini Dar es Salaam, alisema kuiambia Serikali:- “Lazima Serikali ichukue hatua kali sana kwa Waislamu wanaoendesha Mihadhara, sababu ni watu wabaya kabisa, nimepita Sinza na Mwembechai, n i m e k u t a Wa i s l a m u hao wanamtukana Yesu wanasema Yesu si Mungu”, alisema Paroko huyo na kuongeza; “ K a m a S e r i k a l i imeshindwa kuchukua hatua kali kukomesha Mihadhara ya Waislamu na kuendelea k u t u p a k a m a t o p e k w a mgongo wa chupa, Serikali hii ijue sisi tutalishughulikia jambo hilo kwa nguvu zetu zote”.

K a u l i h i i y a P a d r i Lwambano, ilirushwa hewani na Kituo cha Radio Tumaini kinachomilikiwa na Kanisa hilo hapa nchini, Februari 13, 1998. Padri Lwambano bila kujali kuwa imani yake inaamini ‘Yesu ni Mungu’ na Waislamu imani yao inaamini ‘Yesu si Mungu’, aliinyooshea kidole Serikali nayo ilifuata bila kujali yenyewe (Serikali) haina dini na raia wake wana dini, kwa imani tofauti.

K a t i k a u t e k e l e z a j i wa agizo hilo bila shaka k i l a m t u a n a k u m b u k a kilichotokea. Ama kwa wale ambao walikuwa ni wadogo kipindi hicho ni kwamba Jeshi la Polisi lilifika Msikiti wa Mwembechai na kuuwa Waislamu kwa risasi na kikumbukumbu ni maarufu kwa ‘Mauaji ya Mwembechai’. Kufuatia madai hayo ya Padri Lwambano, viongozi kadhaa wa nchi walifikia hatua ya kuliomba radhi Kanisa Katoliki na Wakristo kwa ujumla. Majina na vyeo vya viongozi hao wakuu wa Serikali yanafahamika.

Baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Jeshi la Polisi, kazi ya kukatili maisha ya Waislamu na kubaka haki zao, kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini Polycarp Kadinali Pengo, aliipongeza Serikali kwa upande mmoja na Polisi kwa upande wa pili kufuatia mauaji hayo hayo ya Waislamu, Mwembechai. Pongezi hizo alizitoa April 12, 1998 wakati akihojiwa na kituo cha Televisheni cha Dar es Salaam (DTV). Kanisa likionekana kuuchukukia vilivyo Uislamu, liliongeza harakati za siri na za wazi na kwa kutumia nguvu za dola ili kupunguza kwa upande mwingine nguvu ya Uislamu, maana kuuzima kabisa ni jambo lisilowezekana.

Askofu Mkuu Pengo alitoa taarifa ya kuenea Uislamu hapa Tanzania huku akihitaji msaada wa hali na mali katika kuhidhibiti hali hiyo. N a k w e l i , S e r i k a l i i l i t e k e l e z a k u d h i b i t i Mihadhara na Wahadhiri, ambapo wahadhiri maarufu nchini wakiongozwa na Habib Mazinge, walitiwa
m b a r o n i n a k u t u p w a Magerezani. Aidha sehemu ya taarifa yake ilisema hivi; “Uislamu umekuwa tishio kubwa sana kwa imani ya Kikristo nchini Tanzania, iwapo mihadhara ya Waislamu itaachwa iendelee, Kanisa litegemee kukimbiwa na waumini wake na kusilimu, kwa hiyo juhudi lazima zifanywe kuzuia Mihadhara hiyo.

“Tunashindwa kujibu hoja zao Waislamu sababu zina ukweli ndani yake”, maelezo haya yanapatikana katika kitabu cha Askofu Pengo kiitwacho Jimbo Kuu la Dar es Salaam kwenye vijilia Sinodi ya Maaskofu wa Afrika kwa ajili ya Afrika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom