BAKWATA ni tawi la Kanisa

BAKWATA ni tawi la Kanisa

Status
Not open for further replies.
Mihemko mbona imejaa sana makanisani?
Ina maana hao wachungaji wanaobaka hawajampokea yesu?

Ukiona Mchungaji ana Mhemko ujue huyo anatapeli Kondoo wake na sio Mchungaji wa Ukweli.Ukishampokea Yesu utaona Amani inavyojaa Moyoni mwako.Hutapenda kulaumu waliofanya makosa bali utawaombea ili wawe wema.Utaona Baraka na Neema ya Mungu inavyotirirka Rohoni.Utashangaa sana ukiambiwa eti Magaidi nao wanampigania Mungu wao.Utajiuliza ni Mungu gani huyo wanayemwabudu asiyeweza kujipigania.
 
Ukiona Mchungaji ana Mhemko ujue huyo anatapeli Kondoo wake na sio Mchungaji wa Ukweli.Ukishampokea Yesu utaona Amani inavyojaa Moyoni mwako.Hutapenda kulaumu waliofanya makosa bali utawaombea ili wawe wema.Utaona Baraka na Neema ya Mungu inavyotirirka Rohoni.Utashangaa sana ukiambiwa eti Magaidi nao wanampigania Mungu wao.Utajiuliza ni Mungu gani huyo wanayemwabudu asiyeweza kujipigania.

Ndugu mgalatia Nadhani unashindwa kuelewa kuwa leo ktk huu ulimwengu wanaoongoza kwa uharibifu wa maadili ni hao hao wanaodai kumpokea yesu.

Ndoa za jinsia moja, uuzaji wa poda, ubakaji wa watoto, human trafficking, utapeli ,human Trafficking and so on.

Kuhusu Vita na mauwaji dunia nzima inaona namna gani Nchi zinazoongozwa na viongozi wa Kikristo zinavyovamia nchi za waislamu na kuua ma alfu ya watoto wasio na hatia. Na hakuna nchi yyt yenye Kiongozi wa Kiislamu imevamia au kurusha mabomu na kuangamiza watoto wasio na hatia.
More over The crusaders walivamia na Kuchinja zaidi ya watoto milion 2 kwa kutumia jina La Yesu. Na baadhi yao kuamua mpaka KULA NYAMA ZA WATOTO wa KIISLAMU waliowaua. Gonga hapa uone unyama wa Wakristo (Crusaiders)

http://www.ummah.com/forum/archive/index.php/t-305353.html

Watu wasio na hatia zaidi ya milion 6 waliuawa na Mkatoliki Hitler kwa kudai kuwa anafanya kazi ya Bwana Yesu.

Kwa jina hilo hilo la yesu Historia inatufunza kuwa Watu zaidi ya Milion 200 wamepoteza maisha yao through out the History worldwide.

Sasa unapoandika vitu jaribu kufikiri kidogo usije onekana mropokaji usie na elimu hapa Jukwaani.
 
Ndugu mgalatia Nadhani unashindwa kuelewa kuwa leo ktk huu ulimwengu wanaoongoza kwa uharibifu wa maadili ni hao hao wanaodai kumpokea yesu.

Ndoa za jinsia moja, uuzaji wa poda, ubakaji wa watoto, human trafficking, utapeli ,human Trafficking and so on.

Kuhusu Vita na mauwaji dunia nzima inaona namna gani Nchi zinazoongozwa na viongozi wa Kikristo zinavyovamia nchi za waislamu na kuua ma alfu ya watoto wasio na hatia. Na hakuna nchi yyt yenye Kiongozi wa Kiislamu imevamia au kurusha mabomu na kuangamiza watoto wasio na hatia.
More over The crusaders walivamia na Kuchinja zaidi ya watoto milion 2 kwa kutumia jina La Yesu. Na baadhi yao kuamua mpaka KULA NYAMA ZA WATOTO wa KIISLAMU waliowaua. Gonga hapa uone unyama wa Wakristo (Crusaiders)


Crusades

Watu wasio na hatia zaidi ya milion 6 waliuawa na Mkatoliki Hitler kwa kudai kuwa anafanya kazi ya Bwana Yesu.

Kwa jina hilo hilo la yesu Historia inatufunza kuwa Watu zaidi ya Milion 200 wamepoteza maisha yao through out the History worldwide.

Sasa unapoandika vitu jaribu kufikiri kidogo usije onekana mropokaji usie na elimu hapa Jukwaani.

Bila shaka Elimu uliyo nayo ni ya kukariri.Nimekwambia ukimpokea Yesu utakuwa Huru bila Majungu,Umbea,Fitina na Unafiki.Ukisoma Historia utaelewa kwamba Uarabuni ndio Ushoga uliposhika kasi kiasi kwamba Nchi kama Pakistani Kutembea na Mtoto wa Kiume kama Mke ni Jambo la kawaida sana.Tatizo kubwa la Waarabu na Mashabiki wao ni Unafiki na kukwepa ukweli.Mtu aliyempokea yesu kwa Dhati hawezi kukubali utapeli wa wahuni wanaopiga hela au kuhujumu haki za watu wengine kwa Mgongo wa Kanisa.Vilevile anayemtambua YESU hawezi kutetea Makundi ya Kigaidi eti kwa Kisingizio cha kwamba wakristo ni Wauaji zaidi.Mpokee yesu awe bwana na Mwokozi wako ili Upendo na Amani itiririke Moyoni mwako.Achana na Magaidi ambao wanampigania Mungu wao ambaye hana uwezo wa kujipigania Mwenyewe.Mungu ambae anawaruhusu kuteka Watoto wa Kike na kwenda kuwabaka Maporini.Inasemekana mwanzilishi wa Imani yao alibaka Mtoto wa Miaka Tisa lakini isiwe kigezo cha kuendelea kubaka maana hawajui kitakachompata Siku ya Hukumu.Wewe njoo kwenye Nuru ili uone wenzako wanavyoangamia kwa kukosa Maarifa.
 
Huko kwenye nchi za kikristo,waprotestant na wakatoliki wameuwana sana,hasa Irelanda ya kaskazini,na mpaka leo hakujatulia.Sudani ya kusini,wakristo wanauwana,Kongo wakristo wanauwana,Kusini Uganda wanauwana,Kenya wameuwana maelfu,Askofu Kibwetere kaua maelfu,wazungu wengi wameja nchi za Oman,Dubai,Qatar ,Bahrain,Abudhabi,Saud Arabia,Kuwait,nk.kwa kuona ndiko kuliko na Amani.

Kafanye research yako vizuri
 
Bila shaka Elimu uliyo nayo ni ya kukariri.Nimekwambia ukimpokea Yesu utakuwa Huru bila Majungu,Umbea,Fitina na Unafiki.Ukisoma Historia utaelewa kwamba Uarabuni ndio Ushoga uliposhika kasi kiasi kwamba Nchi kama Pakistani Kutembea na Mtoto wa Kiume kama Mke ni Jambo la kawaida sana.Tatizo kubwa la Waarabu na Mashabiki wao ni Unafiki na kukwepa ukweli.Mtu aliyempokea yesu kwa Dhati hawezi kukubali utapeli wa wahuni wanaopiga hela au kuhujumu haki za watu wengine kwa Mgongo wa Kanisa.Vilevile anayemtambua YESU hawezi kutetea Makundi ya Kigaidi eti kwa Kisingizio cha kwamba wakristo ni Wauaji zaidi.Mpokee yesu awe bwana na Mwokozi wako ili Upendo na Amani itiririke Moyoni mwako.Achana na Magaidi ambao wanampigania Mungu wao ambaye hana uwezo wa kujipigania Mwenyewe.Mungu ambae anawaruhusu kuteka Watoto wa Kike na kwenda kuwabaka Maporini.Inasemekana mwanzilishi wa Imani yao alibaka Mtoto wa Miaka Tisa lakini isiwe kigezo cha kuendelea kubaka maana hawajui kitakachompata Siku ya Hukumu.Wewe njoo kwenye Nuru ili uone wenzako wanavyoangamia kwa kukosa Maarifa.

Mimi mara zote ninapoongea Nakuwekea na kitu kinachoitwa USHAHIDI.
Mfano mwingine ni Huu hapa.

http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/375...160700_vatican_synod_512x288_bbc_nocredit.jpg

http://www.bbc.com/swahili/habari/2015/03/150318_presbyterian_jinsia_moja

http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/3...0128234907_gay_couple_640x360_pa_nocredit.jpg

Hizo hapo juu ni NDOA ZA KISHOGA zilizo HALALISHWA NA KANISA lenye wafuasi waliompokea Yesu wa msalabani.

http://www.dw.com/sw/kanisa-katoliki-lalaaniwa-na-umoja-wa-mataifa/a-17410377

Hapa Mpka UMOJA WA MATAIFA wanalalamikia KANISA KUU LA VATICAN Kudhalilisha watoto Kijinsia.

Sasa mpk imefikia UMOJA WAMATAIFA Kulalamikia MAMA WA KANISA DUNIANI kipi mmebakiza nyie watu?

Lini mtaacha huu unyama wa kulawiti watoto wasio na hatia na kufanya vitendo vyema?

https://timenewsfeed.files.wordpress.com/2013/01/wallin.jpg?w=720&h=480&crop=1

Accused of Drug Dealing, Having Sex in Church Rectory
http://newsfeed.time.com/2013/01/22/meth-priest-suspended-for-transvestite-rectory-sex/

Sasa na wewe leta Ushahidi wa madai yako tuone nani MUOVU ktk hii Dunia?
Je ni wale WASIOKUWA WAKRISTO? Au wengine!

Kuropoka tu ni kazi ya walevi wa mapuya na chibuku.
 
Jiheshimu. Waislamu wanao uwezo wa kujiongoza wao wenyewe, waislamu wanapendana nani wamoja. Lengo la kuanzishwa Bakwata ilikuwa kuvunja umoja wa waislamu.

Ni kweli.Hata hao wanaolialia kwamba MAHAKAMA YA KADHI ianzishwe na Serikali na kutambulika Kikatiba wana lengo kama la kuanzishwa Bakwata yaani kuvunja Umoja wa Waislamu.
 
Kua BAKWATA ni tawi la serikali na imeundwa kuisaidia serikali pamoja na Chama Tawala (CCM) hii naiamini kabisa, haina shaka na ni ukweli mtupu. Bakwata ni taasisi mojawapo tu kundi moja na Jumuia ya Wazazi CCM, UWT & UVCCM.

ila Kua BAKWATA ni tawi la kanisa hii siiamini na haina ukweli wowote.

Si wanadai inchi inaongozwa kwa mfumo kristo? hivyo hata taasisi zake zote kutia ndani na BAKWATA itakuwa tawi la kanisa tu.
 
Mimi mara zote ninapoongea Nakuwekea na kitu kinachoitwa USHAHIDI.
Mfano mwingine ni Huu hapa.

http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/375...160700_vatican_synod_512x288_bbc_nocredit.jpg

Kanisa laidhinisha ndoa za jinsia moja - BBC Swahili

http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/3...0128234907_gay_couple_640x360_pa_nocredit.jpg

Hizo hapo juu ni NDOA ZA KISHOGA zilizo HALALISHWA NA KANISA lenye wafuasi waliompokea Yesu wa msalabani.

Kanisa Katoliki lalaaniwa na Umoja wa Mataifa | Masuala ya Jamii | DW.COM | 05.02.2014

Hapa Mpka UMOJA WA MATAIFA wanalalamikia KANISA KUU LA VATICAN Kudhalilisha watoto Kijinsia.

Sasa mpk imefikia UMOJA WAMATAIFA Kulalamikia MAMA WA KANISA DUNIANI kipi mmebakiza nyie watu?

Lini mtaacha huu unyama wa kulawiti watoto wasio na hatia na kufanya vitendo vyema?

https://timenewsfeed.files.wordpress.com/2013/01/wallin.jpg?w=720&h=480&crop=1

Accused of Drug Dealing, Having Sex in Church Rectory
Connecticut Priest Accused of Drug Dealing, Having Sex in Church Rectory | TIME.com

Sasa na wewe leta Ushahidi wa madai yako tuone nani MUOVU ktk hii Dunia?
Je ni wale WASIOKUWA WAKRISTO? Au wengine!

Kuropoka tu ni kazi ya walevi wa mapuya na chibuku.

Nimeshakwambia Elimu yako Ndogo.Hiyo mifano uliyoweka kutoka Mitandaoni mimi naweza kuitengeneza na kuingiza kwenye Wavuti.Ushahidi kama huo hutumiwa na watu wenye Elimu za kuungaunga.Ukitaka kuujua UKWELI mpokee YESU awe Bwana na Mwokozi wako maana Majungu,Fitina,Visasi,Umbea,Unafiki na Ujinga vitakuondoka.Utatambua thamani ya Maisha na Mungu wa kweli ni yupi.
 
BARAZA LA WAISLAMU TANZANIA LIMEKUWA TAWI LA WAKRISTU.
Kweli akutukanaye hakuchagulii tusi
 
Si wanadai inchi inaongozwa kwa mfumo kristo? hivyo hata taasisi zake zote kutia ndani na BAKWATA itakuwa tawi la kanisa tu.

Hii kali.Kama ni hivyo hata wao na Nyumba zao za Ibada ni Mali ya Kanisa kwa hiyo hawataweza kupambana na Kanisa kama wanamilikiwa na Kanisa.Basi kanisa ni kama Maji,usipakuja kuyanywa utayaoga.
 
Nimeshakwambia Elimu yako Ndogo.Hiyo mifano uliyoweka kutoka Mitandaoni mimi naweza kuitengeneza na kuingiza kwenye Wavuti.Ushahidi kama huo hutumiwa na watu wenye Elimu za kuungaunga.Ukitaka kuujua UKWELI mpokee YESU awe Bwana na Mwokozi wako maana Majungu,Fitina,Visasi,Umbea,Unafiki na Ujinga vitakuondoka.Utatambua thamani ya Maisha na Mungu wa kweli ni yupi.

Sasa dada farudume si utengeneze na wewe tuone?

Unataka kusema BBC wanatengeneza Habari za watoto kulawitiwa na MAASKOFU ili wapate faida gani?

Ugalatia ni giza la ajabu sana.

We endelea kuimba kwaya wakati viongozi wako wanalawiti na kubaka watoto wasio na hatia.

Siku ikifika wote nyie mtaenda kuimbia kwaya JAHANNAMU.
 
Mihemko mbona imejaa sana makanisani?
Ina maana hao wachungaji wanaobaka hawajampokea yesu?

Yupo hakimu mkuu ambapo kila mmoja atatoa hesabu kwa matendo yake na wala sio mimi au wewe wa kumhukumu kwa kisingizio cha kutetea dini
 
Yupo hakimu mkuu ambapo kila mmoja atatoa hesabu kwa matendo yake na wala sio mimi au wewe wa kumhukumu kwa kisingizio cha kutetea dini

Umesema kweli simanyane.
Na mimi sijatoa hukumu bali nimeeleza vitendo vinavyofabywa na hao wanaojiita watumishi wa Yesu.
Lzm maovu tuyaseme ili jamii ijichunge na waovu hawa.
 
Mkuu information is power, na mimi mmojawapo sina uelewa mzuri ili niende sambamba wenzangu. Hivi hicho combo kilichovunjwa(EAST AFRICAN MUSLIM WELFARE SOCIETY) kilikuwa cha afrika mashariki kama jina lake linavyojitanabaisha? na kama ni hivyo baada ya kila nchi ya afrika mashariki kuwa na utawala wake je chombo hicho bado kingeweza kuendelea kuwa na uhalali wa kusimamia shughuli za kiislamu katika nchi husika?

Bado mimi nadhani tatizo ni mfumo wa utawala baada ya Uhuru maana kila taasisi serikali ilikuwa inajaribu kudhibiti utendaji wake wa kila siku,sasa ndugu zangu mkishindwa kutambua chanzo hasa cha tatizo itakuwa mnatafuta adui wa kufikirika ambaye kwenu ni rahisi, kanisa. Maana wamekuja viongozi waislamu akina Mwinyi na Jk bado shutuma zipo,mkianza kuelewana wenyewe na kuwa wamoja bila kupingana kama ansar sunni,shia,hapa nchini BAKWATA,nk.Itaonekana ni kawaida yenu na wanaowapinga wanaweza waka take advantage kuwa Hao kupingana ni kawaida yao.

Siitetei BAKWATA kuwa chombo cha waislamu pekee kama wenyewe hamuafiki,naamini hili la kuingiza na kanisa katika madai yenu is off the mark,na haitowasaidia bali mnazidi kuwapa hoja wanaowapinga. Maana mimi hapa sioni kwa nini chuki zitupiwe kanisa mwishowe na waumini wa kanisa wanaanza kuwa na chuki dhidi ya uislamu na waislamu.We will all be looser mimi mtoto wangu ni muislamu inaniwia vigumu kufikiria kuwa yeye ni adui yangu,naona wanaoingiza Siasa za chuki za kidini ni wa kukemea.
I stand to be corrected

Mkuu umeelezea vizuri saaan,tatizo hapo kuna watu wamekaririsha na wale wazee wengine wa Ku Google ndio tabu.

Baadhi yetu tumekalia kuona kwamba Bakwata ni tawi la Wakatoliki.Hivi hakuna ambae hajui kama Nchi hii ina Madhebu meeengi Sana ya Kikristo mbali na Katoliki.Na Madhehebu hayo ya Ukristo,yapo baadhi yao yanapingana na mambo ya Kikatoliki,sasa mbona hawajasema kwamba Serikali ni tawi la Wakatoliki.Na mbona umoja wao kama Wakristo haujatetereka mbali na kasoro zao.

Sasa leo hii eti mtu unasema kwamba umenyimwa Fursa ya Elim?si wendawazim huu?
We kama jiwe Darasani unategemea nini.

Na haya mambo ya kukariri ni sheeda saana.

Mfano mdogo tu.
Hao wanaoseama wanafuata Saudia
Sasa wanajua kwamba Ardhi ya Saudi ina kituo cha Kijeshi cha Marekani?
Na ndio base iliyotumiwa kuuwa Waislam wa Iraq na kumuangamiza Saadam Husein.
Na umoja wa Nchi za Kiarabu wakaona kwamba Saadam ni adui kwa Nchi zao na wakatoa Ushirikiano.

Sasa hapo unasema nini tena.

Nenda vyuo vikuu uone idadi ya Waislam walio wengi vyuoni.Tuache unafiki wa kijinga.Watu tunashindwa kubadilika akili zetu.

Na Idara kuubwa sana za Serikali zimejaa Waislam.Sasa sijui tunataka nini.
Mbona wakristo hawasemi kitu.
Wakristo wanaamini kwamba uwezo wako ndio utakaokupa ajira na sio dini,ila sei sasa ndio tunaona kwamba udini ndio ajira yako.

Dunia nzima hakuna nchi yenye Taasisi mbili kuu za nchi zinasimamia dini moja.
BAWAKATA itaendelea kuwa BAKWATA utake usitake.
 
Sasa dada farudume si utengeneze na wewe tuone?

Unataka kusema BBC wanatengeneza Habari za watoto kulawitiwa na MAASKOFU ili wapate faida gani?

Ugalatia ni giza la ajabu sana.

We endelea kuimba kwaya wakati viongozi wako wanalawiti na kubaka watoto wasio na hatia.

Siku ikifika wote nyie mtaenda kuimbia kwaya JAHANNAMU.

Mf.wa mkristo sio askofu wala mch.bali Yesu usitumie ngu nyingi kwa kuleta ushahidi wa wachungaji na mapadre hata nyie waislam mf.wenu ni mtume ndo maana matendo yake mnayafuata
 
Kuna baadhi ya waislam wanadhani dini yao ndiyo amani. Nenda Iran, saudia, pakistan, yemen, egypt etc uone kama kuna amani. Tuwe macho na hao matapeli wa kidini

Ni kweli,kuna kundi la Matapeli kwenye Dini kwa maslahi yao,sasa wanavaa kivuli cha Uislam na kuja na hoja zao za Kuchepuka.Maana wengine wanakuletea Habari ya Tanu humuhumu,hhahahaha aisee kazi kweli.
 
Wanamajls,
Tatizo ninaliliona hapa katika mnakasha huu ni kuwa darsa ninazotoa hapa
sioni zikiakisiwa katika michango.

Bila ya kusoma hizi darsa wachangiaji hawataijua historia ya kweli ya BAKWATA
na watakuwa wanazungumza kwa hisia zao tu.

Naweka hapa Historia ya BAKWATA Sehemu ya 3:
Mohamed Said: BAKWATA SEHEMU YA TATU

''Tuhuma zile dhidi ya Aga Khan na EAMWS hazikuweza kuthibitishwa na
Halmashauri Kuu ya TANU ikaliacha jambo lile kwa wakati ule. Lakini
Nyerere alikuwa amefedheheka. Kuanzia hapo akajenga chuki dhidi ya
Bibi Titi na kumweka Rajab Diwani na Selemani Kitundu karibu yake.
Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1965 Bibi Titi na Tewa wakapoteza
viti vyao kwa watu ambao walikuwa hata hawafahamiki A.M. Mtanga na
Ramadhani Dollah. Iliaminika kuwa Nyerere alikuwa anahusika na kuanguka
kwa Bibi Titi na Tewa. Kuanzia hapo mambo yakawa dhahiri. Nyerere alikuwa
amewatangazia vita wote wawili, Bibi Titi na Tewa. Nyerere alikuwa sasa ana
imani kuwa wale maadui zake wawili walikuwa wamekwisha kisiasa. Lakini
kilichokuwa kikimuudhi Nyerere zaidi ilikuwa taarifa ambazo alikuwa akizipata
kuwa Tewa alikuwa akipewa mapokezi makubwa sana na Waislam katika ziara
zake huko mikoani kama rais wa EAMWS.''

Sasa hapa ndio mnapotaka kuuposhoa Uislam.
Yaani wewe Bonge la Muongooo

Nyie matapeli wa dini kama alvyosema mdau mmoja hapo juu mnatabu saana kwa kukariri na ku copy tu
Na wengie ni wale mliotaka Madaraka BAKWATA kwa nguvu mkapigwa chini,njaa ikaaanza.

We tangu lini Bi Titi ukamtegemee aeneze Uislam?
Uislam unajieneza wenyewe na Nyerere hakuna na Chuki kama unavyojaribu kushawishi watu
We Bi Titi Uislam wake wenyewe Mashaka eti kabisaaa mnatunga Kitabu cha kusema ndio alikuwa katika watu wenye kupigani Uislam.

Dini ni Imani na sio kuona mtu anaija jina lenye kuelekea kama Uislam basi ukajua ni Muislam,Nenda Misri,kuna wachungaji wanaitwa majina ya Mahmood,Hussein,Jamal nk.
Sasa watu wamekariri kwamba Jina tu umeishakuwa Muislam

Hembi angalie hii picha ya Bi Titi na halafu Compare na Mtoa hoja mbovu eti alikuwa anatetea Uislam
Muislam gani atatete kichwa Wazi,Pika Kimini Kanzu,shame on yyyyoooo
Labda alikuwa anawateteta nyie Waislam Michepuko ila Sio sie Waislam wenye kuamini kwamba dini inajiendesha yenyewe na ina njia zake za Amaani saana za kueneza dini.Na maisha unajipangia mwenyewe,sio yanakushinda kisa eti mfumo wa Serikali na BAKWATA ebboo
Hahafu usitulazimishe kusoma kitabu kisicho na hoja

Haya mleta Hoja anasema etu huyu ndio alikuwa anataka kutetea Uislam,Uislam unaujua au unafuata tu wewe
View attachment 269134
View attachment 269134
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom