BAKWATA ni tawi la Kanisa

BAKWATA ni tawi la Kanisa

Status
Not open for further replies.
Mf.wa mkristo sio askofu wala mch.bali Yesu usitumie ngu nyingi kwa kuleta ushahidi wa wachungaji na mapadre hata nyie waislam mf.wenu ni mtume ndo maana matendo yake mnayafuata

Leta Ushahidi mgalatia! Acha kuropoka ka muimba mdundiko!

Watoto wanabakwa makanisani halafu unasema huo sio Ukristo?
We kweli una akili timamu?
 
Kanisa,Msikiti..
yote ni majengo ya imani zilizochipukia kwa watu weupe wanaotuita sisi WAAFRIKA manyani.
Walileta imani hizi wakidai Waafrika hatuna ustaarabu wala imani sahihi ya Kimungu.
Mungu alileta Mitume kwenye jamii zilizozama katika dimbwi la maovu.
fungua macho uone nani alipotea kati ya watu weupe na weusi.
Mpende Mungu mpende ndugu yako mpende jirani yako.
Madhehebu unayoyabeba ni imani yako tu juu ya hatima yako baada ya maisha haya.

SHIKAMOO kaka Sharif! umenena kama niwazavyo kila wakati, niliwahifanya presentation nikiwa chuoni yenye heading " All religion must be torelated that everybody could get in heaven on their own " seminar leader akiwa mlokole akanipa max chache, sikumaind wala nn ila ujumbe ulifika!!
 
Last edited by a moderator:
Kanisa,Msikiti..
yote ni majengo ya imani zilizochipukia kwa watu weupe wanaotuita sisi WAAFRIKA manyani.
Walileta imani hizi wakidai Waafrika hatuna ustaarabu wala imani sahihi ya Kimungu.
Mungu alileta Mitume kwenye jamii zilizozama katika dimbwi la maovu.
fungua macho uone nani alipotea kati ya watu weupe na weusi.
Mpende Mungu mpende ndugu yako mpende jirani yako.
Madhehebu unayoyabeba ni imani yako tu juu ya hatima yako baada ya maisha haya.

Unajiita Sharif halafu unahara ovyo.
Si ujiite jina lako tu Magdalena tujue moja? Vipi umpende jirani kibaka au mbakaji? Na hayo mapendo ya watu ovyo umefundishwa na nani?

Sura ka Nyani kala ukwaju!
 
Unajiita Sharif halafu unahara ovyo.
Si ujiite jina lako tu Magdalena tujue moja? Vipi umpende jirani kibaka au mbakaji? Na hayo mapendo ya watu ovyo umefundishwa na nani?

Sura ka Nyani kala ukwaju!

we nyundo mashavu kama mawimbi ya uji
 
Last edited by a moderator:
Hapa ndio nimemamini kuna walee waislam jina.
Wanakunywa Supu ya Nguruwe halafu wanakuambia Nguruwe mwenye Kharam ila supu yake taaam.

Nyie Waislam Michepuko wafuata mkumbo au wazee wa Ku google,mmeponda saana na kuweka uadui na Ukristo na imani nyingine.
Na mkisema kwamba Ukatoliki ndio uadui wa Uislam,sasa nyie mnajua JF inamilikiwa na nani?
Au ndio supu ya nguruwe Tam.

Mnajua kuwa member JF inaingiza kiasi gani na rank yake inakuwaje?
Sasa kama kweli nyie ni wale wenye misimamo ya kweli kama mnavyojiita hivyo Jitoeni ili tujue kweli mnamisimamo.
La sivyo niwanafiki wakubwa,type

Waislam wapenda amani na wenye kujua Uislam tutabakia na umoja wetu na tutajenga hoja za maana kwenye imani zetu.
Uislam hauenezwi kwa Chuki za kijinga na kujiona kwamba ni bora kuliko mwenzio,wakati woote mmetokana na Maniii ya baba zenu.Hakuna alieumbwa na almasi,baada ya kuja dunia ndio mabadiliko ya imani yakaingia.

Sasa ujumbe ni huo kwamba Mnaoleta chuki na ukatoliki au Ukristo je mbona mmo na mmejiunga JF?au hamjui kama inamilikiwa na Wakristo?
Hapo sasa,kila mmoja mbioooo
Wanafiki wakubwa nyie.

BAKWATA itaendelea kuwa BAKWATA na kwa sie waislam wenye imani zetu na sio mamluki wanaonunuliwa kwa pesa za kanga.
 
Hapa ndio nimemamini kuna walee waislam jina.
Wanakunywa Supu ya Nguruwe halafu wanakuambia Nguruwe mwenye Kharam ila supu yake taaam.

Nyie Waislam Michepuko wafuata mkumbo au wazee wa Ku google,mmeponda saana na kuweka uadui na Ukristo na imani nyingine.
Na mkisema kwamba Ukatoliki ndio uadui wa Uislam,sasa nyie mnajua JF inamilikiwa na nani?
Au ndio supu ya nguruwe Tam.

Mnajua kuwa member JF inaingiza kiasi gani na rank yake inakuwaje?
Sasa kama kweli nyie ni wale wenye misimamo ya kweli kama mnavyojiita hivyo Jitoeni ili tujue kweli mnamisimamo.
La sivyo niwanafiki wakubwa,type

Waislam wapenda amani na wenye kujua Uislam tutabakia na umoja wetu na tutajenga hoja za maana kwenye imani zetu.
Uislam hauenezwi kwa Chuki za kijinga na kujiona kwamba ni bora kuliko mwenzio,wakati woote mmetokana na Maniii ya baba zenu.Hakuna alieumbwa na almasi,baada ya kuja dunia ndio mabadiliko ya imani yakaingia.

Sasa ujumbe ni huo kwamba Mnaoleta chuki na ukatoliki au Ukristo je mbona mmo na mmejiunga JF?au hamjui kama inamilikiwa na Wakristo?
Hapo sasa,kila mmoja mbioooo
Wanafiki wakubwa nyie.

BAKWATA itaendelea kuwa BAKWATA na kwa sie waislam wenye imani zetu na sio mamluki wanaonunuliwa kwa pesa za kanga.

We mwaka huu usipoposwa na ndugu mchungaji basi jinyonge tu.
Manake mwaka wa 40 huu wachumba kila wakija wanatoka mbio! Au kaogee maji ya maharage bi Spices.

Unapenda kujiita muislamu kosa jirani yako Tajiri wa Kiarabu!
Teh teh teh teh.

Chunga usijepata mimba usioitaka tu.
 
We mwaka huu usipoposwa na ndugu mchungaji basi jinyonge tu.
Manake mwaka wa 40 huu wachumba kila wakija wanatoka mbio! Au kaogee maji ya maharage bi Spices.

Unapenda kujiita muislamu kosa jirani yako Tajiri wa Kiarabu!
Teh teh teh teh.

Chunga usijepata mimba usioitaka tu.

Kama imani yako inaruhusu matumizi ya maneno unayotumia nakuhakikishia upo ktk imani ya kishetani. .. Mungu hawezi kuruhusu kutetewa kwa matusi labda ni shetani ndo mungu wako.
 
Kama imani yako inaruhusu matumizi ya maneno unayotumia nakuhakikishia upo ktk imani ya kishetani. .. Mungu hawezi kuruhusu kutetewa kwa matusi labda ni shetani ndo mungu wako.

Yaani kumwambia dada Zanzibar Spices atafute mume haraka kabla hajazeeka imekuwa matusi? Basi mwalimu wangu kanidanganya kuwa huo unaitwa Ushauri mzuri sio matusi.
Ngoja nikamuulize kwanini kasema uongo?
 
Last edited by a moderator:
Sasa hapa ndio mnapotaka kuuposhoa Uislam.
Yaani wewe Bonge la Muongooo

Nyie matapeli wa dini kama alvyosema mdau mmoja hapo juu mnatabu saana kwa kukariri na ku copy tu
Na wengie ni wale mliotaka Madaraka BAKWATA kwa nguvu mkapigwa chini,njaa ikaaanza.

We tangu lini Bi Titi ukamtegemee aeneze Uislam?
Uislam unajieneza wenyewe na Nyerere hakuna na Chuki kama unavyojaribu kushawishi watu
We Bi Titi Uislam wake wenyewe Mashaka eti kabisaaa mnatunga Kitabu cha kusema ndio alikuwa katika watu wenye kupigani Uislam.

Dini ni Imani na sio kuona mtu anaija jina lenye kuelekea kama Uislam basi ukajua ni Muislam,Nenda Misri,kuna wachungaji wanaitwa majina ya Mahmood,Hussein,Jamal nk.
Sasa watu wamekariri kwamba Jina tu umeishakuwa Muislam

Hembi angalie hii picha ya Bi Titi na halafu Compare na Mtoa hoja mbovu eti alikuwa anatetea Uislam
Muislam gani atatete kichwa Wazi,Pika Kimini Kanzu,shame on yyyyoooo
Labda alikuwa anawateteta nyie Waislam Michepuko ila Sio sie Waislam wenye kuamini kwamba dini inajiendesha yenyewe na ina njia zake za Amaani saana za kueneza dini.Na maisha unajipangia mwenyewe,sio yanakushinda kisa eti mfumo wa Serikali na BAKWATA ebboo
Hahafu usitulazimishe kusoma kitabu kisicho na hoja

Haya mleta Hoja anasema etu huyu ndio alikuwa anataka kutetea Uislam,Uislam unaujua au unafuata tu wewe
View attachment 269134
View attachment 269134

Zanzibar Spices,
Siwezi kuingia katika hoja ni sifa gani awenazo Muislam ili aweze kuutetea Uislam.
Nilichofanya mimi baada ya kusoma historia na kukuta habari nyingi si sawa kuhusu
BAKWATA ni kufanya utafiti na kuandika.

Hiki ndicho ninachofanya hapa.
Mimi naeleza BAKWATA ilikujaje na nani walihusika na kuiunda.

Sasa mtu anaweza akafanya tafsiri yoyote aitakayo siwezi kumzuia.
Muhimu kwangu ni kuuweka ukweli wazi ili kila mtu aujue.

Kama nilivyoandika historia ya TANU na watu wakaijua ndivyo nilivyofanya katika historia
ya BAKWATA.

Sikulazimishi kuniamini unaweza kuamini ukipendacho muhimu kwangu ni wewe ujue
ule upande ambao kwa miaka mingi ulifichwa.

Zanzibar Spices,
Ulikuwa na wasiwasi na uandishi wangu na nikakuwekea baadhi ya ''publications,'' zangu.
Imekuwaje umekuwa kimya kuhusu hili?

Nichukue ukimya wako kuwa hofu uliyokuwanayo kwangu mimi imekutoka?
 
Jamani makubwa nayasikia hapa kupitia Star TV.Wachambuzi maustaadh wanaeleza hadith za Mtume hasa mfungo na sikukuu ya Idi.Sasa hapa kwenye hitimisho ndio wamesema waislam waachwe waunde chombo chao wenyewe na si hii BAKWATA.

Wamesema Uundwaji na BAKWATA umechambuliwa vizuri na mwenzetu Mohamed Said kwamba malengo ya BAKWATA sio mazuri.Mwisho kabisa wamesema BAKWATA ni tawi la Kanisa....

My Take:

R.I.P Mwalimu Nyerere na mafunzo yako juu ya mshikamano

Zanzibar Spices,
Mimi si Shylock nikakudai kilo ya nyama.

Huwajibiki kunijibu niliyokuuliza kuhusu ujuzi wangu katika kuandika.
Hata ukinyamaza kimywa kwangu mimi ni jibu tosha.

Silence is golden because it can never be repeated...so the saying goes.

Tuingie katika darsa tuangalie Bakwata Sehemu ya 4:
Mohamed Said: BAKWATA SEHEMU YA NNE

''Mwalimu Nyerere alikuwa anawaambia Tewa Said Tewa na Bibi Titi Mohamed
uso kwa macho wajiandae kwa kile kilichokuwa dhahiri: vita ya msalaba dhidi ya umoja
wa Waislam. Sheikh Suleiman Takadir aliyaona haya na aliiomba TANU toka mwaka
wa 1958 pawepo na uhakika kuwa Wakristo ambao walikuwa wanapanda migongo ya
Waislam na kuchukua uongozi hawatakuja kuwafanyia uadui Waislam pale Waislam
watakapokuwa sasa wanataka kugawana madaraka ya kuongoza nchi sawa na Wakristo
baada ya uhuru...''
 
Mimi sijaelewa unaposemaBAKWATA NI TAWI LAKANISA, unamaanisha nini? ebutuweke wazi
 
Waislamu wananishangaza wanadai BAKWATA imeundwa na Serekali na ni tawi la Kanisa.Nasema sawa Waislam hao hao kila siku wanataka kuundiwa Mahakama ya Kadhi na serekali sijui nayo itakuwa tawi la Kanisa.

Nani kawazuia waIslam kuunda chombo chao.

...mh, you got the point aisee, never thought like this, lakini bado mtu atakuja kabisa,
 
Huko kwenye nchi za kikristo,waprotestant na wakatoliki wameuwana sana,hasa Irelanda ya kaskazini,na mpaka leo hakujatulia.Sudani ya kusini,wakristo wanauwana,Kongo wakristo wanauwana,Kusini Uganda wanauwana,Kenya wameuwana maelfu,Askofu Kibwetere kaua maelfu,wazungu wengi wameja nchi za Oman,Dubai,Qatar ,Bahrain,Abudhabi,Saud Arabia,Kuwait,nk.kwa kuona ndiko kuliko na Amani.

...big lie
 
We mwaka huu usipoposwa na ndugu mchungaji basi jinyonge tu.
Manake mwaka wa 40 huu wachumba kila wakija wanatoka mbio! Au kaogee maji ya maharage bi Spices.

Unapenda kujiita muislamu kosa jirani yako Tajiri wa Kiarabu!
Teh teh teh teh.

Chunga usijepata mimba usioitaka tu.

Amekukuna penyewe nini??,basi jikaze tu!dawa iingie vizuri.
 
Unajiita Sharif halafu unahara ovyo.
Si ujiite jina lako tu Magdalena tujue moja? Vipi umpende jirani kibaka au mbakaji? Na hayo mapendo ya watu ovyo umefundishwa na nani?

Sura ka Nyani kala ukwaju!

Sipati picha jinsi ulivyo sura na Upeo wako wa kufikiri hapa tunashindana kwa hoja tu! matusi hayana nafasi hapa.Kwa kufanya hivyo unaudhihirishia umma ni namna gani Dini yako ilivyo ya Uongo,na umma unakujua ni kwa namna gani wewe ni JUHA.
 
Hapa ndio nimemamini kuna walee waislam jina.
Wanakunywa Supu ya Nguruwe halafu wanakuambia Nguruwe mwenye Kharam ila supu yake taaam.

Nyie Waislam Michepuko wafuata mkumbo au wazee wa Ku google,mmeponda saana na kuweka uadui na Ukristo na imani nyingine.
Na mkisema kwamba Ukatoliki ndio uadui wa Uislam,sasa nyie mnajua JF inamilikiwa na nani?
Au ndio supu ya nguruwe Tam.

Mnajua kuwa member JF inaingiza kiasi gani na rank yake inakuwaje?
Sasa kama kweli nyie ni wale wenye misimamo ya kweli kama mnavyojiita hivyo Jitoeni ili tujue kweli mnamisimamo.
La sivyo niwanafiki wakubwa,type

Waislam wapenda amani na wenye kujua Uislam tutabakia na umoja wetu na tutajenga hoja za maana kwenye imani zetu.
Uislam hauenezwi kwa Chuki za kijinga na kujiona kwamba ni bora kuliko mwenzio,wakati woote mmetokana na Maniii ya baba zenu.Hakuna alieumbwa na almasi,baada ya kuja dunia ndio mabadiliko ya imani yakaingia.

Sasa ujumbe ni huo kwamba Mnaoleta chuki na ukatoliki au Ukristo je mbona mmo na mmejiunga JF?au hamjui kama inamilikiwa na Wakristo?
Hapo sasa,kila mmoja mbioooo
Wanafiki wakubwa nyie.

BAKWATA itaendelea kuwa BAKWATA na kwa sie waislam wenye imani zetu na sio mamluki wanaonunuliwa kwa pesa za kanga.

Zanzibar Spices,
Tuendelee na sehemu ya 5 ya Historia ya BAKWATA:
Mohamed Said: BAKWATA SEHEMU YA TANO

''Inspekta Jenerali wa Polisi, Hamza Aziz, mdogo wake Dossa alipopokea amri
kutoka kwa rais kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani kuwa amkamate Sheikh
Hassan bin Amir, hakuweza kuamini masikio yake. Alitaka afahamishwe sababu
za kutaka kukamatwa Mufti, kiongozi wa juu kabisa katika safu ya uongozi wa
Waislam katika Tanzania. Alipoambiwa kuwa sababu ni kuwa anaihujumu serikali,
Hamza Aziz alimwambia Waziri wa Mambo ya Ndani kuwa huenda kuna makosa
katika amri ile. Alimfahamisha waziri kuwa yeye binafsi alikuwa anamfahamu mzee
yule toka yeye Hamza alipokuwa mtoto mdogo. Akimfahamu Sheikh Hassan bin Amir
kama mwalimu na mtu aliyeshiriki katika ukombozi wa Tanganyika. Msimamo wake
heshima na hadhi yake mbele ya Waislam ipo juu kabisa. Inspekta Jenerali wa Polisi
alimwambia waziri kuwa haitawezekana kwake yeye kutii amri ile kwa sababu yeye
haamini kuwa tuhuma zile dhidi ya Mufti Sheikh Hassan bin Amir ni za kweli.
Nyerere alifahamishwa na Waziri wa Mambo ya Ndani kuwa Inspekta Generali wa
Polisi, HamzaAziz amekataa kutii amri yake ya kumkamata Mufti. Nyerere alitoa amri
kwa Usalama wa Taifa kumkamata Sheikh Hassan bin Amir.''

Zanzibar Spices,
Napenda hapa kusherehesha kidogo.

Huyu Sheikh Hassan bin Amir ndiye yule aliyekuwa katika TAA
Political Subcommittee 1950 pamoja na Abdul Sykes, kamati
iliyokuja kuunda TANU 1954.

Huyu Sheikh Hassan bin Amir ndiye aliyeitisha mkutano wa siri
1955 kuielekeza TANU katika njia ya TANU kuwa chama kisichofungamana
na Uislam.

Sheikh Hassan bin Amir alifanya hili baada ya kuona kuwa ikiwa
TANU itaachiwa iendelee kama ilivyokuwa huenda ikajengeka picha
kuwa TANU ni chama cha Waislam.

Lakini kubwa ni kuwa Sheikh Hassan bin Amir ndiye aliyefanya Nyerere
akubalike na Waislam ndani na nje ya TANU wakati harakati za kudai uhuru
zilipoanza.
 
Amekukuna penyewe nini??,basi jikaze tu!dawa iingie vizuri.

Sipati picha jinsi ulivyo sura na Upeo wako wa kufikiri hapa tunashindana kwa hoja tu! matusi hayana nafasi hapa.Kwa kufanya hivyo unaudhihirishia umma ni namna gani Dini yako ilivyo ya Uongo,na umma unakujua ni kwa namna gani wewe ni JUHA.

Teh teh teh teh.
Viroba kitu kibaya sana.
Sasa we katonta unasema nini halafu unafanya nini!
Ukafiri giza nyieee!
Dah...!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom