Kua BAKWATA ni tawi la serikali na imeundwa kuisaidia serikali pamoja na Chama Tawala (CCM) hii naiamini kabisa, haina shaka na ni ukweli mtupu. Bakwata ni taasisi mojawapo tu kundi moja na Jumuia ya Wazazi CCM, UWT & UVCCM.
ila Kua BAKWATA ni tawi la kanisa hii siiamini na haina ukweli wowote.
Kwa hiyo mahakama ya kadhi itakuwa tawi la nini?